
Meneja wa TANROADS mkoa wa Ruvuma mhandisi Saleh Juma wa kwanza kutoka kulia akiwa na wabunge wa mkoa wa Ruvuma walipotembelea na kukagua maendeleo ya mradi huo wa barabara ya Songea-lutukira yenye kilomita 100 na barabara ya mchepuko yenye kilomita 16
Na Regina Ndumbaro Songea-Ruvuma.
Wabunge wa mkoa wa Ruvuma wamezitaka taasisi zinazosimamia ujenzi wa barabara ya Lutukira–Songea yenye urefu wa kilomita 100 pamoja na barabara ya mchepuko ya kilomita 16, kuhakikisha haki za wafanyakazi zinalindwa kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ya kazi.
























































