TAFADHALI FANYA YAFUATAYO KUANGALIZIWA JINA LAKO;
Endapo utahitaji kuangaliziwa jina lako Fanya yafuatayo;
1.tafadhali tuma Kituo/Shule Uliyofanyia Mtihani kwenda namba 0768260834 mfano BINZA SECONDARY SCHOOL-S0710,pia tuma jina lako
2.HUDUMA HII UTATOZWA TSHS.1000 TUA AMBAYO UTAITUMA KWA MPESA KWENDA NAMBA
mwanaye, baba…
Na Kulwa Mwaibale MSIBA!
Mohamed Juma (14) ambaye alikuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza, Shule
ya Sekondari ya Toangoma wilayani Temeke, Dar amefia bwawani wakati
akiogele...
Funguka!
Kwa mara ya kwanza, ‘mnyama’ katika anga la muziki wa Bongo Fleva,
Khaleed Mohamed ‘Top In Dar’ (TID) amekiri kutumia mihadarati aina ya
bangi huku akijiapiza kuwa hajawahi kutumia madawa mengine ya kulevya
‘unga’ ikiwemo cocaine kama ambavyo amekuwa akinyoshewa vidole na baadhi
ya watu, Ijumaa Wikienda ‘lilikabana naye koo’.