Wednesday, 29 November 2023

TRA SHINYANGA YATOA MSAADA WA TANKI LA MAJI HOSPITALI YA WILAYA DKT. JAKAYA KIKWETE KISHAPU, CHAKULA MAKAZI YA WAZEE NA WASIOJIWEZA KOLANDOTO

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekabidhi Tanki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita 10,000 katika Hospitali ya Wilaya ya Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Kishapu na chakula katika Makazi ya Wazee na Wasiojiweza Kolandoto Mkoani Shinyanga ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho...
Share:

AJALI YA BASI LA ALLY'S KUGONGA TRENI YAUA WATU 13

 Watu 13 wamefariki dunia na 25 kujeruhiwa katika ajali ya Basi la Ally's lenye namba za usajili T.178 DVB lililokuwa likitokea Jijini Dar es salaam kwenda Jijini Mwanza baada ya kugonga Treni za mizigo maeneo ya Manyoni leo Novemba 29,2023 majira ya Saa 11 alfajiri. Picha na Marco Maduhu ...
Share:

BASI LA ALLY'S LAGONGA TRENI MANYONI... WATU KADHAA WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA

  Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya Basi la Ally's lenye namba za usajili T.178 DVB lililokuwa likitokea Jijini Dar es salaam kwenda Jijini Mwanza baada ya kugonga Treni za mizigo maeneo ya Manyoni  leo  Novemba 29,2023 majira ya Saa 11 alfajiri Picha na...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO NOVEMBA 29, 2023

 ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger