Tuesday 30 November 2021
REA YAVUKA MALENGO KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI
Balozi Mulamula Akutana Na Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa China
Na mwandishi wetu, Dakar
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Mhe. Wang Yi jijini Dakar nchini Senegal.
Katika mazungumzo yao viongozi hao wameelezea kuridhishwa kwao na ushirikiano na uhusiano imara uliopo kati ya Tanzania na China na kuahidi kuendeleza uhusiano huo kwa faida ya pande zote mbili.
Waziri Mulamula amemuhakikishia Waziri Yi utayari wa Serikali kuendelea kushirikiana na China katika kuhakikisha Tanzania inafikia maendeleo ya kweli kwa ufanisi mkubwa.
Amemshukuru Waziri huyo kutokana na ahadi iliyotolewa awali na Rais Xi Jinping wa China wakati wa ufunguzi wa mkutano wa FOCAC ya kutoa dozi bilioni moja zaidi za chanjo ya virusi vya Covid 19 kwa bara la Afrika kwani kitendo hicho kitazisaidia nchi za Afrika kutoa chanjo ya ugonjwa huo kwa watu wengi zaidi.
Pia ameishukuru China kwa kuwa soko la bidhaa za Tanzania na amemuhakikishia Waziri huyo kuwa Tanzania iko tayari kutumia fursa ya soko la China la kuuza mazao yake ya mbogamboga na matunda ili kuongeza ujazo wa biashara na hivyo kukuza uchumi.
Pia ameelezea ambavyo Tanzania inafarijika na utayari wa China katika kuisaidia kwenye miradi mbalimbali kama ile ya ya ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme utokanao na maji kama ya Ruhuji, mradi wa uendelezaji wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji , upanuzi wa Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete na ujenzi wa barabara kuu katika Visiwa vya Zanzibar miradi ambayo amesema itasaidia kuinua na kukuza uchumi wa nchi.
Naye Waziri Yi kwa upande wake ameishukuru Tanzania kwa kuendelea kuiunga mkono China na kuahidi kuendelea na harakati za kusaidia nchi zinazoendelea na kuongeza kuwa China itaendelea kuisadia Tanzania katika kufanikisha miradi mbalimbali ya kimkakati na kuielezea Reli ya TAZARA kama moja ya kielelezo cha ushirikiano huo.
Amesema China itaendelea kuunga mkono jitihada za Tanzania katika kujikwamua kiuchumi na kuahidi kuendelea kutoa misaada ya fedha na kitaalamu ili kukamilisha miradi ya ujenzi, uanzishwaji wa kituo cha mfano kwa ajili ya kuongeza thamani kwenye mazao ya kilimo na kuwajengea uwezo wafanyabiashara wadogo wadogo nchini.
Mawaziri hao wako Senegal kuhudhuria Mkutano wa Nane wa Mawaziri wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) unaofanyika nchini Senegal ulioanza tarehe 29 hadi 30 Novemba 2021.
Infinix Kuja na Toleo Jipya lenye ukubwa mara mbili zaidi ya matoleo ya awali.....Bofya Hapa Kujua Zaidi
Hivi punde picha yenye muonekano wa simu ikiwa imeandikwa ‘THE NEXT NOTE PLAY BIG’ imeonekana kuvuja kwenye mitandao ya blog za tech lakini pia kwenye kurasa ya @infinixmobile Infinix imetupia picha inayoashiria ujio wa simu mpya kupitia post inayosema ‘FIRST 11, ARE YOU READ FOR THE FIRST ROUND? Kushabihiana kwa hizi sentensi mbili mashabiki wametafisiri kuwa huenda hii ni simu mpya aina ya NOTE 11.
Simu za toleo la Infinix NOTE hukubalika zaidi kutokana na muonekana mzima wa simu hizi ambao ni imara na wenye kuvutia lakini kivutio kikubwa zaidi kwa simu hizi ni ubora wake wa camera zenye teknolojia ya AI.
Kamera za simu za toleo la NOTE huimarishwa kwa kila toleo jipya kama ilivyokuwa kwa NOTE 8 ikiwa na camera yenye MP48 na NOTE 10 ikiwa na MP64.
Tetesi zinadai kuwa simu hii huenda ikaja na kioo cha aina ya AMOLED na hii ni baada ya kampuni hiyo kuonyesha kuwa inawezekana kutumia teknolojia ya hali ya juu na bado simu ikiwa na bei rafiki kama ambavyo tumeliona hili kwa Zero x pro.
Je ni sifa gani nyengine ya kipekee kuja katika simu hii https://bit.ly/3BHedZw?...
Tembelea; https://www.infinixmobility.com/smartphone/note-11-pro/ kupata majibu kamili ya simu hii mpya ya Infinix NOTE 11.
DC KIBAHA AIPONGEZA TBS KUTOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI WA MAZIWA KATIKA MKOA WA PWANI
Chuo Cha Ardhi Morogoro Chatakiwa Kuweka Mikakati Kukamilisha Urasimishaji Makazi
Na Munir Shemweta, WANMM MOROGORO
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amekitaka Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO) kujipanga na kuhakikisha kinamaliza kazi ya urasimishaji makazi katika maeneo waliyopewa kazi hiyo.
Hatua hiyo inafuatia Naibu Waziri Dkt Mabula kuelezwa na Mkuu wa Chuo cha ARIMO Huruma Lugalla kuwa, moja ya changamoto kubwa katika zoezi zima la urasimishaji makazi maeneo mbalimbali ambayo chuo hicho imechukua kazi hiyo ni kasi ndogo ya uchangiaji gharama kutoka kwa wananchi.
‘’Mhe. Naibu Waziri uchangiaji katika zoezi la urasimishaji makazi katika maeneo mbalimbali nchini tunayoyafanyia kazi hasa hapa Morogoro ni mdogo sana pamoja na gharama ya zoezi hilo kupungua kutoka shilingi 150,000 hadi 130,000/=’’ alisema Lugala
Hata hivyo, pamoja na kuelezwa changamoto, hiyo Dkt Mabula ambaye alikuwa akizungumza na Uongozi wa Chuo cha Ardhi Morogoro tarehe 29 Novemba 2021, alikitaka chuo hicho kuhakikisha kinachukua maeneo machache ya kuyafanyia kazi badala ya kuchukua maeneo mengi aliyoyaeleza kuwa yanaweza kuwashinda kukamilisha kazi kwa wakati.
‘’ Ni vizuri mkajipanga katika zoezi zima la urasimishaji, baada ya kufanyika kosa la awali nyuma sasa msirudie tena kosa maana haitaleta picha nzuri kwa chuo na mnachotakiwa ni kujipanga na kuwa na mkakati wa kukamilisha kazi’’ alisema Dkt Mabula
Mkuu wa koa wa Morogolo Martine Shigela alishangazwa na maelezo kuwa, baadhi ya wananchi katika mkoa wake wanakuwa wazito kuchangia gharama za urasimishaji makazi holela wakati wanaweza kujenga nyumba ya milioni 20 huku akishindwa kuchangia shilingi 130,000/
‘’Yaani wananchi wanashindwa kuchangia gharama za urasimishaji wakati wanajenga nyumba kwa gharama kubwa kama milioni 10 mpaka 20? Hii haina afya kabisa’’alisema Shughela.
Awali Mkuu wa Chuo cha Ardhi Morogoro Huruma Lugalla alimueleza Naibu Waziri Dkt Mabula kuwa Chuo chake kinaendelea na utekelezaji miradi ya urasimishaji makazi katika mitaa 61 nchini kwa kushirikiana na halamashauri na wananchi wanaomiliki ardhi ya makazi yaliyoendelezwa kiholela.
Kwa mujibu wa Lugalla, jumla ya viwanja 30,188 vimeidhinishwa kufanyiwa kazi ya urasimishaji makazi, iwanja 129, 761 vimetambuliwa huku michoro 218 ikisanifiwa na takriban Shilingi Bilioni 2.553 ikiwa imetolewa kwa ajili ya utekelezaji wa zoezi hilo.
Aidha, Mkuu huyo wa Chuo cha ARIMO aliwasilisha ombi la chuo chake kutaka kusaidiwa uendelezaji eneo la ekari 33 lililoko Mlimakola Manispaa ya Morogoro kwa ajili ya kupanua wigo wa mafunzo, miundombinu sambamba na kuongeza udahili wa wanafunzi.
Kufuatia ombi hilo, Mkuu wa mkoa wa Morogoro Martine Shigela alisema, ni vyema taasisi za umma zinapoomba msaada wa uendelezaji maeneo yake zikafikiriwa kusaidiwa na kuongeza kuwa, mkoa wake uko tayari kusaidia pale utakapoona mipango ya chuo kuhusu uendelezaji eneo hilo.
Katika hatua nyingine Mkuu wa mkoa wa Morogoro Martine Shighela alilitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kufikiria namna ya kuwekeza miradi katika mkoa huo ukiwemo ule wa eneo la maduka (MALL) kwa lengo la kurahisisha upatikanani huduma.
