Saturday 30 October 2021

Plant Pathologist at TaCRI

Plant Pathologist    Background: The Tanzania Coffee Research Institute (TaCRI), incorporated in 2000 as a company limited by guarantee under the Companies Ordinance (Cap. 212), became legally constituted and operational in September 2001 with the major objective of rejuvenating the Tanzania coffee industry to sustainable prosperity, placing new emphasis on stakeholder-led, demand-driven RESEARCH FOR DEVELOPMENT. […]

This post Plant Pathologist at TaCRI has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

16 Jobs at NZEGA District Council

Nzega District is one of the seven districts of the Tabora Region of Tanzania. It is bordered to the north by Shinyanga Region, to the south and southwest by Uyui District and to the east by Igunga District. Its administrative seat is the town of Nzega.     The deadline for submitting the application is […]

This post 16 Jobs at NZEGA District Council has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Data Officers- 31 New Government Job Opportunities KAGERA Ras Office and MDH

Kagera is one of Tanzania’s 31 administrative regions. The region is located in the northwestern corner of Tanzania on the western shore of Lake Victoria. The region neighbours Uganda, Rwanda, and Burundi and lies across the lake from Kenya. The region was known as West Lake before June 1979. The regional capital is the city […]

This post Data Officers- 31 New Government Job Opportunities KAGERA Ras Office and MDH has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

21 New Government Job Vacancies UTUMISHI at TALIRI, MPRU and UDOM

Overview: The Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) is a government organ with a status of independent Department established specifically to facilitate the recruitment process of employees to the Public Service. Public Service Recruitment Secretariat was established by the Public Service Act No. 8 0f 2002 as amended by Act No. 18 of 2007, section 29. […]

This post 21 New Government Job Vacancies UTUMISHI at TALIRI, MPRU and UDOM has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Assistant Lecturer – Records And Archives Management at CBE

POST: ASSISTANT LECTURER – RECORDS AND ARCHIVES MANAGEMENT – 1 POST POST: CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION EMPLOYER College of Business Education (CBE) APPLICATION TIMELINE: 2021-10-27 2021-11-09 DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To teach up to NTA Level 8; ii.To prepare learning resources for tutorial exercises; iii.To conducts research, seminars and case studies; iv.To carry out consultancy and community services […]

This post Assistant Lecturer – Records And Archives Management at CBE has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Tender Opportunity at KADCO

Tender     Tender No. PA/116/2020-2021 /KADCO/NCS/19 LOT 2 For Provision of Catering Services at The Tour Operators and Drivers Lounge ( Invitation to Bid ) This Invitation for Tenders follows the General Procurement Notice for this Project which appeared in Tanzania National Electronic Procurement System (TANePS) on 29th September, 2020. Kilimanjaro Airports Development Company intends […]

This post Tender Opportunity at KADCO has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Friday 29 October 2021

Serikali Yaishukuru Benki Ya Dunia Kwa Kuwekeza Shilingi Trilioni 12 Nchini Tanzania


Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Benki ya Dunia kwa kuwekeza zaidi ya dola za Kimarekani bilioni 5.5, sawa na takriban shilingi za Tanzania trilioni 12.6 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchini.

Dkt. Nchemba ametoa pongezi hizo wakati akizungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia, anayesimamia nchi za Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Dkt. Hafez Ghanem, wakati wa Mikutano ya Mwaka ya Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), iliyofanyika kwa njia ya mtandao, Jijini Dar es Salaam.

“Miongoni mwa fedha hizo ni pamoja na kiasi cha dola za marekani bilioni 1.167 zilizotolewa na Benki hiyo kwa ajili ya kutekeleza miradi mitano ya maendeleo ikiwemo ya sekta ya elimu, miundombinu, umeme na Tanzania ya Kidijitali kwa lengo la kuchochea uchumi jumuishi na kupambana na umasikini” Alisema Dkt. Nchemba

Dkt. Nchemba alisema kuwa kiasi hicho cha fedha kinahusisha utekelezaji wa miradi 26 ya maendeleo inayopata fedha kupitia dirisha la mikopo nafuu (IDA) la Benki ya Dunia yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 5.502.

Alisema kuwa miradi 21 kati ya hiyo ni ya kitaifa yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 4.804 na miradi 5 ni ya Kikanda yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 0.698 na kwamba mpaka sasa kiasi cha dola za Marekani bilioni 1.932 kimetolewa na Benki hiyo sawa na asilimia 35 ya fedha zote.

Akizungumzia hatua zinazochukuliwa na Serikali kupambana na athari za kiuchumi na kijamii zilizosababishwa na ugonjwa wa UVIKO-19, Dkt. Mwigulu Nchemba alisema kuwa Serikali imeandaa mpango wa mwaka mmoja wa kukabiliana na athari za ugonjwa huo utakaogharimu shilingi trilioni 3.62

“Tayari Serikali imepokea dola za Kimarekani milioni 567.25 sawa na takribani shilingi za Tanzania trilioni 1.3 kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ukiwa ni mkopo nafuu kwa ajili ya kunusuru maisha ya watu pamoja na uchumi wa nchi kutokana na athari hizo za UVIKO-19” alieleza Dkt. Nchemba.

Alisema kuwa fedha hizo zimeelekezwa kutatua changamoto za athari za UVIKO-19 kwenye sekta ya utalii, kunusuru kaya masikini, maji, elimu na Afya upande wa Tanzania Bara na Zanzibar na akatoa wito kwa wadau wengine wa maendeleo kuunga mkono jitihada hizo za Serikali ili kusisimua uchumi wa nchi.

Amesema kuwa hivi karibuni Serikali inatarajia kukamilisha mazungumzo na Benki ya Dunia kwa ajili ya kupata fedha za miradi miwili ikiwemo mradi wa kuboresha masuala ya ardhi na kuongeza msukumo wa kujifunza kupitia elimu ya msingi.

Kuhusu suala la wanafunzi wanaoacha masomo, Dkt. Nchemba alimwambia Makamu huyo wa Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Hafez Ghanem kwamba changamoto ni kubwa ambapo takwimu zinaonesha kuwa wanafunzi (wasichana na wavulana) 198,620 waliacha masomo katika shule za msingi wakati wanafunzi 113,484 wa shule za sekondari waliacha masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo vifo, utoro, utovu wa nidhamu na ujauzito.

“Serikali inachukua hatua mbalimbali kukabiliana na hali hiyo ikiwemo kuanzishwa kwa mradi wa kuboresha elimu ya Sekondari (SEQUIP) na mradi wa kuongeza ubora wa elimu ya msingi unaoombewa fedha kutoka Benki ya Dunia na wadau wengine wa maendeleo.

Akizungumza katika Mkutano huo, Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayezisimamia nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika, Dkt. Hafez Ghanem, aliipongeza Tanzania kwa hatua mbalimbali inazozichukua katika kusimamia uchumi na maendeleo ya wananchi wake.

Aliahidi kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia itakutana hivi karibuni kujadili maombi mbalimbali ya fedha yaliyotolewa na Tanzania kwa ajili ya kutekeleza miradi  ya maendeleo ili fedha hizo zipatikane kwa wakati.

Dkt. Ghanem alishauri masuala kadhaa yafanyiwe kazi na Serikali ikiwemo kuongeza jitihada ya kuyasaidia makundi maalumu yakiwemo ya vijana na wanawake ili waweze kujengewa uwezo wa kiuchumi pamoja na kukuza ajira.

Alisema pia kuwa suala la wasichana wanaopata ujauzito wakiwa shuleni wajengewe mazingira ya kuendelea na masomo baada ya kujifungua, suala ambalo Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba alimweleza kuwa Serikali inalifanyia kazi na kuangalia utaratibu utakaofaa zaidi kushughulikia suala hilo.

Aidha, Makamu wa Rais huyo wa Benki ya Dunia alipongeza utaratibu mzuri ulioanzishwa na Serikali wa kuimarisha na kuishirikisha sekta binafsi katika kutekeleza miradi mikubwa na ya kimkakati ya maendeleo kupitia mpango wa ushirikiano wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi.


Share:

Waziri mkuu Majaliwa atoa maagizo kwa mawaziri, azuia walinzi binafsi


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaagiza Mawaziri na Naibu Waziri wasimamie taasisi na idara zilizopo chini ya wizara zao ili zizingatie vigezo vyote vya utawala bora pamoja na kukemesha vitendo vya rushwa ambavyo ndio adui mkubwa wa utawala bora.

“Ninapenda kuwakumbusha kuwa ninyi ni nyenzo muhimu katika utendaji wa Serikali, hivyo wazembe, wezi na wabadhirifu waliopo chini ya mamlaka zenu lazima wote wachukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za Serikali. Kila kiongozi lazima awe makini muda wote.”

Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo leo (Ijumaa, Oktoba 29, 2021) wakati alipofungua Mafunzo ya Uongozi kwa Mawaziri na Naibu Mawaziri katika Ukumbi wa Mtakatifu Gasper jijini Dodoma. Mafunzo hayo yameandaliwa na Taasisi ya Uongozi.

