Tuesday 16 September 2014

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUSOMESHWA NA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII MWAKA WA MASOMO 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                    
Yafuatayo ni majina ya wanafunzi waliochaguliwa kusomeshwa na wizara ya aafya mwaka wa masomo 2014/2015.
BONYEZA HAPO CHINI KUANGALIA JINA LAKO;
CANDIDATES SELECTED TO BE SPONSORED BY THE MINISTRY OF HEALTH & SOCIAL WELFARE - 2014/2015 ACADEMIC YEAR 

ENDAPO UATATAKA KUANGALIZIWA JINA LAKO,TAFADHALI TUMA TSH.800 KWA MPESA IKIFUATIWA NA JINA LAKO,FUNGA MABANO ANDIKA(AFYA 2014). KWENDA NAMBA 0768260834;TUTAKUJIBU NDANI YA MUDA MFUPI.
THANKS.
MASWAYETU BLOG TEAM
Share:

Sunday 14 September 2014

BREAKING NEEWZ:ORODHA YENYE MAJINA TAKRIBANI 4422 YA WANAFUNZI KIDATO CHA NNE WALIOCHAGULIWA BILA KUTUMA MAOMBI-UDOM DIPLOMA YA UALIMU WA SEKONDARI 2014/2015


INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                           
   
                      
Habari yenu ,natumaini mu wazima wa afya njema kabisa ,hata mie ni mzima wa afya.
Yafuatayo ni majina ya wanafunzi waliochaguliwa diploma ya ualimu udom mwaka wa masomo 2014-15.Hii inawahusu wale wote kidato cha nne waliomaliza shule mwaka 2013 kurudi nyuma.
Kama ilivyo kwaida yetu MASWAYETU BLOG tunaendelea kutoa huduma kwa wale wote mtakaotaka kuangaliziwa majina yenu kama mmechaguliwa au la.
Kama jina lako lipo hapa omba mkopo kupitia www.heslb.go.tz kama unahitaji. Kozi hii ina ufadhili wa serikali kwa watakidhi vigezo vya bodi.

Mawasiliano zaidi yatatolewa na UDOM. Kumbuka UDOM ni chuo kikuu na hivyo mamlaka ya mwisho kuhusu kujiunga na chuo hutolewa na senate ya chuo. Hivyo majina haya yametolewa kuwawezesha kuomba mkopo wakati mkisubiri taarifa rasmi kutoka UDOM.

Ili kujua kama umechaguliwa au la ,fanya yafuatayo;
1.Tuma jina lako kamili,EXAM NAMBA NA SHULE ULIYOMALIZA YA FORM IV ,kwenda namba 0768260834.
2.Gharama ya huduma hii ni tsh.1000 ambayo utaituma kwa mpesa kwenda namba 0768260834.
3.Kama unatumia airtel na tigo pesa tuma pesa hiyo kwenda namba  0768260834.
4.HUTAJIBIWA HADI UTUME PESA,THANKS.
Share:

Wednesday 10 September 2014

BREAKING NEEEWZ:TCU WATOA MAJINA TAKRIBANI 12000 YA WALIOKOSA VYUO MWAKA WA MASOMO 2014/2015,ORODHA KAMILI YA MAJINA HAYO YA WALIOKOSA VYUO HII HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                     
                                       
Habari yenu wadau wa blog hii pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT Leo tunawaletea majina ya wanafunzi waliokosa vyuo baada ya kuomba TCU,kwa mara ya kwanza zoezi lilioanza mnamo april na kuisha 31/08/2014.
Kama ilivyo kawaida yetu maswayetu blog team tumedhamiria kuwapa huduma inayostahili watanzania ambao wanahitaji huduma yetu.
Ili kujua kama jina lako lipo katika orodha iliyotolewa tafadahali  fanya yafuatayo;

1.TUMA JINA LAKO NA NAMBA YAKO YA FORM FOUR YA MTIHANI KWENDA NAMBA 0768260834.Mfano:PAUL,JOHN(S0711/0112/2011-TCU)
2.HUDUMA HII UTATOZWA TSHS.800 AMBAYO ITAKUBIDI
   UITUME KWA MPESA KWENDA NAMBA 0768260834.

3.HATUPOKEI VOCHA NAMBA,ILA KAMA HUNA MPESA RUSHA MDA WA MAONGEZI.
4.HUTAJIBIWA HADI UTUME PESA YA HUDUMA.
Share:

HIZI HAPA JOINING INSTRUCTIONS KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MWAKA WA MASOMO 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

                                                    
Habari yenu tena wadau wa blog hi pendwa ndani ya Tanzania na East africa kwa ujumla,leo tumewaletea JOINING INSTRUCTIONS za wanafunzi waliochaguliwa vyuo mbalimbali vya ualimu ngazi ya stashahada 2014/2015.

Kama ilivyotangazwa na NACTE kuwa joining instructions zinapatikana katika website zinazoshahabiana(MOE,PMORALG&NACTE),tumeamua kuwarahisishia mambo watanzania waliochaguliwa vyuo vya ualimu.
Pia tumeamua kufanya hivi kutokana na kwamba form hizo ambazo zimetumwa kwenye masanduku yenu zinaweza zikachelewa au zisifike kwa wakati.
 MASWAYETU BLOG tunaendelea kutoa huduma kwa watanzania watakaotaka kutumiwa form hizo  unatakiwa ufanye yafuatayo;
1.TUMA EMAIL ADDRESS YAKO,KWENYE MABANO ANDIKA JINA LAA CHUO ULICHOCHAGULIWA, KWENDA NAMBA 0768260834. 
2.TUMA TSH.900 KWA MPESA KWENDA NAMBA 0768260834.(PESA YA HUDUMA)
Share:

Monday 8 September 2014

BREAKING NEWZ:ANGALIA ORODHA YA MAJINA WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU CHA UDOM NA BUGANDO KOZI ZA PHARMACY,NURSING&LABORATORY KWA MWAKA WA MASOMO 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                          


List of Selected Candidates, Continuing Candidates, Joining Instructions and Registration Forms


Diploma in Pharmaceutical Sciences (DPS)    



Diploma in Radiography (DDR)    



Diploma in Medical Laboratory Sciences (DMLS)    



Bachelor of Pharmacy (BPHARM)    



Bachelor of Science in Nursing Education (BSNE)    



Bachelor of Medical Laboratory Sciences (BMLS)    



Doctor of Medicine (MD)    



Clinical Postgraduate (M.MED)    


Master in Public Health (MPH)    

 
Habari yenu wadau wa blog hii pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE leo tena tunawaletea majian ya wanafunzi wa liochaguliwa chuo kikuu cha dodoma na bugando kwa kozi tajwa hapo juu.

Kama ilivyo kawaida yetu Tunaendelea kutoa huduma kwa wale wote mtakaotaka kuangaliziwa majina yenu kama Umechaguliwa.
Fanya yafuatayo kuangaliziwa jina lako;
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger