Wednesday 23 September 2020

NDUGAI AFUNGUA SHINA LA WAKEREKETWA CCM LA WAFANYA BIASHARA IPEMBE SINGIDA

Mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa Ndugu Job Ndugai Akihutubia wanachama na wapenzi wa Chama cha Mapinduzi wa shina na 3 la Ipembe mkoani Singida.
 Eneo la Shina la wakereketwa wa Chama Cha Mapinduzi CCM  Mbacho Guest ambalo lipo kata ya Ipembe Manispaa ya Singida.
 Mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa Ndugu Job Ndugai akiwakabidhi kadi za CCM wanachama wapya waliohamia Chama Cha Mapinduzi CCM kutoka vyama vingine vya upinzani.
Mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa Ndugu Job Ndugai akiwakabidhi kadi za CCM wanachama wapya waliohamia Chama Cha Mapinduzi CCM kutoka vyama vingine vya upinzani.

Na Ismail Luhamba, Singida.


MJUMBE wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Job Ndugai amesema Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania linatarajia kuboresha sheria kwa wafanyabiashara nchini ili wafanye biashara zao kwa tija.


Mjumbe huyo ambaye pia ni Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyasema hayo jana wakati akizindua shina la wakereketwa wa CCM ambao ni wafanyabiashara kata ya Ipembe Wilaya ya Singida mjini. 

Ndugai alitumia nafasi hiyo kuwaomba wanachama wote na wasio wanachama siku ya kupiga kura kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura na kukipigia chama cha CCM kwani kina mambo makubwa ya kimaendeleo kwa wananchi wake.

Awali akisoma taarifa fupi ya shina hilo kabla ya kuzinduliwa, atibu msaidizi wa shina hilo Florian Malya alisema wafanyabiashara hao wanaiomba serikali kuwawekea mazingira mazuri ya kufanikisha biashara zao ili waweze kujipatia kipato na kuweza kulipa kodi mbalimbali kwa mujibu wa sheria.

"Sisi wafanyabiashara tunakiunga mkono chama cha Mapinduzi na tutahakikisha kinashinda kwa kishindo kwa ngazi zote kuanzia diwani,mbunge na Rais",alisema Malya.

Shina hilo ambalo lipo eneo la Mbacho Guest kata ya Ipembe lina wanachama 50 likiwa linaongozwa na mwenyekiti wake Philipo Masawe, katibu ni Mark Kimboka na katibu msaidizi akiwa ni Florian Malya.

Share:

Monitoring and Evaluation (M&E) Officer at EGPAF

VACANCY ANNOUNCEMENT “Sometimes in life there is that moment when it’s possible to make a change for the better. This is one of those moments.” -Elizabeth Glaser The Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation is a global leader in the fight against pediatric HIV and AIDS, working in 19 countries and supporting close to 6,000 sites […]

The post Monitoring and Evaluation (M&E) Officer at EGPAF appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Jobs in Tanzania – latest Jobs Today  in Tanzania September 2020

56Browse all latest Jobs Today  in Tanzania JOB ADVERTISEMENTS FROM GOVERNMENT, TANZANIA NGOs AND INTERNATIONAL NGOs Find Latest Tanzanian Job Vacancies – Tanzania Jobs Today – Current 2020 Jobs in Tanzania July 2020 – Daily Jobs in Tanzania: A listing of latest jobs in Tanzania from top employers. Over 50 new job vacancies in Tanzania posted […]

The post Jobs in Tanzania – latest Jobs Today  in Tanzania September 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Nafasi za kazi serikalini (Utumishi wa Umma/ ajiraportal.go.tz) September 2020

The Public Service Recruitment Secretariat (PSRS)-Nafasi za Kazi serikalini (Utumishi wa Umma/ ajiraportal.go.tz) What is The Public Service Recruitment Secretariat (PSRS)? The Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) is a government organ with a status of independent Department established specifically to facilitate the recruitment process of employees to the Public Service. Public Service Recruitment Secretariat was […]

The post Nafasi za kazi serikalini (Utumishi wa Umma/ ajiraportal.go.tz) September 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Energy Specialist at RTI International

Background: RTI International is an independent, nonprofit research institute dedicated to improving the human condition by turning knowledge into practice. The organization provides research, development, and technical services to government and commercial clients in more than 75 countries. Power Africa East Africa Energy Program is a four-year project working to increase on-grid electricity access, accelerate […]

The post Energy Specialist at RTI International appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

MHPSS/Psycho Social Officer at International Rescue Committee

Requisition ID: req10442 Job Title: MHPSS/Psycho Social Officer Sector: Health Employment Category: Fixed Term Employment Type: Full-Time Open to Expatriates: No Location: Kibondo, Tanzania Job Description The International Rescue Committee (IRC) Tanzania is present in the Kigoma Region, Northwestern Tanzania, providing services in one remaining refugee camp in Kasulu District and at a transit Centre in Kigoma town.  Approximately 65,000 Congolese receive protection […]

