

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan (watatu kulia) akikata utepe kuzindua Afisi ya Maendeleo kata ya Kizimkazi Dimbani na nyumba mbili za madaktari zilizonjengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB na kugharimu shilingi milioni 300. Wengine pichani ni, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Zanzibar, Haroun Ali Suleiman (wapili kulia), Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Rashid Hadid Rashid (wakwanza kushoto), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB, Dkt. Ally Hussein Laay (watatu kushoto), Mwenyekiti wa CRDB Bank Foundation, Martin Warioba (watatu kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wanne kushoto).
Zanzibar, 28 Agosti 2021 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amepongeza jitihada zinazofanywa na Benki ya CRDB katika kuchangia maendeleo katika jamii. Rais Samia ametoa pongezi hizo wakati wa kilele cha Tamasha la Kizimkazi alipokuwa akikabidhiwa miradi ya nyumba za madaktari na ofisi za shehia Kizimkazi Dimbani zilizojengwa kwa udhamini wa Benki hiyo.
“Suala la kuijenga nchi yetu ni wajibu wa kila mmoja wetu na si la Serikali peke yake, niwapongeze Benki ya CRDB kwa kujitoa kwenu kutatua changamoto zilizopo katika jamii. Leo hii mmetutoa kimasomaso kwa kutusaidia kuimarisha sekta ya afya na kuhakikisha wananchi wa Kizimkazi Dimbani wanapata huduma bora za kijamii, ama hakika hii ni Benki ya kizalendo,” alisema Rais Samia.
Pia alieleza kwamba wakati umewadia kwa Watanzania kuacha utamaduni wa kigeni na kujivunia utamaduni wetu. Alitoa rai kwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuwa na mikakati mbalimbali itakayosaidia kutoa elimu juu ya umuhimu wa kuenzi na kulinda utamaduni wa Kitanzania. Rais Samia alisema jamii pia ina wajibu wa kushiriki kikamilifu katika matamasha ya utamaduni ili kusaidia ukuzaji na uendelezaji wa mfumo wa utamaduni na sanaa katika jamii ya Kitanzania.Na. Edward Kondela
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (Mb) amesema atahakikisha kila maelekezo anayoyatoa anayafuatilia kwa karibu ili kujiridhisha na utekelezaji wake na kufikiwa kwa malengo ya serikali.
Naibu Waziri Ulega amebainisha hayo (29.08.2021) wakati alipofanya ziara ya kushtukiza kujionea maendeleo ya ukarabati wa machinjio ya Jiji la Dodoma yaliyoanza Tarehe 15 Mwezi Julai mwaka huu.
Mhe. Ulega amesema ameridhishwa na ukarabati unaondelea kufanywa ambapo hadi sasa zimetumika Shilingi Milioni 40 kwa kutumia mapato ya ndani ya machinjio hayo.
“Kila maelekezo tunayoyatoa, tunayatoa kwa wakati maalum na kinachofuata ni ufuatiliaji wa karibu, tunatoa maelekezo na kufuatilia utekelezaji wake, tunawapongeza watendaji wetu wizarani maana kila maelekezo tunayoyatoa wanayasimamia na mnafanya kazi nzuri maelekezo tunayoyatoa mnayafanyia kazi.” Amesema Mhe. Ulega
Mhe. Ulega amesema alitoa maelekezo ya kuona machinjio ya jiji la Dodoma, yanabadilika na kuwa bora na kwamba ameridhika na ukarabati unaoendelea hadi sasa ambapo awali uongozi wa machinjio ulihitaji Shilingi Bilioni Tatu, lakini aliwaelekeza kuanza kufanya ukarabati kwa kutumia mapato ya ndani.
Amefafanua kuwa yeye kama kiongozi anatoa maelekezo na kuhakikisha yanasimamiwa usiku na mchana na kuyafuatilia hadi mwisho wake na kutaka maboresho hayo yawe yamekamilika kufikia Tarehe 15 Mwezi Septemba mwaka huu.
Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uzalishaji na Masoko kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bw. Stephen Michael amesema hadi sasa ukarabati wa machinjio ya Jiji la Dodoma yamefikia zaidi ya asilimia 90 ambapo maeneo 13 kati ya 15 yatakuwa yamekamilika mwisho wa mwezi huu na maeneo mawili yaliyobakia yatakamilika ifikapo Tarehe 15 Mwezi Septemba
Bw. Michael amesema ni muhimu kwa wao kama watendaji wanaposimamia maelekezo ya viongozi ni kwamba wanajua athari zinazoweza kujitokeza kutokana na ulaji wa nyama isiyo na usalama na kwamba watasimamia ukarabati huo kwa weledi mkubwa.
Afisa usalama wa chakula (TBS) Bw.Barnabas Jacob akitoa elimu kuhusu madhara ya vipodozi vyenye viambata sumu kwa watumishi wa TANESCO,TRA, TTCL, NIDA na Benki ya Biashara ya Posta (TCB). Elimu hiI itawawezesha watumishi hao kuwa mabalozi wazuri ndani ya jamii na familia zao kwa ujumla kupinga matumizi ya bidhaa hizo.
Afisa usalama wa chakula (TBS) Bw.Barnabas Jacob akitoa elimu kuhusu madhara ya vipodozi vyenye viambata sumu kwa watumishi wa TANESCO,TRA, TTCL, NIDA na Benki ya Biashara ya Posta (TCB). Elimu hiI itawawezesha watumishi hao kuwa mabalozi wazuri ndani ya jamii na familia zao kwa ujumla kupinga matumizi ya bidhaa hizo.
Watumishi wa TANESCO,TRA, TTCL, NIDA na Benki ya Biashara ya Posta (TCB) wakipata kuhusu madhara ya vipodozi vyenye viambata sumu kutoka kwa Afisa usalama wa chakula (TBS) Bw.Barnabas Jacob (hayupo pichani).About Isakamaliwa Secondary School Isakamaliwa Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1991 – Known as Shule ya Sekondari Isakamaliwa Secondary School Isakamaliwa Secondary School is located at Tabora. Isakamaliwa Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]
This post Isakamaliwa Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
About Usongelani Secondary School Usongelani Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1990 – Known as Shule ya Sekondari Usongelani Secondary School Usongelani Secondary School is located at Tabora. Usongelani Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]
This post Usongelani Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
About Lupunga Secondary School Lupunga Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1989 – Known as Shule ya Sekondari Lupunga Secondary School Lupunga Secondary School is located at Ruvuma. Lupunga Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]
This post Lupunga Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

About Mwega Secondary School Mwega Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1970 – Known as Shule ya Sekondari Mwega Secondary School Mwega Secondary School is located at Morogoro. Mwega Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]
This post Mwega Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
About Dunda Secondary School Dunda Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1969 – Known as Shule ya Sekondari Dunda Secondary School Dunda Secondary School is located at Pwani. Dunda Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Literature […]
This post Dunda Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
About Msata Secondary School Msata Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1968 – Known as Shule ya Sekondari Msata Secondary School Msata Secondary School is located at Pwani. Msata Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]
This post Msata Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
About Changalikwa Secondary School Changalikwa Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1967 – Known as Shule ya Sekondari Changalikwa Secondary School Changalikwa Secondary School is located at Pwani. Changalikwa Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]
This post Changalikwa Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
About Miburani Day Secondary School Miburani Day Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1966 – Known as Shule ya Sekondari Miburani Day Secondary School Miburani Day Secondary School is located at Dar es salaam. Miburani Day Secondary School is boys and girls school […]
This post Miburani Day Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details