Sunday 14 May 2017
TCRA yawatahadharisha watumiaji wa kompyuta juu ya shambulio la Kirusi Kiitwacho WANNACRY kwenye kompyuta
Shambulizi
la kihalifu mitandaoni lililotendeka kupitia vifaa vinavyoaminika
kuibwa kutoka kitengo cha ujasusi nchini Marekani NSA limeathiri
mashirika tofauti duniani.
Kampuni
ya kulinda uhalifu wa mitandao Avast, imesema kuwa imeona kesi 75,000
za programu zinazotumika kufanya uhalifu mtandaoni inayojulikana kama 'WannaCry' duniani.
Kuna ripoti za maambukizi katika mataifa 99 ikiwemo Urusi.
Kati ya mashirika yalioathirika zaidi ni shirika la huduma za afya nchini Uingereza na Uskochi.
Programu
hiyo ilisambaa kwa kasi siku ya Ijumaa ambapo ilitaka malipo ya dola
300 ili kufungua faili ilizokuwa imeziteka nyara katika kompyuta.Siku
nzima, mataifa ya Ulaya yaliripoti maambukizi hayo.
==> Hii ni Tahadhari Iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kuhusu Kirusi hicho
Wednesday 10 May 2017
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
(NACTE)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
Baraza la
Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria
ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, Sura 129, ili kusimamia na
kuratibu utoaji wa mafunzo ya elimu ya ufundi nchini. Sheria hii
inazitaka Taasisi zote zinazotoa elimu ya ufundi kusajiliwa kabla ya
kuanza kuendesha mafunzo yoyote. Baraza pia huidhinisha mitaala kabla
haijaanza kutumika. Hivyo taasisi zote haziruhusiwi kuanza kutoa mafunzo
yoyote bila kibali maalumu kutoka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
(NACTE).
Baraza linapenda kuwataarifu wadau wa sekta ya Mafunzo ya Ufundi na Umma kwa ujumla kuwa udahili na uchaguzi wa wanafunzi kwa ajili ya masomo ya Astashahada na Stashahada mbalimbali yanayotolewa na vyuo vyote hapa nchini, utafanyika moja kwa moja vyuoni,
isipokuwa kozi za afya na ualimu zinazotolewa na vyuo vya Serikali tu.
Hivyo maombi yote ya nafasi za masomo yatumwe kwenye chuo husika.
Udahili
wa kozi za Afya na Ualimu katika vyuo vya Serikali utaratibiwa na
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto; na Wizara
ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia kwa kushirikiana na Baraza (NACTE).
Hivyo maombi ya Udahili kwa kozi za Afya na Ualimu kwa vyuo vya serikali tu yatumwe kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya NACTE (www.nacte.go.tz) au kupitia vyuo husika vya Afya na Ualimu ambavyo vitashughulikia maombi hayo na kufanya udahili kwa njia ya mtandao kupitia ‘Institutional Panel’ zao.
Aidha
vyuo vyote vitatangaza au kuwafahamisha moja kwa moja waombaji majina ya
watakaochaguliwa kujiunga na kozi mbalimbali; na wale wa kozi za Afya
na Ualimu watatangazwa na Wizara husika na kupitia tovuti ya NACTE.
Baraza
linapenda pia kuwafahamisha kuwa Vyuo vitaanza kupokea maombi ya udahili
wa wanafunzi kuanzia tarehe 15 Mei, 2017 hadi tarehe 20 Agosti, 2017.
Majina ya waliochaguliwa yatatangazwa tarehe 14 Septemba, 2017. Masomo
kwa mwaka wa masomo 2017/2018 yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 25
Septemba, 2017.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
TAREHE: 10/05/2017
ADMISSION OF STUDENTS FOR VARIOUS CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2017/2018
THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION
(NACTE)
PUBLIC NOTICE
ADMISSION OF STUDENTS FOR VARIOUS CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2017/2018
The
National Council for Technical Education (NACTE) is a statutory body
established under the National Council for Technical Education Act, Cap.
129, to oversee and coordinate the provision of technical education and
training in Tanzania. Under the establishing Act, in order to attain
and maintain the status of a training provider, all institutions are
required to be registered, accredited and have their curricula approved
by the Council. Institutions are not allowed to admit students and start
offering any programme without the approval of the Council.
The
Council wishes to inform all technical education stakeholders and the
general public that, admission and selection of students for various
Certificate and Diploma Programmes offered by Technical Institutions,
Universities and their constituent Colleges shall be conducted by
Technical Institutions and Universities themselves.
Kindly be
informed that, all applications for admissions should be submitted to
respective technical Institutions or Universities except for public
institutions offering health & allied sciences; and teacher
education courses.
Admission
into public institutions offering health & allied sciences, and
teacher education courses shall be coordinated by the Ministry of
Health, Community Development, Gender, Elderly & Children; and
Ministry of Education, Science & Technology respectively in
collaboration with NACTE. In that respect, all applications for
admission into Certificate and Diploma programmes for health &
allied sciences; and teacher education programmes delivered by public health & allied sciences schools, and public Teacher Training Colleges should be made online via NACTE website (www.nacte.go.tz)
or through the respective schools and colleges that will submit
received applications for admission through their respective
Institutional Panel.
The
Council wishes also to inform that, publication of selected students
will be made by the respective Technical Institutions or Universities
and selected students for health & allied sciences and teacher
education programmes will be made public through NACTE website and
respective Ministry’s websites.
The Council further wishes to inform that, applications for admission will be received as described above from 15th May, 2017 to 20th August, 2017. Publication of selected students for various Certificate and Diploma programmes will be made on 14th September, 2017. Studies for academic year 2017/2018 will commence from 25th September, 2017.
Issued by:
OFFICE OF THE EXECUTIVE SECRETARY
NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE)
DATED: 10TH MAY, 2017
NACTE : Udahili na uchaguzi 2017/18 wa Astashahada na Stashahada kutafanyika moja kwa moja vyuoni
Baraza linapenda kuwataarifu wadau wa sekta ya Mafunzo ya Ufundi na Umma kwa ujumla kuwa udahili na uchaguzi wa wanafunzi kwa ajili ya masomo ya Astashahada na Stashahada mbalimbali yanayotolewa na vyuo vyote hapa nchini, utafanyika moja kwa moja vyuoni,
isipokuwa kozi za afya na ualimu zinazotolewa na vyuo vya Serikali tu.
Hivyo maombi yote ya nafasi za masomo yatumwe kwenye chuo husika.
Udahili wa kozi za Afya na Ualimu katika vyuo vya Serikali utaratibiwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto; na Wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia kwa kushirikiana na Baraza (NACTE). Hivyo maombi ya Udahili kwa kozi za Afya na Ualimu kwa vyuo vya serikali tu yatumwe kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya NACTE (www.nacte.go.tz) au kupitia vyuo husika vya Afya na Ualimu ambavyo vitashughulikia maombi hayo na kufanya udahili kwa njia ya mtandao kupitia ‘Institutional Panel’ zao.
==========
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, Sura 129, ili kusimamia na kuratibu utoaji wa mafunzo ya elimu ya ufundi nchini. Sheria hii inazitaka Taasisi zote zinazotoa elimu ya ufundi kusajiliwa kabla ya kuanza kuendesha mafunzo yoyote. Baraza pia huidhinisha mitaala kabla haijaanza kutumika. Hivyo taasisi zote haziruhusiwi kuanza kutoa mafunzo yoyote bila kibali maalumu kutoka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE).
Baraza linapenda kuwataarifu wadau wa sekta ya Mafunzo ya Ufundi na Umma kwa ujumla kuwa udahili na uchaguzi wa wanafunzi kwa ajili ya masomo ya Astashahada na Stashahada mbalimbali yanayotolewa na vyuo vyote hapa nchini, utafanyika moja kwa moja vyuoni, isipokuwa kozi za afya na ualimu zinazotolewa na vyuo vya Serikali tu. Hivyo maombi yote ya nafasi za masomo yatumwe kwenye chuo husika.
Udahili wa kozi za Afya na Ualimu katika vyuo vya Serikali utaratibiwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto; na Wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia kwa kushirikiana na Baraza (NACTE). Hivyo maombi ya Udahili kwa kozi za Afya na Ualimu kwa vyuo vya serikali tu yatumwe kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya NACTE (www.nacte.go.tz) au kupitia vyuo husika vya Afya na Ualimu ambavyo vitashughulikia maombi hayo na kufanya udahili kwa njia ya mtandao kupitia ‘Institutional Panel’ zao.
Aidha vyuo vyote vitatangaza au kuwafahamisha moja kwa moja waombaji majina ya watakaochaguliwa kujiunga na kozi mbalimbali; na wale wa kozi za Afya na Ualimu watatangazwa na Wizara husika na kupitia tovuti ya NACTE.
Baraza linapenda pia kuwafahamisha kuwa Vyuo vitaanza kupokea maombi ya udahili wa wanafunzi kuanzia tarehe 15 Mei, 2017 hadi tarehe 20 Agosti, 2017. Majina ya waliochaguliwa yatatangazwa tarehe 14 Septemba, 2017. Masomo kwa mwaka wa masomo 2017/2018 yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 25 Septemba, 2017.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
TAREHE: 10/05/2017
Udahili wa kozi za Afya na Ualimu katika vyuo vya Serikali utaratibiwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto; na Wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia kwa kushirikiana na Baraza (NACTE). Hivyo maombi ya Udahili kwa kozi za Afya na Ualimu kwa vyuo vya serikali tu yatumwe kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya NACTE (www.nacte.go.tz) au kupitia vyuo husika vya Afya na Ualimu ambavyo vitashughulikia maombi hayo na kufanya udahili kwa njia ya mtandao kupitia ‘Institutional Panel’ zao.
==========
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, Sura 129, ili kusimamia na kuratibu utoaji wa mafunzo ya elimu ya ufundi nchini. Sheria hii inazitaka Taasisi zote zinazotoa elimu ya ufundi kusajiliwa kabla ya kuanza kuendesha mafunzo yoyote. Baraza pia huidhinisha mitaala kabla haijaanza kutumika. Hivyo taasisi zote haziruhusiwi kuanza kutoa mafunzo yoyote bila kibali maalumu kutoka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE).
Baraza linapenda kuwataarifu wadau wa sekta ya Mafunzo ya Ufundi na Umma kwa ujumla kuwa udahili na uchaguzi wa wanafunzi kwa ajili ya masomo ya Astashahada na Stashahada mbalimbali yanayotolewa na vyuo vyote hapa nchini, utafanyika moja kwa moja vyuoni, isipokuwa kozi za afya na ualimu zinazotolewa na vyuo vya Serikali tu. Hivyo maombi yote ya nafasi za masomo yatumwe kwenye chuo husika.
Udahili wa kozi za Afya na Ualimu katika vyuo vya Serikali utaratibiwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto; na Wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia kwa kushirikiana na Baraza (NACTE). Hivyo maombi ya Udahili kwa kozi za Afya na Ualimu kwa vyuo vya serikali tu yatumwe kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya NACTE (www.nacte.go.tz) au kupitia vyuo husika vya Afya na Ualimu ambavyo vitashughulikia maombi hayo na kufanya udahili kwa njia ya mtandao kupitia ‘Institutional Panel’ zao.
Aidha vyuo vyote vitatangaza au kuwafahamisha moja kwa moja waombaji majina ya watakaochaguliwa kujiunga na kozi mbalimbali; na wale wa kozi za Afya na Ualimu watatangazwa na Wizara husika na kupitia tovuti ya NACTE.
Baraza linapenda pia kuwafahamisha kuwa Vyuo vitaanza kupokea maombi ya udahili wa wanafunzi kuanzia tarehe 15 Mei, 2017 hadi tarehe 20 Agosti, 2017. Majina ya waliochaguliwa yatatangazwa tarehe 14 Septemba, 2017. Masomo kwa mwaka wa masomo 2017/2018 yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 25 Septemba, 2017.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
TAREHE: 10/05/2017
Sunday 7 May 2017
Barua ya Bodi ya Ligi kuhusu sakata la alama tatu kati ya Kagera Sugar na Simba SC.
Bodi
ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewajibu rasmi Simba SC
juu ya sakata lao la kupokwa pointi tatu za mezani walizopewa baada ya
rufaa yao dhidi ya Kagera Sugar wakidai kumcheza mchezaji Mohamed Fakhi
akiwa na kadi tatu za njano.
Kwa
mujibu wa barua kutoka katika Bodi ya Ligi zimesema kuwa Fakhi hakuwa
na kadi tatu za njano wakati akicheza mchezo dhidi ya Simba uliofanyikia
uwanja wa Kaitaba, Bukoba Aprili 2 mwaka huu.
"TFF
ambayo ndiyo yenye dhamana ya usimamizi wa mpira nchini na ambayo ndiyo
iliyokaimu madaraka kwa TPLB kuendesha ligi kuu iliitisha kikao cha
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ambayo ilichunguza kwa undani
sakata hili na baada ya uchunguzi wao ambao walihoji watu mbalimbali,
walituandikia kutujulisha kuwa wamebaini mchezaji Mohamed Fakhi
anayelalamikiwa na Simba hakuwa na kadi 3 siku ya mchezo wa Kagera
Sugara dhidi ya Simba hivyo alikuwa halali kucheza mchezo huo". Ilisema
barua hiyo
Saturday 6 May 2017
Habari Mbaya: Wanafunzi 20 wahofiwa kufa katika ajali ya basi Karatu
Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya basi iliyotokea wilayani Karatu leo asubuhi.
Habari zinaarifu kuwa , basi hilo limeanguka kabla ya kuingia karatu mjini na kuua watoto wengi .
Inaarifiwa
kuwa Wanafunzi hao ni wa shule inayoitwa Lucky Vicent ya Arusha ambao
walikua wanaenda karatu kufanya mitihani ya mashindano na shule za
karatu.
Update: Wanafunzi Waliofariki Katika Ajali Leo Wafika 32
Kamanda
wa Polisi, mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo amesema wanafunzi 31 na
walimu wao wamefariki katika ajali iliyotokea wilayani Karatu, ulipo mto
Mlera.
Mkumbo
amesema wanafunzi waliopoteza maisha katika ajali hiyo ni wa shule ya
mchepuo wa Kiingereza, iitwayo Luck Vicent ya mjini Arusha.
Kati ya wale waliofariki 28 walikuwa wanafunzi huku watatu wakiwa ni dereva na walimu wao
Ripoti zinasema kuwa basi hilo liliteleza na kukosa mwelekeo ,likatoka katika barabara na kuanguka katika mto katika eneo la Marera eneo la Rhotia, kilomita chache kabla ya karatu katika barabara ya Arusha
Lowassa awalilia wanafunzi Waliofariki katika Ajali........Maiti 32 zapelekwa mochwari katika Hospitali ya Lutheran Karatu.
Waziri
Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa ametuma salamu za rambi rambi kutokana na
tukio la watu 32 kufariki dunia katika ajali ya basi.
Waliofariki katika ajali hiyo iliyotokea leo asubuhi Karatu, ni wanafunzi 29, walimu wawili, pamoja na dereva wa gari hilo.
“Nimepokea
kwa masikitiko taarifa ya ajali hiyo, ni ajali mbaya ambayo inaifanya
siku hii kuwa mbaya katika historia ya nchi yetu,”alisema
Miongoni mwa wanafunzi waliofariki ni pamoja na wanaume 11 na wasichana 18.
Kadhalika
maiti 32 zikiwamo za walimu wawili, dereva mmoja na wanafunzi 29
zimepokelewa sasa hivi katika Hospitali ya Lutheran Karatu.
Friday 5 May 2017
TANZANIA YAPOKEA TUZO UMEME VIJIJINI
TANZANIA
YAPOKEA TUZO UMEME VIJIJINI
Jitihada za Wizara ya
Nishati na Madini za kuhakikisha umeme unafika na kusambaa maeneo ya vijijini
zimetambuliwa kimataifa hali iliyopelekea Serikali kupokea Tuzo ya Uwezeshaji
wa Mazingira Bora ya Upatikanaji wa Umeme Vijijini kwa Nchi zinazoendelea.
Serikali imetunukiwa
Tuzo hiyo mwezi Machi, 22 na Taasisi ya Kimataifa ya Alliance for Rural Electrification yenye Makao Makuu yake nchini Ubelgiji
ambayo ilipokelewa na Meneja Miradi wa Kampuni ya Umeme ya Ensol, Prosper Magali
kwa niaba ya Serikali katika hafla ya utoaji tuzo iliyofanyika Lisbon, Ureno.
Magali pia ni Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Nishati Jadidifu (TAREA).
Sunday 30 April 2017
TETESI:WAHITIMU WA SUA ELIMU YAO HATIHATI BAADA YA WALIMU WAO WENGI KUWA NA "VYETI FEKI"
Saturday 29 April 2017
AJIRA ZA MADAKTARI APRIL 2017
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT,
GENDER, ELDERLY AND CHILDREN
ANNOUNCEMENTS:
The Ministry of Health in Tanzania has announced the list of employed Medical Doctors and Health Specialists (April 2017) and their working stations.
Click HERE to read the announcement
Click HERE to download the list
Source: Ministry of Health Official Website
BREAKING NEWS:HII HAPA ORODHA YA MAJINA YA WAFANYAKAZI WENYE VYETI FEKI MIKOA YOTE TANZANIA
Habari zenu,
Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG ni kukupa kitu roho inapenda,tumekuweke hapo chini orodha yenye majina ya watumishi wenye vyeti feki TANZANIA.
Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG ni kukupa kitu roho inapenda,tumekuweke hapo chini orodha yenye majina ya watumishi wenye vyeti feki TANZANIA.
KWA WAFANYAKAZI WA TAASI ZA SERIKALI MFANO,UDSM
>>BONYEZA HAPA<<
Saturday 22 April 2017
SERIKALI KUMWAGA AJIRA 52,436
SERIKALI inakusudia kuajiri watumishi wapya 52,436 katika mwaka ujao wa fedha.
Ajira hizo mpya ni tofauti na zile za madaktari 258 na wataalamu wa afya 11 waliotangazwa kuajiriwa Jumatano wiki hii baada ya kupeleka maombi na kukidhi vigezo kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa ajili ya kwenda kufanya kazi nchini Kenya.