Akizungumza na Menijementi ya NHC iliyomtembelea ofisini kwake wakati wa kikao chake na Jukwaa la Wahariri Tanzania mkoani Morogoro kilichofunguliwa na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula, Shighela alisema, kwa sasa mkoa huo hauna maduka (Mall) kwa ajili ya kuwaewezesha wananchi wa mkoa huo kupata huduma eneo moja kama ilivyo Dar es Salaam wakati mkoa huo unaendelea unapanuka.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Numba la Taifa Dkt Maulid Banyani alimhakikishia Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kulifanyia kazi suala hilo na katika kuhakikisha utekelezaji unafanyika haraka Shigela na timu ya NHC walitembelea eneo la Kingo Sabasaba katika manispaa ya Morogoro kuona namna ya kufanya uwekezaji kwenye eneo hilo.
Technical Advisor at Good Neighbors
Technical Advisor (TA) Terms of Reference (ToR) for Technical Advisor of KOICA – Enhancing Quality of Secondary School Education through a Holistic Approach in Zanzibar, Tanzania (EQSSE-Z) Project Description Enhancing the Quality of Secondary School Education in Zanzibar (EQSSE-Z) project is a fouryear project (2021-2024), with the expected outcomes of: Better teaching and learning […]
This post Technical Advisor at Good Neighbors has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Business Planning and Analytics Manager at NBC
Business Planning and Analytics Manager NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services. Job Summary This role requires the holder to work closely with the Head of CIB & BB […]
This post Business Planning and Analytics Manager at NBC has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
SEKTA ZA MIFUGO SMT NA SMZ ZAWAWEKEA MIKAKATI YA MAENDELEO WAFUGAJI WA PANDE ZOTE MBILI
IP & VAS Networks at Vodacom
Specialist: IP & VAS Networks At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit, together with technology, that empowers us to achieve this. We challenge and innovate in order to connect people, businesses, and communities […]
This post IP & VAS Networks at Vodacom has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Key Account Manager-VGE at Vodacom
Key Account Manager-VGE At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit, together with technology, that empowers us to achieve this. We challenge and innovate in order to connect people, businesses, and communities across the […]
This post Key Account Manager-VGE at Vodacom has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Waziri Mchengerwa Awataka Watumishi Wa Umma Kuacha Kiburi Na Majivuno Wanapotoa Huduma Kwa Wananchi
Na. Veronica E. Mwafisi-Arusha
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amewataka Watumishi wa Umma nchini kuacha kiburi na majivuno pindi wanapotoa huduma kwa wananchi kwani mishahara wanayolipwa na Serikali inatokana na kodi za wananchi.
Waziri Mchengerwa ametoa wito huo kwa Watumishi wa Umma nchini, wakati akifungua Semina ya Viongozi wa Matawi ya TUGHE na Waajiri inayofanyika jijini Arusha.
Mhe. Mchengerwa amesema, Watumishi wa Umma wanapaswa kuwahudumia wananchi ipasavyo kama ambavyo wao wanatamani kuhudumiwa na Serikali.
“Baadhi yetu, kuna vitendo tunavifanya ambavyo haviwapendezi wananchi tunapowahudumia, hivyo tuhakikishe tunatoa huduma bora kama ambavyo sisi tunavyoitaka Serikali ituhudumie,” Mhe. Mchengerwa amesisitiza.
Akihimiza Watumishi wa Umma kutekeleza wajibu wao pasipo kushurutishwa, Mhe. Mchengerwa amenukuu maneno ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyowahi kusema kwamba, si jambo jema kwa mtu mzima kuwekewa mnyampara ili aweze kumfunza nidhamu ya utendaji kazi hivyo, Watumishi wanapaswa kutimiza wajibu wao bila kushurutishwa.
Akisisitiza dhana ya kujisimamia kiutendaji, Waziri Mchengerwa amemnukuu Rais wa Awamu wa Sita, Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye aliwahi kusema kuwa, hajaumbwa kufokafoka, ataangalia utendaji kazi wa kila mtumishi kwa nafasi aliyonayo kwani wote ni watu wazima ambao wanatambua mazuri na mabaya, na ikitokea wakifanya mabaya basi inakuwa ni kwa makusudi hivyo yeye ataongea kwa kalamu.
Kwa Muktadha huo, Mhe. Mchengerwa amesema kuwa, fikra na maono ya Rais wa Awamu ya Sita, Mhe. Samia Suluhu Hassan ndio fikra na maono ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, hivyo Watumishi wa Umma tunapaswa kuishi kwa vitendo fikra na maono hayo ili kutoa huduma bora kwa wananchi.
Katika kuunga mkono fikra na maono ya viongozi hao kuhusu uwajibikaji, Mhe. Mchengerwa amewataka Watumishi wote wa Umma nchini kuhakikisha kila mmoja kwa nafasi aliyonayo anafanya kazi kwa bidii na weledi kwa ajili ya maendeleo ya taifa.
Awali, akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Mhe. Mchengerwa kufungua Semina ya Viongozi wa Matawi ya TUGHE na Waajiri, Mwenyekiti wa TUGHE taifa Bw. Joel Kaminyoge amempongeza Waziri Mchengerwa kwa utendaji kazi mzuri hususani katika kusimamia masilahi ya Watumishi wa Umma nchini.
Bw. Kaminyoge amesema kuwa, utendaji kazi wa Waziri Mchengerwa unadhihirisha kuwa, katika historia ya Utumishi wa Umma amekuwa ni miongoni mwa Mawaziri bora kabisa waliowahi kutokea kushika wadhifa huo wa kumsaidia Mhe. Rais kusimamia Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Semina hiyo yenye lengo la kuwajengea uwezo kiutendaji viongozi hao wa TUGHE na Waajiri inafanyika kwa siku tano kuanzia tarehe 29 Novemba, 2021 hadi tarehe 03 Disemba, 2021
Senior Business Analyst at CRDB
Senior Business Analyst JOB REPORTING TO: Senior Manager Business Performance & Revenue Assurance JOB PURPOSE Responsible to ensure that revenue collection mechanisms are reviewed and monitored to help businesses identify system loopholes, errors, transaction errors, process weaknesses that could affect income collected from a transaction. To put in place systems and processes to minimize […]
This post Senior Business Analyst at CRDB has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Zonal Relationship Manager; Channels Performance at CRDB
Zonal Relationship Manager; Channels Performance Job Reporting To: Zonal Business Manager (Administratively), Manager Agents Performance (Functionally) Job Purpose: To grow and retain a portfolio of Bank Channel’s Business including management of performance for agents, Merchant and ATMs as part of channel Distribution of the zone through relationships by performing both a pro- and re-active […]
This post Zonal Relationship Manager; Channels Performance at CRDB has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Mashirika Ya Kigeni Yazidi Kuvutiwa Kuwekeza Katika Sekta Ya Nishati Tanzania
Na Dorina G. Makaya - Dar-es-Salaam.
Idadi ya mashirika ya kigeni yanayovutiwa kuwekeza katika sekta ya Nishati nchini yameendelea kuongezeka ikiwemo katika sekta ndogo ya umeme na nishati Jadidifu.
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, tarehe 29 Novemba, 2021, amekutana na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Mitsubishi iliyopo jijini Dar--es-Salaam, Kenji Nishizaki na kujadili masuala ya ushirikiano wa kisekta na fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo nchini Tanzania.
Miongoni mwa masuala waliyoyazungumzia katika mkutano huo, uliofanyika kwenye ofisi ndogo za Wizara ya Nishati, ni pamoja na kupanua wigo wa biashara kwa kutazama fursa zilizopo za uwekezaji katika maeneo ya sekta ndogo ya umeme, mafuta na gesi asilia pamoja na ushirikiano wa kisekta kwa ujumla na Serikali ya Tanzania
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, amewakaribisha Kampuni ya Mitsubishi kwa ajili ya kuwekeza hapa nchini na ameelekeza mashirika ya TPDC na TANESCO kutazama kwa upana zaidi wigo huo wa uwekezaji ambao Mitsubishi wanataka kuwekeza.
Business Support Assistant (Fleet Manager) G4 at WFP
Business Support Assistant (Fleet Manager) G4 WFP seeks candidates of the highest integrity and professionalism who share our humanitarian principles. Selection of staff is made on a competitive basis, and we are committed to promoting diversity and gender balance. ABOUT WFP The United Nations World Food Programme is the world’s largest humanitarian agency fighting […]
This post Business Support Assistant (Fleet Manager) G4 at WFP has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
VAM Officer NOB at WFP
VAM Officer NOB WFP seeks candidates of the highest integrity and professionalism who share our humanitarian principles. Selection of staff is made on a competitive basis, and we are committed to promoting diversity and gender balance. ABOUT WFP The United Nations World Food Programme is the world’s largest humanitarian agency […]
This post VAM Officer NOB at WFP has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Programme Policy Officer – Food Systems & Market Accessat WFP
Programme Policy Officer – Food Systems & Market Access WFP seeks candidates of the highest integrity and professionalism who share our humanitarian principles. Selection of staff is made on a competitive basis, and we are committed to promoting diversity and gender balance. Job Title: Programme Policy Officer- Food Systems & Market Access: P4 Type of […]
This post Programme Policy Officer – Food Systems & Market Accessat WFP has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details