Monday 4 July 2016

MAGAZETI YA LEO JUMATATU JULY TAREHE 4.7.2016

Share:

Sunday 3 July 2016

OMMY DIMPOZI NA WYNE ROONEY KATIKA PICHA YA PAMOJA

Kwenye zile stori za kwenye mitandao ambazo zimefatiliwa sana ni pamoja na hii ya Ommy Dimpoz kukutana na Wayne Rooney mchezaji wa Manchester United wakiwa Ibiza na kisha kupiga picha ambayo imebeba vitu vingi tusivyovifahamu na pengine tulihitaji kufahamu.
Picha ambayo imepigwa na Dimpoz ni picha ya video ambayo wanaonekana wanazungumza kitu lakini sauti ya video hiyo imezimwa (mute) so wakati tunasubiri Ommy Dimpoz mwenyewe atuambie walichokuwa wanazungumza ninayo hiyo video mtu wangu ambayo Ommy Dimpoz kapost kwenye akaunti yake ya Instagram.
Kwenye post zake Ommy Dimpoz ameonekana akila raha sehemu mbalimbali za Ibiza,mahali ambako mastaa wengi wa Dunian hutembelea kwa ajili ya mapumziko.
Share:

Video: Barnaba (Official Video) – Chozi La Afrika | Mp4 Download

Hii ni video mpya ya Barnaba ambayo iko chini ya Binti Foundation, Wimbo unaitwa Chozi La Africa, Tazama na kuipakua hapa chini
DOWNLOAD
Share:

New Video: Jacky Chant Feat Yamoto Band - Wabaya | Download MP4

New Video: Jacky Chant Feat Yamoto Band - Wabaya | Download MP4
Baada Ya Kuitema Malaika Band Ya Christian Bella.. Jacky Chant Kawashirikisha Yamoto Band Kwenye Hii Ngoma Yake Mpya WABAYA.. Itazame na Kupakua Hapa..
 
WATCH FROM YOUTUBE
 
Share:

New AUDIO | Jacky Chant x Yamoto Band - Wabaya | Download

Share:

VIDEO:MKUU WA MOA WA DAR ES SALAAM PAUL MAKONDA,APIGA MARUFUKU VITU VITATU JIJINI DAR,VISOME HAPA

 Tokeo la picha la MAKONDA
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepiga marufuku vitu vitatu kutoonekana katika mkoa wa Dar es Salaam.
Akizungumza kwenye kongamano la Dini lililofanyika katika uwanja wa Taifa alisema..’Kwanza kwa watumiaji wa biashara ya Sheesha katika maeneo ya Bar, Clubs na sehemu zingine kuanzia leo ni marufuku katika maeneo hayo’- Paul Makonda
Pili ni marufuku kwa wavutaji wa Sigara kwenye sehemu za wazi kwani wataalamu wanasema ule moshi unamuathiri yule asiyetumia hiyo Sigara kuliko yule anayetumia Sigara’Paul Makonda
Tatu ni marufuku kwa ushoga kwenye mkoa wangu wa Dar es Salaam na mashoga wote walio kwenye instagram na Facebook watakamatwa na wale wote wanao wa follow mashoga kwenye mitandao ya kijamii basi watakuwa na hatia ile kama ya mashoga‘- Paul Makonda 

 VIDEO

 
Share:

KANUSHO KUHUSU JOHN MNYIKA KUNENA MAZITO KUHUSU LOWASSA


Tokeo la picha la JOHN MNYIKA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAARIFA KWA UMMA
Ipo hoja nyepesi mno iliyopikwa na Vijana wa Lumumba juu ya Mbunge wa Kibamba na Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika kuwa alimkataa Lowassa

Hoja hiyo ni ya kupuuzwa kwa kuwa haina ukweli wowote ule, na nitalishangaa Jeshi la Polisi kuendelea kukaa kimya,na kumuacha aliepotosha Umma kwa kiwango kikubwa kiasi hicho,jambo ambalo limempa Usumbufu mkubwa Naibu Katibu mkuu kwa chama na Wananchi wake katika jimbo lake.

Nataka kuona nguvu ya Cyber Crime kama kweli sheria hiyo ni dhahiri ni msumeno au huwa inakata upande mmoja tu!.Mnyika ni Kiongozi mkubwa na katika Taasisi kubwa sana nchini CHADEMA,hapaswi kunenewa uongo kwa nia ya kuupotosha Umma naliomba jeshi la Polisi liingie kazini Mara moja kutimiza majukumu yake.

Imetolewa July 03

Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JULY TAREHE 3.7.2016

IMG_20160703_051253
IMG_20160703_051310
IMG_20160703_051326
IMG_20160703_051400
IMG_20160703_051417
IMG_20160703_051434
IMG_20160703_051452
IMG_20160703_051505
IMG_20160703_051531
IMG_20160703_051547
IMG_20160703_051609
IMG_20160703_051626
IMG_20160703_051647
IMG_20160703_051706
IMG_20160703_051723
IMG_20160703_051745
IMG_20160703_051805
IMG_20160703_051826
IMG_20160703_051846
IMG_20160703_051905
IMG_20160703_051925
IMG_20160703_051943
IMG_20160703_052000
IMG_20160703_052019
IMG_20160703_052039
IMG_20160703_052058
IMG_20160703_052119
Share:

BREAKING NEWS:ALIEKUWA MBUNGE WA KILINDI "BEATRICE SHELUKINDO" AFARIKI DUNIA

image.jpeg
Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Kilindi mkoani Tanga, ndugu Beatrice Shelukindo amefariki dunia Leo jioni jijini Arusha alikokuwa akijiuguza.

Mwili umehifadhiwa kwenye Hospitali ya Mount Meru.

Innalillah waina illaih rajiun
Share:

MPYA:JESHI LA POLISI LAZUIA MKUTANO WA CCM JIMBO LA MASWA- SIMIYU

Share:

PICHA:HAWA HAPA WANAFUNZI WA KENYATA UNIVERSITY WALIOFARIKI WOTE KWENYE AJALI YA GARI








Share:

Official VIDEO | Linah - IMANI | Watch/Download


https://youtu.be/dvKfF3faBBw
Share:

BODI YA MIKOPO YAKANUSHA KWAMBA TAARIFA ILIYOSAMBAA KWAMBA HAINA PESA



BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU
TAARIFA KWA UMMA

KUKANUSHA TAARIFA KWAMBA BODI HAINA FEDHA
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kukanusha taarifa za upotoshaji zinazoenezwa kwa sasa kwamba haina fedha.
Si kweli kwamba Bodihaina fedha, ila ni kweli kwamba kumekuwa na ucheleweshaji wa kufikisha fedha za wanafunzi vyuoni kutokana na zoezi la kuhakiki wanafunzi wanaonufaika na mikopo linaloendelea vyuoni hivi sasa.
Hata hivyo, maandalizi ya malipo hayo yameshafanyika na ‘pay sheets’ zimeshapelekwa vyuoni tayari kwa wanafunzi wanaonufaika na mikopo kusaini.
Bodi inatarajia wakati wowote wiki ijayo baada ya zoezi la uhakiki kukamilika; itapeleka fedha hizo vyuoni.

IMETOLEWA NA:
KITENGO CHA HABARI, ELIMU NA MAWASILIANO
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU
TAREHE 2 JULAI 2016

Share:

Breaking News:GARI AINA YA NOAH YAPATA AJALI WILAYANI MASWA-MKOA WA SIMIYU

 Gari aina ya NOAH imepata ajali maeneo ya zanzui wilayani MASWA mkoani SIMIYU,Hakuna mtu aliepoteza maisha.



(Picha zote na Samweli Mwanga)
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger