
Naitwa Skudu natokea Kahama, Tanzania, mwaka 2009 nikiwa shule ya msingi niliingia rasmi kwenye mchezo ambao vijana wengi wa kiume tunafanya hasa wakati wa balehe hapa nazungumzia kujichua au masterbation.
Mchezo ulinikolea nimeweza kufanya kwa kila aina ya kichocheo kuanzia mafuta, sabuni, picha...