The post MHPSS/Psycho Social Officer at International Rescue Committee appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Business Analyst Graduate Trainee at Total

Job Description Business Analyst– Graduate Trainee. Specifically, the holder of this position is responsible for the following: Prepare and submit timely and comprehensive weekly network sales, margins and purchase analysis reports Collect and prepare weekly and monthly station sales reports per station, per region and per TM for all products and services with explanations in […]

The post Business Analyst Graduate Trainee at Total appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Territory Manager at Total

Job Description Under the authority of the Network Operation Manager, he is responsible for a profit center that he pilots with the support of functional and operational units (customer service, maintenance, SFS, accounting, etc.). He is the main person responsible for the service stations he handles. He spells out, coordinates, develops and supervises the policies […]

The post Territory Manager at Total appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Majaliwa: Tarehe 28 Oktoba Siyo Siku Ya Mzaha

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amemaliza ziara yake mkoa wa Mara na kuwaeleza wananchi kwamba tarehe 28 Oktoba, 2020 siyo siku ya mzaha.

"Tarehe 28 Oktoba, 2020 siyo siyo ya mzaha na wala siyo siku ya majaribio. Ni siku ya kuchagua Kiongozi atakayetufaa, na huyo si mwingine bali Dkt. John Pombe Magufuli, " amesema.

Ametoa kauli hiyo jana mchana (Jumanne, Septemba 22, 2020) wakati akizungumza na wakazi wa Kibara, wilayani Bunda, mkoani Mara kwenye mkutano wa kuwanadi wagombea wa CCM uliofanyika katika uwanja wa michezo wa Kibara.

Amesema kiongozi wa nchi anayefaa kuchaguliwa ni yule anayeweza kusimamia rasilmali za Taifa. "Ni yule anayeweza kusimamia tunu za Taifa... siyo mnapata kiongozi halafu akipewa nchi anabadilisha hadi wimbo wa Taifa."

"Tunahitaji kiongozi anayeweza kupambana na rushwa, awe mtu wa kutetea watu wake wapate haki bila kuombwa rushwa. Huyo si mwingine bali ni Dkt. John Pombe Magufuli," amesema. 

Mheshimiwa Majaliwa ambaye alikuwa mkoani Mara kumuombea kura mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli alitumia fursa hiyo kuwaombea kura mgombea ubunge wa jimbo la kuwaombea kura Charles Kajege na diwani wa Kibara, Bw. Nyanguli Mtesigwa na madiwani wengine wa jimbo hilo. Jioni hii anaingia mkoa wa Mwanza.

Akielezea umuhimu wa chama kuwa na Ilani ya Uchaguzi, Mheshimiwa Majaliwa amesema Chama cha Mapinduzi kimeandaa ilani yake yenye kurasa 303 ikisimamia yale yaliyokuwemo kwenye ilani iliyopita ambayo ilikuwa na kurasa 236 na mengine mengi mapya. 

"Watekelezaji wa hayo yote yaliyoainishwa kwenye Ilani ni hawa watatu ambao nawaombea kura leo. Namwombea kura Dkt. Magufuli ili akamilishe aliyoyaanza na atekeleze yaliyomo kwenye Ilani ya sasa. Ni lazima tumpatie mbunge na diwani wa CCM ili waweze kuzungumza lugha moja."

Kuhusu uboreshaji kwenye sekta ya afya, Mheshimiwa Majaliwa alisema zilitumika sh. bilioni 1.8 za kujenga hospitali ya wilaya hiyo na bado kuna sh. milioni 152 zilitolewa ili kuisaidia Halmashauri kujenga zahanati.

Kuhusu sekta ya maji, Mheshimiwa Majaliwa amesema sh. bilioni 6.2 zimetumika kukarabati na ujenzi wa miradi mbalimbali kwenye Halmashauri ya wilayani Bunda, ikiwemo uchimbaji wa visima virefu na vifupi, utengenezaji wa matenki ya kuvuna maji na uchimbaji wa mabwawa. 
“Vijiji vilivyonufaika na miradi hii ni Nyatwali, Nyamuswa, Mgeta –Nyang’aranga, kinyabwiga, Bulamba na Kibara. Pia jumla ya shilingi milioni 90.1 zimetumika kwa ajili ya ukarabati na usafishaji wa pampu za mkono 67 na visima vitatu,” amesema.

Mapema asubuhi, akiwa kata ya Kisorya, Mheshimiwa Majaliwa aliwaeleza wananchi hao kwamba Serikali ya CCM ina mpango wa kuboresha kituo chao cha afya kwa kuongeza wodi tatu za wanawake, wanaume na watoto.

Pia alisema zimetengwa sh. milioni 550 za kuimarisha kituo hicho kwa kuongeza majengo ya jiko, chumba cha kufulia na chumba cha kuhifadhia maiti.

Kuhusu barabara, amesema kiasi cha sh. bilioni 2.9 kimetumika kutengeneza barabara za kuunganisha vijiji kwa vijiji, kukarabati sehemu korofi zilizoharibiwa na mafuriko, madaraja, makalvati na matengenezo ya kawaida.

Kuhusu umeme, amesema vijiji 77 kati ya 78 vina umeme isipokuwa kijiji kimoja tu cha Nafubu kilichopo kisiwani, ambacho amesema watapelekewa huduma ya umeme wa jua kwa vile siyo rahisi kupitisha nyaya za umeme majini.

(mwisho) 


Share:

Plumber at U.S. Embassy Dar es Salaam

Overview Hiring Path: • Open to the public Who May Apply/Clarification From the Agency: All Interested Applicants / All Sources Security Clearance Required: Public Trust – Background Investigation Appointment Type Permanent Appointment Type Details: Indefinite subject to successful completion of probationary period Marketing Statement: We encourage you to read and understand the Eight (8) Qualities of […]

The post Plumber at U.S. Embassy Dar es Salaam appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Project Management Specialist at U.S Embassy Tanzania

The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the positions below: Jobs Vacancies at United States of America (USA) Embassy Tanzania, Dar es salaam | USAID Jobs Position Title: Project Management Specialist (Tuberculosis (TB)) PDF 269KB Solicitation Number: 72062120R10015 Open to: All interested applicants Open Date: September 22, 2020 Close Date: […]

The post Project Management Specialist at U.S Embassy Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

NEC Job Application Letter Sample | Sample Barua Ya Kuomba Ajira NEC

What to Include in Your Letter. As with all cover letters, a job application letter is divided into sections:1 The heading, which includes your name and contact information. A greeting addressed to a specific person, if possible.The introduction, which should include why the applicant is writing.The body, which discusses your relevant qualifications.The close, which thanks […]

The post NEC Job Application Letter Sample | Sample Barua Ya Kuomba Ajira NEC appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

NEC Tanzania Ajira 300,000 Majimbo Yote – Jobs for General Election 2020

National Electoral Commission (NEC) NAFASI ZA KAZI TUME YA UCHAGUZI (NEC) 2020 New FORM FOUR and Above Government Jobs 2020 | National Electoral Commission (NEC) Temporary Jobs 2020 Updates The Background on the National Electoral Commission of Tanzania In 1991 the then President of the United Republic of Tanzania, His Excellency Ali Hassan Mwinyi appointed […]

The post NEC Tanzania Ajira 300,000 Majimbo Yote – Jobs for General Election 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Finance Director at CVPeople Tanzania

CVPeople Tanzania | Full time   Finance Director Dar es salaam , Tanzania Job Description   Responsible for financial reporting (statutory reporting & shareholder reporting) and ensure compliance with the Tanzania governing legislation and company accounting rules. Coordinate the preparation of the Company’s annual budget and monitor and analyze performance against budget. Where needed, propose […]

The post Finance Director at CVPeople Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Receptionist at ABA Alliance

TERMS OF REFERENCE FOR OFFICE RECEPTIONIST BACKGROUND ABA Alliance Office in Dar es Salaam is looking for a professional individual for Office Receptionist to enhance its level of effectiveness and efficient delivery on its daily business operations.  In addition to the Receptionist the professional will perform as a messenger for official duties. Under the overall […]

The post Receptionist at ABA Alliance appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Transport and Garage Manager at Nyanza Bottling Company Ltd

We are keen on hiring a highly reputable personnel to fill the vacancy below Location: Mwanza Reports to: General Manager Required Qualifications: Bachelor degree/Diploma in Automobile Engineering Experience: 7-10 years of experience in Fleet Maintenance and Transport Operations Management Skills Excellent communication skills both written and oral. Must be adaptable to a changing work environment and competing demands. Leadership skills Key Responsibilities: […]

The post Transport and Garage Manager at Nyanza Bottling Company Ltd appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Office Administrator at Safari Automotive Upholstery

The Officer Administrator is responsible for assisting the Manager and staff in carrying out their daily activities and implementing policies related to administration with a view of achieving Company objectives. The incumbent will report to the Office Manager. The Company is inviting applications from suitable, qualified, experienced and competent Lady to fill the following vacancy […]

The post Office Administrator at Safari Automotive Upholstery appeared first on Udahiliportal.com.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger