Friday 30 July 2021

TIC, MANISPAA YA SHINYANGA, BENKI YA CRDB NA SIDO WATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WA VETA NA WAJASIRIAMALI WANAOSHIRIKI MAONESHO


Meneja wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (Tanzania Investment Centre - TIC) Kanda ya Ziwa Pendo Gondwe akizungumza wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga ambapo amewataka kuchangamkia fursa za Uwekezaji katika Kanda ya Ziwa kwenye sekta mbalimbali zikiwemo za Kilimo, Madini, Miundombinu, Viwanda, Maliasili, Huduma za Kijamii, Utalii n.k.
 ***

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Ofisi ya Biashara Manispaa ya Shinyanga kwa kushirikiana na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (Tanzania Investment Centre - TIC) Kanda ya Ziwa, SIDO, Benki ya CRDB na TCCIA mkoa wa Shinyanga wameendesha mafunzo wameendesha mafunzo mbalimbali kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga.

Mafunzo hayo yamefanyika leo Ijumaa Julai 30,2021 katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa Old Shinyanga ambako panafanyika Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga yenye kauli mbiu “Uwekezaji wa Madini na Viwanda Shinyanga kwa Uchumi Endelevu” kuanzia Julai 23 hadi 1 Agosti, 2021.

Lengo la mafunzo ni kuwapa elimu ya ujasiriamali, elimu ya uwekezaji,huduma zinazotolewa na Benki ya CRDB,namna ya kusajili na kurasimisha biashara zao kupitia TCCIA na Brela,mafunzo yanayotolewa na SIDO na huduma zinazopatikana katika ofisi ya Biashara Manispaa ya Shinyanga ikiwemo utoaji na upatikanaji wa Leseni za biashara.

Tazama picha hapa chini
Meneja wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (Tanzania Investment Centre - TIC) Kanda ya Ziwa Pendo Gondwe akizungumza wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga ambapo amewataka kuchangamkia fursa za Uwekezaji katika Kanda ya Ziwa kwenye sekta mbalimbali zikiwemo za Kilimo, Madini, Miundombinu, Viwanda, Maliasili, Huduma za Kijamii, Utalii n.k.
Meneja wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (Tanzania Investment Centre - TIC) Kanda ya Ziwa Pendo Gondwe akizungumza wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga ambapo amewataka kuchangamkia fursa za Uwekezaji katika Kanda ya Ziwa kwenye sekta mbalimbali zikiwemo za Kilimo, Madini, Miundombinu, Viwanda, Maliasili, Huduma za Kijamii, Utalii n.k.
Meneja wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (Tanzania Investment Centre - TIC) Kanda ya Ziwa Pendo Gondwe akizungumza wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga ambapo amewataka kuchangamkia fursa za Uwekezaji katika Kanda ya Ziwa kwenye sekta mbalimbali zikiwemo za Kilimo, Madini, Miundombinu, Viwanda, Maliasili, Huduma za Kijamii, Utalii n.k.
Afisa Biashara wa Manispaa ya Shinyanga, Milembe George (kushoto) akiteta jambo na Meneja wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (Tanzania Investment Centre - TIC) Kanda ya Ziwa Pendo Gondwe
Afisa Biashara wa Manispaa ya Shinyanga, Milembe George akielezea huduma zinazopatikana katika ofisi ya Biashara Manispaa ya Shinyanga ikiwemo utoaji na upatikanaji wa Leseni za biashara wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga.
Afisa Biashara wa Manispaa ya Shinyanga, Milembe George akielezea huduma zinazopatikana katika ofisi ya Biashara Manispaa ya Shinyanga ikiwemo utoaji na upatikanaji wa Leseni za biashara wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga.
Afisa Biashara wa Manispaa ya Shinyanga, Milembe George akielezea huduma zinazopatikana katika ofisi ya Biashara Manispaa ya Shinyanga ikiwemo utoaji na upatikanaji wa Leseni za biashara wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga.
Katibu wa Chemba ya Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) mkoa wa Shinyanga, Marcelina Saulo akielezea namna ya kusajili na kurasimisha biashara zao kupitia TCCIA na Brela wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga.
Katibu wa Chemba ya Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) mkoa wa Shinyanga, Marcelina Saulo akielezea namna ya kusajili na kurasimisha biashara zao kupitia TCCIA na Brela wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga.
Afisa Mahusiano wa Benki ya CRDB tawi la Shinyanga, Venance Mwakangale akielezea kuhusu Akaunti ya Hodari ambayo haina makato inayotolewa na Benki ya CRDB wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga.
Afisa Mahusiano wa Benki ya CRDB tawi la Shinyanga, Venance Mwakangale akielezea kuhusu Akaunti ya Hodari inayotolewa na Benki ya CRDB wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga.
Afisa Uendelezaji wa Biashara SIDO mkoa wa Shinyanga, Joseph Taban akielezea huduma wanazotoa ikiwa ni pamoja na mafunzo kwa wajasiriamali,huduma za fedha na huduma za masoko kwa wajasiriamali na ubunifu na uendelezaji wa teknolojia wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga.
Afisa Uendelezaji wa Biashara SIDO mkoa wa Shinyanga, Joseph Taban akielezea huduma wanazotoa ikiwa ni pamoja na mafunzo kwa wajasiriamali,huduma za fedha na huduma za masoko kwa wajasiriamali na ubunifu na uendelezaji wa teknolojia wakati wa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga.
Wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga wakifuatilia mafunzo yakitolewa na maafisa kutoka TIC, Manispaa ya Shinyanga, Benki ya CRDB na SIDO.
Wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga wakifuatilia mafunzo yakitolewa na maafisa kutoka TIC, Manispaa ya Shinyanga, Benki ya CRDB na SIDO.
Wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga wakifuatilia mafunzo yakitolewa na maafisa kutoka TIC, Manispaa ya Shinyanga, Benki ya CRDB na SIDO.
Mafunzo yanaendelea
Wanafunzi wa Chuo cha Ufundi VETA Shinyanga na wajasiriamali wanaoshiriki maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga wakifuatilia mafunzo yakitolewa na maafisa kutoka TIC, Manispaa ya Shinyanga, Benki ya CRDB na SIDO.

Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Share:

USIKIVU WA TBC WAPANDA KWA ASILIMIA 14 NDANI YA MIEZI MIWILI

1Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Innocent Bashungwa(Mb), na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe.Dkt. Faustine Ndungulile (Mb);wakikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Kituo cha kurushia matangazo ya Redio ya TBC eneo la Kisaki - Morogoro leo Julai, 2021.

1Mtaalam wa Mitambo akitoa maelezo kwa  viongozi  mbalimbali waliohudhuria  kwenye ya uzinduzi wa Kituo cha kurushia matangazo ya Redio ya TBC eneo la Kisaki - Morogoro leo Julai, 2021.




Na John Mapepele, WHUSM

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe Innocent Bashungwa amesema hadi kufikia Mwezi Septemba, mwaka huu usikivu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) utapanda kuzifikia Wilaya 120 sawa na 76% kutoka Wilaya 103 ambapo ni sawa na 64% za usikivu wa sasa ili kuhahakikisha wananchi wote wanapata habari kwa uhakika.

Mhe. Bashungwa ameyasema hayo leo Julai 30, 2021 kwenye uzinduzi wa kituo cha kurushia matangazo ya redio eneo la Kisaki mkoani Morogoro ambapo amesema katika Bajeti ya Maendeleo ya Wizara yake kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021, TBC inatekeleza miradi ya upanuzi wa usikivu katika Wilaya za Karagwe (Kagera), Same (Kilimanjaro), Sikonge (Tabora), Kahama (Shinyanga), Bunda (Mara), Nkasi (Rukwa) na Kasulu (Kigoma)ambapo amefafanua kuwa kukamilika kwa miradi hii kutawezesha usikivu wa TBC kufikia 76% ya nchi nzima.


“Nataka kuwahakikishia wananchi wote kuwa Serikali ya awamu ya Sita chini ya Uongozi shupavu wa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inakusudia kupanua usikivu wa redio za TBC nchi nzima” amesisitiza Mhe. Bashungwa

Ameyataja maeneo mengine ambayo miradi inaendelea kutekelezwa kwa ushirikiano wa TBC na UCSAF kuwa ni pamoja na wilaya za Ngara (Kagera), Kyela (Mbeya), Ruangwa (Lindi), Kilombero/Mlimba (Morogoro), Ludewa (Njombe), Tanganyika (Katavi), Makete (Njombe), Uvinza (Kigoma), Mbinga (Ruvuma) na Ngorongoro (Arusha).

Pia ametoa wito kwa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kupeleka miundombinu ya umeme kwa vituo vyote ambavyo vinatumia genereta mfano Karagwe ili kuendelea kupunguza gharama za uendeshaji wa miradi hii.

“Kabla ya mradi kuanza kutekelezwa TBC, TANESCO na UCSAF kaeni pamoja mjadiliane namna ya kutekeleza miradi hii kwa ufanisi ili kutatua shida zinazowakabili wananchi wetu kwa kukosa huduma ya Habari na Mawasiliano” amesisitiza Mhe. Bashungwa

Kwa upande mwingine ameiomba Wizara ya Ujenzi kupitia TANROADS na TAMISEMI kupitia TARURA waone namna ya kuwezesha kufikika eneo hilo la mradi wa Kisaki kwa urahisi zaidi.

“Ombi hili ni sambamba na maeneo mengine yenye mitambo ya kurusha matangazo ambayo miundombinu yake haiko vizuri mfano eneo la Mnyusi- Tanga, Imagi – Dodoma, Matogoro – Songea na Mlima kampuni – Katavi)”. Ameongeza Mhe. Bashungwa.

Amesema kuwa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (Ibara 125) inaelekeza Serikali kuhakikisha kuwa inawekeza katika uimarishaji wa miundombinu ya utangazaji kwa TBC.

Mhe. Bashungwa amefafanua kuwa kwa namna ya pekee ibara ya 125 (f) inalekeza kuwa Serikali itahakikisha kuwa “inaimarisha Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) kwa kulijengea uwezo wa rasilimaliwatu, fedha na vifaa vya kisasa ili liweze kufikisha matangazo ya redio na televisheni nchini kote kwa ubora na usikivu mzuri....”.

Aidha amesema Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka mitano (2020/2021 - 2025/2026) umeainisha vipaumbele vyake katika uwekezaji wa miundombinu ya Utangazaji ya TBC, ikiwemo upanuzi wa usikivu wa redio, pamoja na miundombinu yake.

Ameisihi Menejimenti ya Shirika hilo kuendelea kuwa wabunifu katika kuhabarisha umma na kuwahakikishia kwamba Wizara yake itaendelea kuwapatia msaada wowote wanaohitaji ili kutimiza malengo yake. Amelitaka TBC kuhakikisha linaandaa maudhui yatakayokidhi matakwa ya jamii nzima ya watanzania katika kukuza uzalendo, kudumisha mila na desturi za Watanzania na kulinda tunu za Taifa.

Pia amelipongeza TBC kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuwahabarisha wananchi wa makundi yote, ambapo amesema anatambua jitihada zinazofanywa za kukamilisha uzinduzi wa chaneli mpya ya televisheni ya TBC2 itakuwa mahususi kwa ajili ya vipindi vya vijana, michezo na burudani ambayo ujenzi wa studio zake umekamilika Mikocheni, Dar es Salaam.

Amewashukuru wadau wote ambao wanafanikisha utekelezaji wa mradi wa usikivu wa TBC hapa nchini. Amewataja baadhi ya wadau hao kuwa ni pamoja na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Maendeleo ya jamii,Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kwa kuendelea kufadhili miradi hii ya Upanuzi wa Usikivu ambayo inatarajiwa kutatua changamoto za Usikivu hivyo kuwezesha wananchi kupata huduma ya habari na Mawasiliano kwa urahisi zaidi.

Amesema uzinduzi wa kituo hiki ni hatua muhimu katika kutekeleza malengo Serikali katika kufisha habari kwa wananchi wote, mahala popote kwa lengo la kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha kwa njia ya redio, televisheni na mitandao ya kijamii. TBC kikiwa ni chombo cha Utangazaji cha Umma, kimetekeleza jukumu hili kwa vitendo.



Matangazo ya Redio za TBC kupitia kituo hiki yanatarajiwa kuwafikia wananchi katika vijiji vya Mvuha, Dhutumi, Bwakila Chini, Dakawa, Mngazi, Milengwelengwe, Sesenga, Nyalutanga, Mdokonyole, Gomelo, Kisaki Station, Matambwe, Kolelo, Lukange, Mgata, Ngerengere, Singisa na kwingineko). Maeneo mengine yatakayonufaika na mradi huu ni katika Wilaya za jirani za Kilombero, Rufiji na Kilwa.

“Kuzinduliwa kwa matangazo ya Redio katika kituo hiki cha Kisaki, ni utekelezaji wa Ilani ya CCM (2021 – 2025), ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu kuzinduliwa kwake”.amesisitiza Mhe. Bashungwa.

Share:

MWANAMKE AFARIKI KWA KUUNGUA MOTO GESTI


Kamanda wa Polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi
***
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Neema Bayo anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 40 hadi 49 mwenyeji wa Babati mkoani Arusha, amepoteza maisha na wengine wanne kunusurika kifo, baada ya nyumba ya kulala wageni walimokuwa wamelala kuteketea kwa moto.

Moto huo ulitokea usiku wa kuamkia Julai 29 mwaka huu, katika nyumba ya kulala wageni ya New Anti, eneo la Muleba mjini wilaya ya Muleba mkoani Kagera, umeteketeza jengo lote na vitu vyote vilivyokuwa ndani.

Akizungumzia eneo la tukio Kamanda wa Polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi amesema wakati moto ukitokea katika nyumba hiyo kulikuwa na watu watano wakiwamo wageni watatu, mhudumu na mtoto wa mhudumu huyo.

Kwa upande wake Afisa Uhusiano wa Shirika la Umeme nchini TANESCO wilaya ya Muleba, Sadam Kaijage amesema kuwa walipokea taarifa kwa simu na kuwahi eneo la tukio ili kudhibiti moto huo usienee zaidi, na kwamba uchunguzi umeanza ili kubaini chanzo cha moto huo.

Naye mhudumu wa hoteli hiyo iliyoteketea kwa moto Farida Mwise amesema kuwa umeme ulikatika saa nne usiku na wakati wanalala hakukuwa na umeme, na alipoamka usiku kumpa mtoto wake uji kabla hajasinzia alisikia kishindo ndipo alipofuatilia akagundua kuwa nyumba inaungua, akakimbia kuwaamsha wateja na kisha kukimbilia nje akiwa amembeba mwanae.

Chanzo - EATV
Share:

DKT. KALEMANI AAGIZA WAKANDARASI KUPELEKA UMEME KATIKA MAENEO YA VIWANDA VIJIJINI

 

Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani(Kulia) akizungumza na Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango(kushoto) wakati wa uzinduzi wa Mradi wa umeme wa Ujazilizi Fungu la Pili A Ngazi ya Mkoa uliofanyika wilayani Same, Julai 29,2021.

Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani akizungumza na wanafunzi wa shule ya msingi Kalemane baada ya kuwakabidhi kifaa cha UMETA kwa ajili ya kuunganishiwa umeme katika shule yao wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Umeme wa Ujazilizi Fungu la Pili A ngazi ya Mkoa uliofanyika katika kitongoji cha Mheza wilayani Same, Julai 29,2021.

Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mradi wa umeme wa Ujazilizi Fungu la Pili A ngazi ya Mkoa uliofanyika wilayani Same, Julai 29,2021 uliozinduliwa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani.

Baadhi ya wanafunzi na wananchi wakifatilia hotuba ya Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani (hayupo pichani) wakati akizundua Mradi wa umeme wa Ujazilizi Fungu la Pili A ngazi ya Mkoa uliofanyika wilayani Same, Julai 29,2021.

Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani akiwa na Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango,wanafunzi pamoja na viongozi wa wilaya ya Same wakikata utepe kuwasha umeme katika Kijiji cha Kifaru wakati wa ziara ya uzinduzi wa Mradi wa umeme wa Ujazilizi Fungu la Pili ngazi ya Mkoa wa Kilimanjaro uliofanyika wilayani Same, Julai 29,2021.

Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango akisoma maelezo ya jiwe la msingi baada ya Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani kuzindua Mradi wa umeme wa Ujazilizi Fungu la Pili ngazi ya Mkoa uliofanyika wilayani Same, Julai 29,2021.

Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani akipongezwa na Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango mara baada ya kuzindua Mradi wa umeme wa Ujazilizi Fungu la Pili A Ngazi ya Mkoa Uliofanyika katika kitongoji cha Mheza, Julai 29,2021.


Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Medard Kalemani amewaagiza wakandarasi wanaojenga miundombinu ya kusambaza umeme vijijini kupeleka umeme katika maeoneo maalum ambayo yametengwa kwa ajili ya uwekezaji wa viwanda.

Dkt. Kalemani alitoa agizo hilo wakati akizindua Mradi wa Ujazilizi Umeme Vijijini Fungu la Pili A ngazi ya mkoa uliofanyika Julai 29,2021 katika kijiji cha Mheza wilaya ya Same Mkoa wa Kilimanjaro.

Aidha, amewakumbusha viongozi wa Serikali za Mitaa katika ngazi ya kata na vijiji kutenga maeneo maalum ya uwekezaji wa viwanda ili yaweze kupelekewa miundombinu ya umeme wakati wa utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini. “Tumieni umeme kufanya biashara muongeze thamani ya mazao ya kilimo na mifugo kwa kuanzisha viwanda” alisisitiza.

Waziri Kalemani amesema Mradi huo utatekelezwa kwa muda miezi 12 na Serikali imetenga kiasi cha takribani Shilingi Bilioni 8.59 kwa ajili ya kuvifikishia umeme vitongoji ambavyo havina umeme katika Mkoa wa Kilimanjaro katika fedha hizo Wilaya ya Same imetengewa zaidi ya Shilingi Bilioni 3.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Mhe. Anne Kilango Malecela ameishukuru Serikali kwa kupelekewa miradi hiyo ya kusambaza umeme vijijini na kuomba maeneo ambayo bado hayajafikishiwa umeme yapatiwe nishati hiyo.

Share:

JITIBU TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA KUTUMIA FULL POWER.. UUME MDOGO ZAT 50 NDIYO SULUHISHO



Zati 50


Full Power



Sababu za upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume:

⇒Ngiri,


⇒Henia


⇒Kisukari


⇒Tumbo kujaa gesi

⇒Kutopata choo vizuri


⇒Utumiaji madawa kwa muda mrefu


⇒Unywaji wa pombe kupita kiasi


⇒Msongo wa mawazo 

⇮⇒Haya yote hupelekea mwili kutokuzalisha homoni ya gesrtogine au kuwa chache na kushindwa kupata mzunguko mzuri wa damu na vichocheo vingine kama madini ya zinki ambayo hukufanya kuwa na msisimko  na kufanya kuwa na muda  mrefu na nguvu za kutosha.

ZAT 50

⇨ Inarutubisha maumbile ya uume  na kunenepesha urefu nchi 6,unene sentimita 4

⇨Dawa hii ni ya kutibu kabisa tatizo hilo.


FULL POWER

⇨Ni dawa ya vidonge ya miti shamba inaongeza nguvu za kiume na kutibu kabisa tatizo hilo.

⇨Inaongeza hamu ya tendo la ndoa
⇨Inakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya Dakika 30 na kurudia tendo zaidi ya mara nne na zaidi.

Pia tunatibu Magonjwa mengine Kama

Matatizo ya pumu,Bawasiri, vidonga vya tumbo,Kisukari,Magonjwa sugu ya zinaaa,Kaswende,U.T.I , kiuno,miguu kuwaka moto, Fangasi sehemu za Siri, kupunguza unene wa mwili,tumbo kuunguruma,kujaa gesi, matatizo ya uzazi kwa wanawake, kurutubisha mbegu za uzazi kwa akina baba, matatizo ya meno tunatibu bila kungoa

Kliniki yetu inapatikana Zanzibar, Dar es salaam na Shinyanga.

Wasiliana nasi kwa simu namba 071770 22 27
Share:

Planning Manager at ABInBEV

Planning Manager   Dar es Salaam, Tanzania Full-time Company Description Our Dream is to bring people together for a better world. Beer, the original social network, has been bringing people together for thousands of years. We are committed to building great brands that stand the test of time and to brewing the best beers using […]

This post Planning Manager at ABInBEV has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Management Consultant at INNOVEX

Management Consultant    INNOVEX is a Pan-African advisory and assurance services firm providing professional services in Sub-Saharan Africa with a focus in Tanzania, Rwanda, Kenya, Uganda, Southern Sudan and South Africa. We are very pleased to invite job applications from self-motivated and performance driven individuals interested in a career in Management Consulting. We have an […]

This post Management Consultant at INNOVEX has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Senior Human Resource Officer at ATCL

Senior Human Resource Officer (Counselling & Employees Welfare)   Air Tanzania Company Limited (ATCL) is implementing its five years Corporate Strategic Plan (2017/2018-2020-2021) which includes the network expansion in local, regional and international destinations as well as improvement of its internal operations and human capital management. Therefore, applications are invited from qualified Tanzanians to fill the […]

This post Senior Human Resource Officer at ATCL has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

  Internal Auditor (1 posts) At Tujijenge Tanzania

Tujijenge Tanzania’s mission is to improve the quality of life for families in Tanzania through the provision of microfinance. We are a microfinance organisation, offering products through group and individual lending, targeting micro and small enterprises. Tujijenge Tanzania was set up by Tujijenge Afrika, with the vision of being a leader in the provision of […]

This post   Internal Auditor (1 posts) At Tujijenge Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Recovery Officer (4 posts) at Tujijenge Tanzania

Tujijenge Tanzania’s mission is to improve the quality of life for families in Tanzania through the provision of microfinance. We are a microfinance organisation, offering products through group and individual lending, targeting micro and small enterprises. Tujijenge Tanzania was set up by Tujijenge Afrika, with the vision of being a leader in the provision of […]

This post Recovery Officer (4 posts) at Tujijenge Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Loan Officer (35 posts) at Tujijenge Tanzania

Tujijenge Tanzania’s mission is to improve the quality of life for families in Tanzania through the provision of microfinance. We are a microfinance organisation, offering products through group and individual lending, targeting micro and small enterprises. Tujijenge Tanzania was set up by Tujijenge Afrika, with the vision of being a leader in the provision of […]

This post Loan Officer (35 posts) at Tujijenge Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Branch Manager (4 posts) at Tujijenge Tanzania

Tujijenge Tanzania’s mission is to improve the quality of life for families in Tanzania through the provision of microfinance. We are a microfinance organisation, offering products through group and individual lending, targeting micro and small enterprises. Tujijenge Tanzania was set up by Tujijenge Afrika, with the vision of being a leader in the provision of […]

This post Branch Manager (4 posts) at Tujijenge Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Regional Manager at Tujijenge Tanzania

Tujijenge Tanzania’s mission is to improve the quality of life for families in Tanzania through the provision of microfinance. We are a microfinance organisation, offering products through group and individual lending, targeting micro and small enterprises. Tujijenge Tanzania was set up by Tujijenge Afrika, with the vision of being a leader in the provision of caring, […]

This post Regional Manager at Tujijenge Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Customer Service Advisor– Dodoma at Absa Group Limited

Customer Service Advisor – Dodoma  Truly African Absa Group LimitedWe are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance. Absa Group Limited is listed on the JSE and is one of Africa’s largest diversified financial […]

This post Customer Service Advisor– Dodoma at Absa Group Limited has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Customer Service Advisor – Zanzibar1 at Absa Group Limited

Customer Service Advisor –  Zanzibar1 Truly African Absa Group LimitedWe are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance. Absa Group Limited is listed on the JSE and is one of Africa’s largest diversified financial […]

This post Customer Service Advisor – Zanzibar1 at Absa Group Limited has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Customer Service Advisor – Zanzibar 2 at Absa Group Limited

Customer Service Advisor – Zanzibar 2 Truly African Absa Group LimitedWe are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance. Absa Group Limited is listed on the JSE and is one of Africa’s largest diversified […]

This post Customer Service Advisor – Zanzibar 2 at Absa Group Limited has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Customer Service Advisor – Mbeya at Absa Group Limited

Customer Service Advisor  – Mbeya Truly African Absa Group LimitedWe are a diversified standalone African financial services group, delivering an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth, investment management and insurance. Absa Group Limited is listed on the JSE and is one of Africa’s largest diversified financial […]

This post Customer Service Advisor – Mbeya at Absa Group Limited has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger