Monday 17 August 2015

LAWRENCE MASHA AJIUNGA NA CHADEMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Nyamagana (2005-2010) jijini Mwanza
kwa tiketi cha Chama cha Mapinduzi(CCM) Lawrence Masha leo hii amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA jijini Arusha wakati wa kumtabulisha mgombea wa UKAWA na CHADEMA mheshimiwa Edward Lowassa.
Share:

MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA APATA MAPOKEZI MAKUBWA ARUSHA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY












Share:

MAELFU YA WAKAZI WA MWANZA WAMLAKI MH EDWARD LOWASSA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mgombea urais wa UKAWA Mh. Edward Lowassa ameendelea na ziara yake ya kutafuta wadhani ambapo alianzia jijini Mbeya tarehe 14/8/2015 katika viwanja vya Rwanda nzovwe maarufu kama uwanja wa Dr Slaa na kufuatiwa Jijini Arusha tarehe 15/8/2015 katika viwanja vya Tindigani na kumaliziwa Jijini Mwanza tarehe 16/8/2015 katika viwanja vya Furahisha. Katika mikutano yote hiyo kumekuwa na mwamko mkubwa sana wa wananchi waliojitokeza kumpokea mgombea urais wa UKAWA. Alipotua katika kiwanja cha ndege Mwanza alikutana na umati mkubwa wa watu waliomsindikiza mpaka sehemu ya tukio.
Mbali na kuwa na umati mkubwa wa wafuasi katika mikutano hiyo viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo wameendelea kusistiza kuwa Watanzania wajitokeza kwa wingi wao siku ya kupiga kura na walinde kura zao na huku wakitoa matamko mbalimbali juu ya vyombo vya Ulinzi na Usalama kusimamia haki na kulinda usalama wa Watanzania sio kutumika na baadhi ya viongozi kwa maslahi yao binafsi na kuwa hali hiyo ikipuuzwa italeta machafuko katika Taifa.















Share:

PICHA ZAIDI ZA TUKIO LA MKUTANO MKUBWA WA KUMTAMBULISHA MGOMBEA WA UKAWA NDUGU EDWARD LOWASSA MWANZA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU AGOSTI 17 2015

Share:

Sunday 16 August 2015

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI AGOSTI 16 2015

Share:

Saturday 15 August 2015

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI AGOSTI TAREHE 15.08.2015

Share:

Friday 14 August 2015

MKUTANO WA LOWASSA MBEYA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 
Share:

DOWNLOAD NASEMA NACHOJUA FID Q &STERIO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
http://old.hulkshare.com/dl/ygkcu7cwkmbk/STEREO_ft_FID_Q_-_Nasema_%26%2339%3BNachojua.mp3?d=1
Share:

FID Q - KEMOSABE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

BINTI WA MIAKA 11 AJIFUNGUA MTOTO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 Binti wa miaka kumi na mmoja nchini Paraguay aliyedai kubakwa na baba yake wa kambo amejifungua mtoto wa kike baada ya mamlaka nchini humo kumzuia asitoe ujauzito aliokua nao.

Madaktari katika mji mkuu wa Asuncion wamesema binti huyo na mtoto wake aliyejifungua kwa njia ya upasuaji wanaendelea vizuri.

 
Kampeni imeanzishwa kupinga ubakaji kwasababu ya kisa cha binti huyo.
 
Tukio hilo limesababisha utata mkubwa nchini Paraguay na katika mitandao ya kijamii, Paraguay ni taifa linaloamini zaidi katika Ukatoliki ambapo mwanamke anaruhusiwa kutoa mimba pale tu afya yake inapokuwa hatarini.

Binti huyo alibakwa alipokua na umri wa miaka kumi pekee na Baba yake wa kambo mwenye miaka arobaini na miwili yupo rumande akisubiria kutajwa kwa kesi yake wakati huo huo baba huyo amekanusha kuhusika katika tukio hilo.bbc
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA AGOSTI 14 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
...

 

 BONYEZA HAPA KUSOMA >>>>MAGAZETI MENGINE  YA LEO IJUMAA AGOSTI 14 2015

Share:

Thursday 13 August 2015

MAGAZETI YA LEO TAREHE 13/08/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Wednesday 12 August 2015

MAGAZETI YA LEO JUMATANO AGOSTI 12 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
     
  

 

 

 

  

BONYEZA HAPA KUSOMA MAGAZETI MENGINE YA LEO JUMATANO AGOSTI 12 2015

Share:

Tuesday 11 August 2015

MH EDWARD LOWASSA ACHUKUA FOMU TUME YA UCHAGUZI YA KUGOMBEA URAIS 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

KAMATI KUU YAAGIZA KURA ZA MAONI KURUDIWA KATIKA MAJIMBO MATANO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

KAMATI KUU YA CCM YAKUTANA LEO MJINI DODOMA, YAAGIZA KURA ZA MAONI UBUNGE ZIRUDIWE KATIKA MAJIMBO MATANO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger