Sunday, 11 May 2025

UNESCO - ALWALEED PHILANTHROPIES KICKS OFF ITS SECOND COHORT OF GRANTEES IN TANZANIA

Michel Toto  By a correspondent in Dar es Salaam UNESCO in collaboration with the Alwaleed Philanthropies has kicked off the second cohort of grantees, a move meant to support arts and culture education, capacity building, and sustainable community development. UNESCO Head of Office Michel...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MEI 11,2025

magazeti ...
Share:

BREAKING NEWS: CHARLES HILARY AFARIKI DUNIA

TANZIA: Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hilary, amefariki dunia alfajiri ya leo Mei 11, 2025. Charles pia aliwahi mtumishi mwandamizi wa Azam Media Limited kati ya mwaka 2015 na 2023. Alihitimisha muda wake...
Share:

Saturday, 10 May 2025

NDUMBARO AHAMASISHA UUNGWAJI MKONO KWA SONGEA UNITED KABLA YA MECHI DHIDI YA COSMO

Na Regina Ndumbaro Songea-Ruvuma  Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Mheshimiwa Damas Ndumbaro, ametoa kauli kuhusu mchezo wa kesho Jumapili tarehe 11 Mei 2025 kati ya Songea United na Cosmo Politan kutoka Dar es Salaam.  Waziri Ndumbaro amesisitiza...
Share:

VIONGOZI 4,000 MANISPAA YA SONGEA WAPATIWA MAFUNZO YA KISHERIA

Na Regina Ndumbaro Songea-Ruvuma Takribani viongozi zaidi ya 4,000 wa ngazi ya mashina katika Manispaa ya Songea, Mkoa wa Ruvuma, wamepatiwa mafunzo ya kisheria kwa kipindi cha siku tatu kuanzia tarehe 10 Mei 2025. Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Kanisa la Anglikana Songea Mjini na yamehusisha...
Share:

MAREHEMU KAKATAA KUZIKWA NA KUIBUA TAFRANI MJINI

Mji mdogo wa Kisii nchini Kenya ulijikuta katika majonzi na mshangao huku mwili wa Fetty Moraa, anayedaiwa kuuawa na mumewe, ukikataa kuzikwa hadi pale Kiwanga Doctors ambao ni wabobezi wa tiba asilia walipoingilia kati suala hilo. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea mwaka 2021 na kuibua mshtuko...
Share:

Friday, 9 May 2025

TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA TEKNOLOJIA YA AI

TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili kukuza ufanisi wa ufundishaji na ujifunzaji. Hayo yamebainishwa leo Mei 9, 2025 Jijini Dar es Salaam, wakati TET wakisaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano...
Share:

TANZANIA UAE KUSHIRIKIANA KUWEZESHA ELIMU KIDIJITALI NCHINI

Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imesaini makubalino na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ya kushirikiana katika Teknolojia ya Shule Kidijitali. Makubaliano hayo yamesainiwa tarehe 8 Mei Jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Prof. Carolyne Nombo na Dkt Waleed Ali Katibu Mtendaji wa Taasisi ya...
Share:

Thursday, 8 May 2025

TBS YATOA WITO KWA WAZALISHAJI WA NISHATI SAFI KUFUATA VIWANGO

Na Mwandishi Wetu, Arusha WADAU mbalimbali wa tasnia ya kutengeneza nishati safi za kupikia nchini wameshauriwa wanapokuwa kwenye mchakato wa kutengeneza nishati hizo kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ili kupata viwango vya kutengeneza nishati hizo. Wito huo ulitolewa na Afisa Viwango...
Share:

WACHIMBAJI MADINI WAIPONGEZA REA KWA KUWAFIKISHIA UMEME

  📌Ni kupitia Mradi wa kupeleka umeme kwa wachimbaji wadogo na wa kati 📌Umeme umeleta ukombozi, uzalishaji madini waongezeka Geita Mradi wa kupeleka umeme kwa wachimbaji wadogo na wa kati, Viwanda vidogo na vya kati pamoja na maeneo ya kilimo umepokelewa kwa furaha na wananchi mkoani Geita...
Share:

BARAZA LA HABARI KENYA LAVUTIWA NA MAIPAC, LAAHIDI KUSHIRIKIANA KUTOA MAFUNZO KWA WANAHABARI

Mkurugenzi mtendaji MAIPAC,Mussa Juma akimkabidhi Mkurugenzi wa mafunzo na Maendeleo wa baraza la habari Kenya Victor Bwire kitabu cha maarifa ya asili katika uhifadhi wa mazingira kilichoandaliwa na MAIPAC ambacho kinasambazwa bure Mwandishi wetu,maipac maipacarusha@gmail.com Baraza la Habari...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger