Tuesday 24 November 2015
Sunday 22 November 2015
lot 4 loan for first year students for the academic year 2015 - 2016
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Read More
lot 4 loan for first year students for the academic year 2015 - 2016
Created on 20 November 2015
Lot 4 Loan allocation for SUA first year students who receive loans from Student loan board for the academic year 2015 - 2016Read More
Magufuli ataka mitazamo tofauti kuhusu albino
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
RAIS John Magufuli amesema nchi bado inakabiliwa na tatizo la imani za
kishirikina dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kufanyiwa vitendo
kinyume na haki za binadamu, ikiwemo kuuawa na kueleza kuwa
kinachotakiwa ni kubadilisha mitazamo ya watanzania kuhusu albino.
Aidha, kukosekana kwa taarifa, ushahidi pamoja na ushahidi wa kimahakama wa matukio wanaofanyiwa albino ni changamoto nyingine kutokana na kufanyika kwa siri nyakati za usiku na wakati mwingine kushirikisha ndugu.
Dk Magufuli alisema hayo wakati wa mkutano wa siku mbili wa viongozi wa vyama na mashirika ya watu wenye ulemavu wa ngozi kutoka nchi zaidi ya 29 za Afrika huku nchi 12 na Ulaya kukiwa na wataalamu wa kutoa elimu kuhusu changamoto zinazowakabili albino.
Alisema bila kuwa na taarifa za kutosha ni vigumu kwa polisi kufungulia kesi wahusika wa vitendo hivyo na kuwataka washiriki wa mkutano huo kujadili kwa undani kuhusu suala hilo kwa lengo la kuangalia kisheria.
Dk Magufuli aliyewakilishwa katika mkutano huo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii, Dk Donan Mbando alielezwa kuwa pia nchi inakabiliwa na upungufu wa taarifa sahihi kuhusu albino inasababisha kuendeleza imani potofu kuhusu watu hao.
Alisema imani hizo zina mara nyingi zinazosambazwa na waganga wa kienyeji inasababishwa na kutoelewa usahihi wa watu hao kuzaliwa wakiwa albino.
Dk Magufuli alisema serikali imefanya jitihada mbalimbali kuhakikisha wanapunguza vitendo hivyo vya kikatili, ikiwa ni pamoja na kuanzisha vituo mbalimbali kwa ajili ya kuhudumia watu hao katika mikoa ya Kigoma, Kagera, Mwanza, Shinyanga,Tabora na Tanga.
Mkurugenzi wa shirika la Under the Same Sun nchini, Vicky Ntetema alisema mkutano huo una washiriki karibu 200 kupewa mafunzo jinsi ya kulinda haki zao na kuhusiana na kesi kupeleka mahakamani kwani nchi nyingi wanafanyiwa ukatili lakini kesi hazifiki mahakamani.
Aidha, kukosekana kwa taarifa, ushahidi pamoja na ushahidi wa kimahakama wa matukio wanaofanyiwa albino ni changamoto nyingine kutokana na kufanyika kwa siri nyakati za usiku na wakati mwingine kushirikisha ndugu.
Dk Magufuli alisema hayo wakati wa mkutano wa siku mbili wa viongozi wa vyama na mashirika ya watu wenye ulemavu wa ngozi kutoka nchi zaidi ya 29 za Afrika huku nchi 12 na Ulaya kukiwa na wataalamu wa kutoa elimu kuhusu changamoto zinazowakabili albino.
Alisema bila kuwa na taarifa za kutosha ni vigumu kwa polisi kufungulia kesi wahusika wa vitendo hivyo na kuwataka washiriki wa mkutano huo kujadili kwa undani kuhusu suala hilo kwa lengo la kuangalia kisheria.
Dk Magufuli aliyewakilishwa katika mkutano huo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii, Dk Donan Mbando alielezwa kuwa pia nchi inakabiliwa na upungufu wa taarifa sahihi kuhusu albino inasababisha kuendeleza imani potofu kuhusu watu hao.
Alisema imani hizo zina mara nyingi zinazosambazwa na waganga wa kienyeji inasababishwa na kutoelewa usahihi wa watu hao kuzaliwa wakiwa albino.
Dk Magufuli alisema serikali imefanya jitihada mbalimbali kuhakikisha wanapunguza vitendo hivyo vya kikatili, ikiwa ni pamoja na kuanzisha vituo mbalimbali kwa ajili ya kuhudumia watu hao katika mikoa ya Kigoma, Kagera, Mwanza, Shinyanga,Tabora na Tanga.
Mkurugenzi wa shirika la Under the Same Sun nchini, Vicky Ntetema alisema mkutano huo una washiriki karibu 200 kupewa mafunzo jinsi ya kulinda haki zao na kuhusiana na kesi kupeleka mahakamani kwani nchi nyingi wanafanyiwa ukatili lakini kesi hazifiki mahakamani.
Saturday 21 November 2015
mpya:TAZAMA HAPA MWANAFUNZI BORA(UDAKTARI) KUTOKA UDOM MWENYE GPA YA 4.2,PIA TAZAMA HAPA WANAFUNZI BORA WOTE
THE UNIVERSITY OF DODOMA6TH GRADUATION CEREMONY |
CONVOCATION AND PRIZE GIVING CEREMONY
The University of Dodoma would like to inform all members of the University Convocation and the general public that the 6th Convocation and Prize giving ceremony is scheduled for Wednesday 25th November 2015 at the Chimwaga Complex.
BREAKING NEWS:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOKOSEA KUJAZA FOMU ZA MKOPO 2015/2016
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
NOTICE TO LOAN APPLICANTS TO SUBMIT COPIES OF CERTIFIED BIRTH CERTIFICATES
The Higher Education Students’ Loans Board (HESLB) is finalizing
allocation of students’ loans for the 2015/2016 Academic Year. In the
process, we have identified 336 eligible applicants whose loan application forms miss birth certificates to authenticate their nationality.
Therefore,
HESLB hereby calls upon loan applicants for academic year 2015/2016
whose names are appended herewith to physically come to HESLB offices on
Plot No. 8, Block No. 46 Sam Nujoma Road, Mwenge - Dar es Salaam to
submit their certified copies of birth certificates. It should be remembered that, the Board had earlier on given loan applicants fourteen days starting from 27th August, 2015 to 11th September, 2015 to rectify anomalies found in their application forms.
Names of concerned applicants can be accessed here
The deadline for submission of certified birth certificates is 30th November, 2015 at 5.00pm.
Issued by:
Executive Director
HIGHER EDUCATION STUDENTS’ LOANS BOARD
Friday 20 November 2015
BODI YA MIKOPO YAKARIBISHA MAOMBI YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SPECIAL DIPLOMA -UDOM 2015/2016
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
HESLB has started
officially to receive electronic applications for students admitted to
pursue SPECIAL DIPLOMA IN SCIENCE/MATHEMATICS EDUCATION at UDOM from
18th-Nov-2015 at 00:00 Hours
through 2nd-Dec-2015 at 23:59 Hours. Please read carefully ALL information before filling and submitting your data!
Waziri Mkuu Mteule Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa kuapishwa Leo Saa Nne
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Sherehe za kumuapisha Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu Mteule
zitafanyika katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20
Novemba, 2015 kuanzia saa 4.00 Asubuhi.
Thursday 19 November 2015
KASSIM MAJALIWA NDIE WAZIRI MKUU WA TANZANIA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Hatimaye Kile kitendawili cha Nani Atakuwa Waziri Mkuu wa Awamu ya Tano Kimepata jibu asubuhi hii..
Rais Amemteua Mh Majaliwa Kassim kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Tanzania
Jina hilo limetangazwa leo na Spika wa bunge Mh. Ndugai.
Tusubiri kama ataendana na kauli mbiu ya #Hapakazi tu.
Je Kwa Maoni yako Anafaa kuwa Waziri Mku...
<<CLICK HERE TO READ MORE>>
UDOM: Batch 6 Selected Candidates to Join Diploma in Education(Science& Maths)
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Batch 6 Selected Candidates to Join Diploma in Education(Science& Maths)
Wednesday 18 November 2015
HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO AWAMU YA NNE 2015/2016-BATCH 4
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Itakumbukwa kuwa wiki iliyopita, Bodi ilitoa orodha ya Awamu ya Tatu iliyokuwa na waombaji 6,915 waliopangiwa mikopo. Kati ya waombaji hao waliopangiwa mikopo, waombaji 4,642 ni walikua ni wale wanaojiunga na shahada ya kwanza katika vyuo mbalimbali nchini na waombaji 2,273 ni wanafunzi wanaojiunga na Stashahada (Diploma) ya Ualimu wa masomo ya sayansi na hisabati katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Kwa msingi huo, Bodi inapenda kuufahamisha umma kuwa hadi sasa imekwishawapangia mikopo jumla ya waombaji mikopo wenye sifa 48,469 wa mwaka wa kwanza. Katika awamu ya kwanza, Bodi ilitoa orodha yenye jumla ya waombaji 12,282; Awamu ya Pili wanafunzi 28,554; Awamu ya Tatu wanafunzi 6,915 na Awamu hii ya Nne wanafunzi 718 wamepangiwa mikopo.
Majina yote ya waombaji waliofanikiwa kupangiwa mikopo kutoka katika awamu zote tatu yanapatikana kupitia mtandao wa Bodi wa olas.heslb.go.tz na tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz). Aidha, orodha hizo pia zimetumwa vyuoni kwa ajili ya taratibu za usajili.
Mwisho.
AWAMU YA NNE YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA MIKOPO
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 kuwa imetoa orodha ya AWAMU YA NNE yenye jumla ya waombaji wa mwaka wa kwanza 718 waliopangiwa mikopo.Itakumbukwa kuwa wiki iliyopita, Bodi ilitoa orodha ya Awamu ya Tatu iliyokuwa na waombaji 6,915 waliopangiwa mikopo. Kati ya waombaji hao waliopangiwa mikopo, waombaji 4,642 ni walikua ni wale wanaojiunga na shahada ya kwanza katika vyuo mbalimbali nchini na waombaji 2,273 ni wanafunzi wanaojiunga na Stashahada (Diploma) ya Ualimu wa masomo ya sayansi na hisabati katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Kwa msingi huo, Bodi inapenda kuufahamisha umma kuwa hadi sasa imekwishawapangia mikopo jumla ya waombaji mikopo wenye sifa 48,469 wa mwaka wa kwanza. Katika awamu ya kwanza, Bodi ilitoa orodha yenye jumla ya waombaji 12,282; Awamu ya Pili wanafunzi 28,554; Awamu ya Tatu wanafunzi 6,915 na Awamu hii ya Nne wanafunzi 718 wamepangiwa mikopo.
Majina yote ya waombaji waliofanikiwa kupangiwa mikopo kutoka katika awamu zote tatu yanapatikana kupitia mtandao wa Bodi wa olas.heslb.go.tz na tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz). Aidha, orodha hizo pia zimetumwa vyuoni kwa ajili ya taratibu za usajili.
Mwisho.
Tuesday 17 November 2015
NDUGAI ASHINDA USPIKA KWA KURA 264 SAWA NA 70% YA KURA ZOTE
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mbunge
wa Kongwa (CCM) Job Ndugai ashinda kiti vcha Uspika kwa kura 264 sawa
na kura asilimia 70 huku mpinzani wake kupitia Chadema Goodluck Ole
Medeye akipata kura 109 huku wagombea wengine wakipata kura 0.
NDUGAI anakuwa Spika wa Bunge la 11 la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.