Amesema lengo la mafunzo hayo ni kupanua uelewa wa Mawaziri na Naibu Mawaziri kuhusu masuala mbalimbali ya uongozi ikiwa ni pamoja na kuelewa majukumu, madaraka na mipaka ya nafasi zao, kuongoza watu, kufanya maamuzi ya kimkakati na kuboresha sifa binafsi za kiuongozi.

Amesema ubadhirifu unatakiwa ushughulikiwe mapema kwa weledi na utaalam bila kulazimika kusimamisha utekelezaji wa shughuli za Serikali kwa muda mrefu na hatua zichukuliwe bila kuoneana haya kama kuna ushahidi wa wazi kabla hata Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) hajakagua au viongozi wa juu kuchukua hatua.

Amewataka viongozi hao kutumia mada zitakazowasilishwa ili ziweze kuwasaidia katika kuzisimamia vyema Wizara wanazoziongoza na taasisi zilizo chini ya wizara zao ”mwende mkazisaidie taasisi hizo ili ziweze kutekeleza majukumu yake bila kikwazo chochote. Nendeni mkawe msaada kwao”

Kadhalika, Waziri Mkuu amewataka viongozi hao kwa kushirikiana na Taasisi zingine waendelee kusimamia amani na utulivu kwenye maeneo yao ili watu waendelee kufanya shughuli zao bila wasiwasi wowote. “Amani na utulivu ndiyo itatuwezesha kama nchi, tuendelee kuwavutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza mitaji yao hapa nchini.”

“Tunakumbushwa sisi viongozi wa Tanzania tuwe wazalendo na tuhakikishe tunaziendeleza rasilimali za nchi hii kwa faida ya Watanzania wote bila ubaguzi wa jinsia, kabila, dini na rangi ili mradi mtu hajavunja sheria. Tuwahudumie Watanzania wote kwa usawa.”

Pia, Waziri Mkuu amewasisitiza viongozi hao waepuke matumizi ya walinzi binafsi na waandishi wa habari binafsi katika Ofisi za Umma kwani wanaweza kuwa  chanzo cha uvujaji wa siri za Serikali. “Upo utaratibu wa kufuata endapo itabainika mnahitajika kupatiwa wasaidizi hao. Zingatieni utaratibu huo na si vinginevyo.”

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Management ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa ameiagiza Taasisi ya Uongozi ihakikishe inaendelea kuandaa mafunzo ili kujadili masuala mbalimbali kuhusu miradi ya kimkakati inayotekelezwa nchini, hususan ile inayosimamiwa na Ofisi ya Rais.

“Nia ni kutoa ujuzi, maarifa na taarifa kwa viongozi kutoka kwenye sekta mbalimbali juu ya umuhimu wa miradi hii. Kutokana na umuhimu wa miradi ya kimkakati, mikutano hii ni ya lazima.”

Pia, Waziri Mchengerwa ameziagiza wizara, idara na taasisi zote za Serikali zihakikishe zinatenga bajeti kwa ajili ya kuwapeleka watumishi viongozi kushiriki katika mafunzo yanayoandaliwa      na kutolewa na Taasisi ya Uongozi ili kuwaimasha kiutendaji.

 (Mwisho)
IMETOLEWA NA:


Share:

DKT. ABBASI AWATAKA WASANII KUWA NA NIDHAMU


****************************
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo. Dkt, Hassan Abbasi amewataka wasanii kote nchini kuwa na nidhamu ya hali ya juu ili kupata mafanikio kufika katika ngazi za Kimataifa.

Dkt. Abbasi ameyasema hayo leo Oktoba 29, 2021 kwenye Tamasha la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni wakati alipokuwa live kwenye kipindi cha XXL cha Clouds Fm Radio kilichofanyikia kwenye eneo la Chuo cha Sanaa Bagamoyo.

Amesema wasanii wanatakiwa kudumisha maadili ya kitanzania ili kuendelea kuitangaza nchi yetu badala ya kuiga tabia mbalimbali za wasanii wa nje ambazo hazina maadili katika Taifa letu.

Mkuu wa Chuo cha Sanaa cha Bagamoyo Dkt. Herbet Makoye amesama chuo kinaendelea kutoa elimu mbalimbali za sanaa ambapo amewataka kujiongeza baada ya kumaliza masomo yao.

Dkt. Makoye amewataka wadau mbalimbali kufika kwenye Tamasha la Bagamoyo ili kubadilishana uzoefu.

Tamasha hilo ni la siku tatu kuanzia Oktoba 28-30, 2021 ambapo lengo kuu la Tamasha hilo ni kuboresha Sanaa na Utamaduni wetu.
Share:

Assistant Lecturer – Tourism And Events Management at CBE

POST: ASSISTANT LECTURER – TOURISM AND EVENTS MANAGEMENT – 1 POST POST CATEGORY(S) MARKETING,MEDIA AND BRAND TOURISM AND TRAVEL EMPLOYER College of Business Education (CBE) APPLICATION TIMELINE: 2021-10-27 2021-11-09 DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To teachuptoNTALevel8; ii. To preparelearning resourcesfortutorial exercises; iii. To conductresearch,seminarsandcasestudies; iv. To carryoutconsultancy andcommunity servicesundersupervision; v. To supervisestudents’ projects; vi. To prepareteaching manual; and […]

This post Assistant Lecturer – Tourism And Events Management at CBE has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

RC NJOMBE- USAFIRISHAJI WENYE TIJA UNATEGEMEA BARABARA NZURI


Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhandisi Marwa Rubirya, akifungua Semina ya mafunzo kwa wadau wa usafirishaji (hawapo pichani), kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 inayofanyika mkoani Nj


Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Njombe, Mhandisi Ruth Shalluah akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhandisi Marwa Rubirya (hayupo pichani), kufungua Semina ya mafunzo kwa wadau wa usafirishaji (hawapo pichani), kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 inayofanyika mkoani Njombe


Baadhi ya washiriki wa semina ya mafunzo ya Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 wakimsikiliza mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Njombe (hayupo pichani), wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo yanayofanyika mkoani Njombe


Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhandisi Marwa Rubirya, (aliyeketi katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa semina ya mafunzo kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 kwa wadau wa usafirishaji, inayofanyika mkoani Njombe.


Wakili Msomi Fanueli Muhoza kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), akitoa elimu kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 kwa wadau wa usafirishaji mkoa wa Njombe.

PICHA NA WUU

............................................

Mkuu wa mkoa wa Njombe, Mhandisi Marwa Rubirya, amewataka wadau wa usafirishaji mkoani humo kuzilinda barabara nchini kwa kubeba uzito stahiki kwenye magari yao ili waweze kuwa wasafirishaji wenye tija.

Ameyasema hayo wakati akifungua semina ya mafunzo kwa wadau wa usafirishaji kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 inayofanyika kwa siku moja mkoani humo.

“Ndugu washiriki, mtakubaliana nami kuwa kama tunataka kuwa wasafirishaji wenye tija na ufanisi, ni lazima tuwe na barabara nzuri, barabara ambazo ni bora zinapunguza gharama za uendeshaji, gharama za vipuri, lakini vile vile zinapunguza muda wa safari na hivyo kuongeza kiasi cha faida ambacho msafirishaji anatarajia kukipata”, amesema Mhandisi Rubirya.

Ameongeza kuwa Serikali inatumia fedha nyingi katika ujenzi wa barabara nchini lakini vile vile kwenye matengenezo yake ili ziweze kuwa katika hali nzuri, hivyo ameipongeza Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kwa kuona umuhimu wa kuandaa mafunzo hayo ili kujenga uelewa kwa wasafirishaji wanaofanya makosa kutokana na kukosa uelewa wa sheria hiyo.

Akimkaribisha mgeni rasmi, Meneja wa TANROADS mkoa wa Njombe Mhandisi Ruth Shalluah, amesema kuwa mafunzo hayo ni muendelezo wa utoaji elimu ya Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 ambayo imekuwa ikitolewa kwa wadau wa usafiri wa barabara nchini tangu mwaka 2018 kabla ya kuanza kutumika rasmi mwezi Machi mwaka 2019.

“Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa mafunzo haya yanalenga kuongeza uelewa wa pamoja baina ya wasafirishaji na Serikali ambao ndio wa simamizi wa sheria hii, na hivyo mafunzo haya yanatolewa pia kwa watumishi wa mizani ili waweze kutoa huduma ya upimaji uzito wa magari kwa ufanisi” amesema Mhandisi Shallua.

Kwa upande wake Mhandisi Leonard Saukwa ambae ni Msimamizi wa Mizani kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), amewaambia waandishi wa habari kuwa mbali na utoaji wa elimu kuhusu sheria hiyo ya udhibiti uzito wa magari, semina hiyo pia imelenga kuelimisha namna ya upatikanaji wa vibali kwa wasafirishaji wa mizigo maalumu.

Mafunzo ya Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 yamepangwa kufanyika katika mikoa ya Dar es Salaam, Mtwara, Morogoro, Dodoma, Njombe, Mbeya, Rukwa, Ruvuma, Kigoma, Geita, Tabora, Mwanza, Arusha na Tanga, ambapo hadi kufikia sasa tayari, wadau wa usafirishaji katika mikoa ya Dar es Salaam, Mtwara Morogoro na Dodoma wamenufaika na mafunzo hayo.

Share:

Jobs in Tanzania – latest Jobs Today  in Tanzania October 2021

Browse all latest Jobs Today  in Tanzania JOB ADVERTISEMENTS FROM GOVERNMENT, TANZANIA NGOs AND INTERNATIONAL NGOs Find Latest Tanzanian Job Vacancies – Tanzania Jobs Today – Current  Jobs in Tanzania  – Daily Jobs in Tanzania: A listing of latest jobs in Tanzania from top employers. Over 50 new job vacancies in Tanzania posted daily. Browse and […]

This post Jobs in Tanzania – latest Jobs Today  in Tanzania October 2021 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

KOCHA YANGA AOMBA KAZI SIMBA SC


Mholanzi, Hans Van Der Pluijm.
Didier Gomes.

KATIKA rundo la CV ambazo Simba imezipokea kwa ajili ya nafasi ya kocha mkuu wa timu hiyo, kuna majina ya makocha kadhaa waliowahi kuifundisha Yanga.

Simba sasa inasaka mrithi wa Mfaransa, Didier Gomes, aliyetangaza kujiuzulu klabuni hapo baada ya matokeo mabaya kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

Baadhi ya makocha waliowahi kuifundisha Yanga wanaitajwa zaidi ni Mholanzi, Hans Van Der Pluijm, Mserbia, Zlatko Krmpotić na Mserbia, Kostadin Papic.

Tayari uongozi wa Simba umeanza mchakato wa kumsaka kocha mpya baada ya Gomes kusitisha ajira yake kufuatia kuondolewa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Jwaneng Galaxy ya Botswana.

Simba inasaka kocha mpya lakini ambaye atakuwa na leseni ya Daraja A la Shirikisho la Soka Afrika (Caf) au ile ya
Daraja A ya Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA pro) ambayo Gomes hakuwa nayo hali iliyoondoa sifa yake ya kukaa
kwenye benchi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika inayosimamiwa na Caf.

Chanzo chetu kutoka Simba kimesema, hadi sasa kuna CV nyingi za makocha wakiwemo waliofundisha Yanga pia kuna makocha wakubwa Afrika kutoka katika baadhi ya timu ambazo zimetinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Timu zilizotinga makundi Ligi ya Mabingwa Afrika ni Al Ahly ambayo kocha wake ni Pitso Mosimane, Espérance
ambayo inanolewa na Radhi Jaidhi, Wydad Casablanca inayonolewa na Walid Regragui, Mamelodi Sundowns
inayonolewa na Rulani Mokwena, Horoya inayonolewa na Lamine N’Diaye, Étoile du Sahel inayonolewa na Lassaad
Dridi, Al Hilal iliyo chini ya kocha Leonardo Jardim, CR Belouizdad ya kocha Beketi Karim, Petro de Luanda ya
kocha José Neto na ES Sétif inayofundishwa na Nabil Kouki.

Nyingine ni Al Merrikh ya kocha Lee Clark, Sagrada Esperança chini ya kocha Rui Sapiri, Jwaneng Galaxy inayofundishwa na Miguel da Costa na AmaZulu ya kocha Benni McCarthy.

“Kweli mchakato wa kumpata kocha mpya, umeashaanza na sasa tuna CV nyingi sana mezani kwetu, ila kubwa
tunaendelea kuangalia ni vigezo vipi tutatumia kumpata aliye bora zaidi kwani ni wazi kuwa kila mmoja wetu anafahamu kuwa Simba inahitaji kocha mkubwa mwenye uzoefu na soka la nje na ndani,” kilisema chanzo hicho.

Championi lilimtafuta mmoja wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Mulamu Ng’ambi ambaye alisema:
“Ni kweli hadi sasa baada ya ulimwengu kujua kuwa tumeachana na kocha wetu Gomes, kuna maombi mengi
sana yapo ila hatujaanza kupitia CV moja baada ya nyingine.

“Kama ilivyo kawaida ya makocha kila wakisikia suala la nani kaondoka, huwa wanaomba sana kazi hata waliopo kwenye ajira hadi muda huu, kubwa unatakiwa ujue kwamba waliowasilisha CV kwetu hadi sasa wapo makocha wakubwa na wengine tayari wameshafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

“Hivyo utagundua kuwa Simba inahitajika na makocha wengi sana, mbali na hivyo kuna CV hadi za makocha waliowahi kweli kuzinoa Yanga na timu za taifa za hapa Afrika na wengine Ulaya, hivyo bado tunaangalia ni lini tutakaa na kupitia CV moja baada ya nyingine.

“Ninachoweza kukuambia kwa sasa ni kwamba wewe endelea kuvuta subira kwani mara tutakapompata kocha anayehitajika kuinoa Simba tutaliweka wazi hilo, kwani lengo letu ni kuhakikisha tunapata kocha mwenye hadhi ya Simba.”
Share:

MAKALA :UKOSEFU WA JENGO,VIFAA VYA KISASA CHANZO CHA UZALISHAJI WA VIFARANGA WA SAMAKI WASIO NA UBORA


Na Dinna Maningo, RORYA

UZALISHAJI wa samaki wanaofugwa kwenye mabwawa kwa njia za kizamani umekuwa na changamoto, hali inayosababisha vifaranga kuzaliwa kwa idadi ndogo na wasio na ubora kutokana na ufugaji usiokuwa na mfumo wenye vyombo maalumu vya Teknolojia ya kisasa vya kufuga na kutotoresha vifaranga. 

Malunde 1 blog imefunga safari hadi Taasisi ya Utafiti wa uvuvi (TAFIRI) kituo cha Sota kilichopo kijiji cha Sota kata ya Tai wilaya ya Rorya mkoani Mara,ambayo ipo chini ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuzungumza na watafiti wa uvuvi, wafugaji wa samaki aina ya Sato wanaofugwa kwa kutumia mabwawa na vizimba ndani ya ziwa Victoria.

Tausi Khitentya ni Afisa mfawidhi kituo cha utafiti wa uvuvi Sota wilayani humo anaeleza kuwa ufugaji wa kisasa wa kutumia mabwawa na vizimba ni mzuri  endapo changamoto zake zikitatuliwa na na utaleta tija na kipato kikubwa kwa wafugaji lakini pia kuzitatua changamoto za watafiti wa uvuvi ikiwemo kupatiwa vifaa vya kiteknolojia vya kufanyia utafiti.

Khitentya anasema kuwa 1988 kituo hicho cha utafiti wa uvuvi kilianzishwa wilayani humo na kwamba lengo ni kuhamasisha ufugaji wa samaki,kufanya tafiti na ushauri,kupata taarifa za kitafiti na kuziwasilisha ili kutoa muongozo katika tafiti za uvuvi nchini.

Khitentya anasema kuwa kituo kinakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za ukosefu wa vitendea kazi vya kufanyia kazi za utafiti,jengo na Vifaa vya kisasa vya kutotoresha vifaranga wa samaki,upungufu wa watumishi 13 ,nyumba za watumishi na upungufu wa boti.

"Baada ya kuhamia Sota tulifanya kazi kwenye mazingira magumu tulikuwa na upungufu wa ofisi,maabara kwa ajili ya shughuli za utafiti,umeme, changamoto hizi zilipelekea 2001 kuhamia mitaani kule Kabwana-Shirati hadi 2020 tukapanga ofisi zenye umeme ili kufanya shughuli za Serikali.

" Tuliomba fedha Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kutujengea majengo ya ofisi,maabara na nyumba za watumishi, wametujengea jengo la utawala na jengo la maabara ya utafiti ujenzi ulioanza 2016 unaojengwa na Suma JKTumekamilika 2020 tunasubiri tukabidhiwe japo tangu mwaka jana tunayatumia majengo hayo maana tuliona tusiendelee kuingia gharama za fedha kulipa kodi kwenye ofisi za kupanga",alisema Khitentya.

Anasema kuwa kuna maabara ya utafiti lakini haina vitendea kazi " COSTECH wametujengea jengo la utawala na maabara lakini halina vifaa vya maabara vya kisasa kwa ajili ya utafiti,vifaa vya kukusanya takwimu za kitafiti tunapokwenda fildi,vifaa  vya kukusanya sampuli za maji,na vyakufanyia uchambuzi wa sampuli za maabara.

"Tuna boti moja ya kubeba watu 10 haiwezi kwenda maji marefu,hatua vifaa vingine vya kielektlonic,vifaranga vinavyozaliwa vina ubora kidogo kutokana na mabwawa yasiyo na viwango vya kisasa" anasema.

Hali ya uzalishaji wa samaki.

Khitentya anasema kuwa wanatumia njia ya kawaida ya kuzalisha vifaranga ambayo ni ya kuweka neti ndani ya bwawa lenye maji nakuweka samaki wazazi wanaachwa,wanataga na kutotoa kisha vifaranga vinachukuliwa .

  "Kituo chetu ni cha utafiti hatuna jengo,teknolojia ya kisasa inahitaji jengo maalumu la kutotoresha ambalo ndani yake litakuwa na mfumo wa kisasa wenye vyombo maalumu vya kisasa vya kutotoresha,Hapa zetu tumeweka wazazi 16 wastani kwa mwezi ni vifaranga 24,000,samaki anakua kwa wiki sita hadi nane ndipo anatotoa vifaranga.

"Teknolojia ya sasa samaki akitaga yai ananyang'anywa anaendelea kutaga alafu mayai yanatotoreshwa kwa njia za kisasa wanapelekwa kwenye jengo ambalo lina vifaa maalumu vya utotoreshaji",anasema.

Anasema kuwa wanafuga samaki kwa kutumia njia ya kawaida ya mabwawa, yalikuwa 9 lakini yanayotumika ni matatu kwasababu yakupotea kwa maji na miundombinu ya maji,hakuna pampu ya kusukuma maji.

Anaeleza kuwa kituo hicho cha utafiti hutoa mafunzo ya ufugaji wa kisasa kwa kutumia mabwawa na vizimba ambayo ni endelevu ambapo hukusanya wadau, vikundi vya ufugaji na kupatiwa elimu.

"Tuna wadau mbalimbali akiwemo Dkt. Masuba,kikundi cha MICHEEO,TAFG Tarime,mwaka jana tumetoa mafunzo kwa wageni mmoja mmoja wapatao 39 ambao tunawapa mafunzo na kuondoka na tunawatembelea kwenye mashamba yao.

"Tuliseminisha kikundi cha ufugaji samaki cha MICHEEO chenye wanachama 30 wanawake wakiwa 22 na wanaume 8 pamoja na wana kikundi wanne wa TAFG kutoka maeneo ya Rorya, Tarime na Serengeti.

Mwandishi aliongozana na Cesilia Mataba ambae ni afisa mtafiti na mkuu wa kitengo cha  cha utafiti (TAFIRI) Sota kutembelea ufugaji wa samaki wa mabwawa.

Malunde 1 blog ikatembelea ufugaji wasamaki kwa kutumia vizimba vilivyopo ndani ya ziwa Victoria kwa kikundi cha MCHEEO NA TAFG mwendo wa mita 240,kutoka nchi kavu kwa kutumia usafiri wa mtumbwi wa kupiga kasia mwendo wa dk5,ambapo ukitumia mtumbwi wa injini ni dk1 kufika eneo kunapofugwa samaki kwa njia ya vizimba.

Mataba anasema ufugaji wakwenye  vizimba uzalishaji wake ni mkubwa"ufugaji wa samaki umesaidia sana kupunguza ile kasi kubwa ya wavuvi kuvua samaki ziwani tukisema tutegemee kuwavua bila ufugaji samaki watazodo kupungua ziwani.

"Ufugaji umesaidia watu kupata ajira,samaki wa vizimba ni wakubwa kwasababu wanakuwa kwenye Mazingira yao ya asili ya maji tofauti na wa mabwawa ambayo maji yake yanakuwa hayana ubaridi baada ya kupigwa jua,changamoto ni wadudu wala samaki na ugonjwa wa fangasi huu unapunguza uzalishaji.

Daud Malunga mkazi wa Sota ambaye ni msaidizi wa ufugaji wa samaki (TAFG) kwa kutumia vizimba ambae pia ni mtaalamu wa mtumbwi wa kupiga gasia,anayehudumia samaki chakula anasema;

"Huwa natumia mtumbwi wa kupiga kasia nawapelekea chakula samaki waliopo ziwani kwenye vizimba,samaki wakubwa ni gramu 90-100 hao wana kula chakula mara tatu kwa siku.

" Wale wadogo wanakula mara nne hadi tano kwa siku,ulishaji wake unategemea hali ya hewa,wakati wa mvua hawali sana kwa sababu ya ubaridi wa maji,nimefanya kazi ya ubaharia miaka 10 kwenye boti ya kasia ni mzoefu", anasema Malunga.

Mtaalamu wa ufugaji wa samaki kutoka kikundi cha TAFG Tarime Janeth Nyamnata anasema "kikundi chetu kipo Tarime ila tunafuga samaki kwenye vizimba ziwani Rorya kwakuwa Tarime hakuna ziwa,mradi umeanzishwa mwaka jana ambapo mwezi januari mwaka huu tuliweka vifaranga kwenye vizimba, tunatarajia kuvuna hivi karibuni.

"Tuna vizimba 22 vilivyo na saizi ya 5 kwa 5 urefu kina cha maji mita 6, awali chakula tulikuwa tunanunua cha Thailand ila kwa sasa tuna mashine yetu Tarime inayotengeneza chakula cha samaki" anasema Nyamnata.

Katibu wa kikundi cha Micheeo Bonjo Ojora mkazi wa kijiji cha Sota anasema kuwa wanapovuna samaki kilo moja uuzwa sh.5,500,alizitaja changamoto za ufugaji wa samaki ni pamoja na ukosefu wa  fedha ili kukidhi  mahitaji ya uendeshaji wa shughuli za ufugaji samaki na vifo vitokanavyo na fangasi.
Cesilia  Mataba Mkuu wa kitengo cha utafiti wa uvuvi (TAFIRI) Sota na Daud Malunga msaidizi wa ufugaji wa samaki kikundi cha TAFG wakilisha chakula samaki kwenye vizimba vya kikundi cha TAFG.
Cesilia  Mataba Mkuu wa kitengo cha utafiti wa uvuvi (TAFIRI) Sota akionyesha bwawa la samaki.




Share:

NILIVYOOA MWALIMU WA SHULE YA UPILI NIKITUMIA KAMUTI

   

Mimi ni mzaliwa wa Mtopanga Tanzania na nina ujumbe ambao ningependa kila mmoja atilie maanani ili siku moja mtanikumbuka kw ausaidi zi huu wa bure. Kwa kweli ndoa sio kitu rahisi na mimi nilipata shida kupata mpenzi niliye naye kwa sasa hivi. 

Kwa miaka mingi nilikuwa Napata mpenzi na baada ya mwaka mmoja ananitoroka hadi nikafisha miaka arobanne na mmoja. Hii hali ilikuwa mbaya sana kwangu na wakati mwingi iliniacha na ugonjwa wa Pressure na Kisukari. 

Hakuna jambo mbaya kama kuachwa na kipenzi ambacho umezoea kukiona. Yote tisia kumi ni kwamba ilikuwa mwaka jana ndipo rafiki yangu anayeitwa James aliponitemeblea na habri nzuri.

 James aliniketisha kisha kunisihi nimsikize kwa makini kwani ana jamabo la mhimu. Kwa kweli alianza kwa kuniuliza mbona sina furaha ndipo nikamuambia kinachotendeka maishani mwangu.

 Alishikwa na butwaa kisha akanihurumia na kuniambia kuna siri ya kupata mke ambayo yeye pia alitumia na ikamwezesha kuoa hatimaye. James aliniambia yeye alitumia Spells za mapenzi yaani Love Spells ambazo alipewa na Kiwanga Doctors.

 Alitumia hizo Spells siku tatu tu na akaona mabadiliko. Wanawake walikuwa wanagonga mlango wake kila kuchao. Ilimbidi achanguwe mmoja haraka na kuoa. Sasa hivi wamejaliwa na mtoto mmoja wa miezi sita.

 Niliposikia habari hiyo nzuri, nilimuomba nambari ya simu ya Kiwanga ili nimtafute pia anipe kamuti na kwa kweli nilipigia Daktari Kiwanga simu ili anisaidie. Aliniambia niende nichukue hiyo dawa ambayo nilichukuwa na kwa muda wa siku mbili nilikutana na mwalimu wa shule ya upili ambaye sasa amelala kwangu siku nne. Ahsante Kiwanga. 

Kiwanga pia wanatatua matatizo ya kikazi, kotini yaani kesi, kuonegzwa cheo kazini na kadhalika. Pia wanatibu magonjwa kama vile Kisonono, Pressure, Menegintis, Ulcers Cancer na mengine mengi. Kwa mawasiliano kamili tumia Tuvuti au Website yao: www.kiwangadoctors.com; Simu: +254 769404965 au wasilian kwa barua pepe yaani Email kwa: kiwangadoctors@gmail.com. Sio lazima usafiri hadi ofisi zao.

 Ongea nao kwa njia ya simu na utasaidika kwa haraka kama vile watu wengine wanavyopata usaidizi.

Share:

Regional Youth Specialist – Tanzania Horticulture Activity at Lutheran World Relief

Regional Youth Specialist – Tanzania Horticulture Activity Longtime partner INGOs Lutheran World Relief (LWR) and IMA World Health (IMA) have founded Corus International to spearhead new collaborations and innovations across the global development, aid, public health, and private sectors that achieve transformational change and build self-reliance. Lutheran World Relief is seeking multiple candidates for the position […]

This post Regional Youth Specialist – Tanzania Horticulture Activity at Lutheran World Relief has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Nutrition Lead – Tanzania Horticulture Activity at Lutheran World Relief

Nutrition Lead – Tanzania Horticulture Activity Longtime partner INGOs Lutheran World Relief (LWR) and IMA World Health (IMA) have founded Corus International to spearhead new collaborations and innovations across the global development, aid, public health, and private sectors that achieve transformational change and build self-reliance. Lutheran World Relief is seeking a Nutrition Lead for an […]

This post Nutrition Lead – Tanzania Horticulture Activity at Lutheran World Relief has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger