Saturday 25 June 2016

Joh Makini alia na wahalifu wa mitandaoni


Joh-makini.jpgStori:
MKALI katika gemu la Muziki wa Hip Hop, Bongo, John Saimoni ‘Joh Makini’ amefunguka kuwa serikali inatakiwa kuhakikisha inaweka mkazo katika sheria yake inayowataka watu wasifanye uhalifu wa aina yoyote mtandaoni hasa wale wanaotumia elimu yao ya masuala ya mtandao kuwanyanyasa wengine kwa ‘kuhaki’ akaunti zao za mitandao ya kijamii kisha kuzitumia wanavyotaka wao.
Akichonga na gazeti hili Joh alisema amekumbana na kisanga cha kuchukuliwa akaunti yake ya Mtandao wa Kijamii wa Instagram hivi karibuni jambo lililompa usumbufu wa kuhakikisha anairudisha tena akaunti hiyo mikononi mwake ambayo kwake ni ofisi kwa sababu ni sehemu anayokutana na mashabiki wake kwa urahisi.
“Serikali inatakiwa kuliangalia suala hili kwa mkazo zaidi kwa sababu bado uhalifu wa mitandao unasumbua watu wengi na unasababisha mpaka wengine wanapoteza pesa bila sababu yoyote. Hivi karibuni nilichukuliwa akaunti yangu na imenilazimu kupambana kuirudisha kiasi kwamba nimebadilisha mpaka jina,” alisema. John Makini.
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JUNE TAREHE 25.6.2016

IMG_20160625_045418
IMG_20160625_045434
IMG_20160625_045451
IMG_20160625_045509
IMG_20160625_045527
IMG_20160625_045545
IMG_20160625_045602
IMG_20160625_045619
IMG_20160625_045640
IMG_20160625_045655
IMG_20160625_050020
IMG_20160625_050038
IMG_20160625_050057
IMG_20160625_050115
IMG_20160625_050132
IMG_20160625_050150
IMG_20160625_050208
IMG_20160625_050227
IMG_20160625_050248
IMG_20160625_050307
IMG_20160625_050329
IMG_20160625_050350
IMG_20160625_050408
IMG_20160625_050430
IMG_20160625_050451
IMG_20160625_050507
IMG_20160625_050527
IMG_20160625_050547
IMG_20160625_050617
IMG_20160625_050640
IMG_20160625_050701
IMG_20160625_050719
IMG_20160625_050737
IMG_20160625_050756
Share:

Friday 24 June 2016

MAOMBI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU 2016/2017

Image result for HESLB

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kutoa taarifa kwa Umma na wadau wake wote kuwa inatarajia kuanza kupokea maombi ya Mikopo kwa mwaka wa masomo 2016 /2017 kuanzia tarehe 27 Juni 2016 hadi tarehe 31 Julai 2016.
Katika kipindi hicho waombaji wa mikopo watarajiwa wanapaswa kusoma mwongozo wa utoaji mikopo na ruzuku (GUIDELINES AND CRITERIA FOR ISSUANCE OF STUDENTS’ LOANS AND GRANTS FOR THE 2016/2017 ACADEMIC YEAR) uliopo kwenye tovuti hii ya Bodi ili kufahamu sifa za mwombaji na taratibu kufuata kabla ya kuomba mikopo kwa njia ya mtandao.

Utoaji wa Mikopo unaongozwa na Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu Na. 9 ya 2004 (kama ilivyorekebishwa) hususani vifungu vyake vya 16 na 17.
Kwa taarifa hii, waombaji wote wa mikopo wanatakiwa kusoma mwongozo huo kabla ya kujaza maombi ya mikopo na wazingatie kuwa tarehe ya mwisho ya kuomba mikopo ni Julai 31, 2016.
Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI 2016

 
 OR-TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2016. Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali na zisizo za Serikali. Jumla ya wanafunzi 65,720 wakiwemo wasichana 29,457 na wavulana 36,263 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi. Kati ya wanafunzi waliochaguliwa 34,064 wakiwemo wasichana 13,466 na wavulana 20,598 sawa na asilimia 52 watajiunga na masomo ya Sayansi na Hisabati; na wanafunzi 30,897 wakiwemo wasichana 15,445 na wavulana 15,452 sawa na asilimia 47 wamechaguliwa kusoma masomo ya Sanaa na Biashara na wanafunzi 759 wakiwemo wasichana 220 na wavulana 539 sawa na asilimia 1 wamechaguliwa kujiunga na vyuo vya Ufundi.
Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano mwaka 2016 wataanza muhula wa kwanza tarehe 11 Julai, 2016 na hakutakuwa na mabadiliko yoyote ya shule. Wanafunzi wote wanatakiwa kuripoti katika shule walizopangwa kwa wakati. Endapo mwanafunzi atachelewa kuripoti hadi tarehe 24 ambayo ndiyo siku ya mwisho ya kuripoti, nafasi yake itachukuliwa na mwanafunzi mwingine aliyekosa nafasi.
Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi mwaka 2016 pamoja na fomu za kujiunga (joining instructions) inapatikana kwenye tovuti ya OR-TAMISEMI ya www.tamisemi.go.tz
Imetolewa na Katibu Mkuu,
OR-TAMISEMI


Tumia link hii kupata matokeo <<BOFYA HAPA>>
Share:

New AUDIO | Godzilla - Nataka Mkwanja | Download

Share:

New AUDIO | Papa Wemba Feat. Diamond Platnumz - Chacun Pour Soi | Download

Share:

HAYA HAPA MATOKEO YA WANAFUNZI WANAOSOMA MASTERS CHUO KIKUU UDOM


LogoThe remaining graduate examination results for the 2014 – 2015 academic year as shown below:
Please note the following:

  • Supplementary/first sitting examinations for the results shown in this list will be held starting from Monday, 25th July, 2016.
Advert on EVENING EXAM RESULTS 2014-2015 – APPROVED june 2016.doc
Share:

BREAKING NEWS:TAARIFA MUHIMU WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA ST.FRANCIS CHA UDAKTARI MWAKA WA 3 WALIOFUKUZWA CHUO


Notice to all Discontinued MD3 Students. Terms and Conditions for being reinstated

>>BONYEZA HAPA KUONA MASHARTI WALIYOPEWA<<
Share:

HII INAWAHUSU WOTE WALIOSOMA MASOMO YA SANAA(ARTS & BIASHARA) AMBAO WANATARAJIA KUOMBA MKOPO 2016/2017


BODI IMEANDIKA HIVI;







KUNGALIA PROGRAMME ZENYE PRIORITY/AMBAZO PIA ZIMEANDIKWA KWENYE ITEMS 2.2.2.1 NA 2.2.2.2

Share:

HIZI HAPA KOZI ZINAZOPEWA KIPAUMBELE NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA KUPATA MKOPO 2016/2017

Share:

HIZI HAPA SIFA ZA KUPATA MKOPO KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU MWAKA WA MASOMO 2016/2017




Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA JUNE TAREHE 24.6.2016

IMG_20160624_045253IMG_20160624_044722
IMG_20160624_044743
IMG_20160624_044807
IMG_20160624_044831
IMG_20160624_044852
IMG_20160624_044917
IMG_20160624_044939
IMG_20160624_045007
IMG_20160624_045028
IMG_20160624_045054
IMG_20160624_045115
IMG_20160624_045138
IMG_20160624_045206
IMG_20160624_045230
IMG_20160624_045253
IMG_20160624_045315
IMG_20160624_045341
IMG_20160624_045403
IMG_20160624_045432
IMG_20160624_045458
IMG_20160624_045525
IMG_20160624_045547
IMG_20160624_045609
IMG_20160624_045634
IMG_20160624_045653
IMG_20160624_045714
IMG_20160624_045738
IMG_20160624_045801
IMG_20160624_045822
IMG_20160624_045851
IMG_20160624_045915
IMG_20160624_045952
IMG_20160624_050007
IMG_20160624_050037
IMG_20160624_050055
IMG_20160624_050125
IMG_20160624_050150
IMG_20160624_050209
IMG_20160624_050234
IMG_20160624_050256
IMG_20160624_050319
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger