Wednesday, 5 November 2014

BREAKING NEWEEZ:MATOKEO YA DARASA LA SABA YATANGAZWA RASMI 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                               Habari yenu wadau wapendwa wa blog hii pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT mu wazima wa afya?leo tena...
Share:

Tuesday, 4 November 2014

HABARI NJEMA KWA WANAFUNZI WOTE KIDATO CHA NNE WALIOKOSA NAFASI ZA KUJIUNGA NA UALIMU NGAZI YA CHETI,SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY NG'WANZA TEACHERS COLLEGE CHUO PEKEE KINACHOPOKEA WANAFUNZI WA CHETI 2014/2015 Habari yenu wadau wapendwa wa BLOG HII YA MASWAYETU leo tunawaletea taarifa njema kwa watu wote wanaotaka kujiunga na ualimu ngazi ya cheti na wanataka kujiunga,basi Chuo cha NG'WANZA KILICHOPO MASWA SIMIYU ni chuo pekee kinachoendela kupokea wanafunzi wote waliokosa nafasi kujiunga na cheti kwa...
Share:

UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya washiriki wa mkutano Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura 287 (kwa...
Share:

BREAKING NEWZ: ADOPTION OF NATIONAL CURRICULA FOR CERTIFICATE AND ORDINARY DIPLOMA PROGRAMMES

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Please be informed that NACTE is issuing curricula for six programmes namely; Accountancy (NTA Levels 4 – 6); Business Administration (NTA Levels 4 – 6); Community Development (NTA Levels 4 – 6); Computing and Information Technology (NTA Levels 4 – 6); Procurement and Supply...
Share:

TANGAZO KWA UMMA KUTOKA UDOM :KUWENI MAKINI WATU HAWA,SI WAFANYAKAZI WA UDOM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY    TAARIFA KWA UMMA    BWANA CHRISANTUS LUCAS MILANZI Bwana Chrisantus Lucas Milanzi, mzaliwa wa Masasi Mtwara, ambaye picha yake inaonekana hapo juu, si mwajiriwa wa Chuo Kikuu cha Dodom...
Share:

END OF CENTRAL TRANSFERS FOR ALL APPLICANTS WHO HAVE BEEN SELECTED TO JOIN VARIOUS UNDERGRADUATE PROGRAMMES FOR THE 2014/2015 ACADEMIC YEAR

            Tanzania Commission for Universities                                                ...
Share:

Monday, 3 November 2014

Bad News_MWANAFUNZI AFARIKI AJIKIANDAA KUFANYA MTIHANI WA FORM FOUR LEO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Habari tulizozipata hivi punde kutoka mkoani Simiyu ni kwamba mwanafunzi aliyefahamika kwa jina la Yunis Festo aliyekuwa anasoma kidato cha nne katika shule ya sekondari Simba wa Yuda iliyoko katika kijiji cha Bulima wilaya ya Busega amefariki dunia . Yunis Festo...
Share:

Saturday, 1 November 2014

MASWAYETU BLOG TEAM INAKUTAKIENI MITIHANI MEMA KIDATO CHA NNE 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Jumatatu ijayo tarehe 03/11/2014 wanafunzi wa kidato cha nne wanakwenda kuanza mitihani yao ya kuhitimu kidato cha nne. Hii ni hatua muhimu sana kwenye maisha yao kwani ndio itapelekea ndoto zao nyingine kuwa kweli. Kama mwananfunzi ana ndoto ya kuwa injinia, rubani, daktari au mwalimu, mitihani hii ni muhimu kwake kufaulu ili kuweza kuendelea na masomo yako. Hapa...
Share:

Friday, 31 October 2014

ORODHA MPYA YA VYUO VIKUU 100 BORA BARANI AFRICA, UDSM YAWA YA NNE,SUA NAYO IMO...SOUTH AFRICA WATAMBA...ICHEKI HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY The rankings of Africa’s top higher education institutions is provided by the 4 International Colleges & Universities (4icu). 4icu  is an international higher education search engine and directory reviewing accredited Universities and Colleges in the world. 4icu.org...
Share:

BREAKING NEEEEEWZ:RE-OPENING OF THE CENTRAL ADMISSION SYSTEM (CAS) FOR APPLICANTS INTO DIPLOMA AND BACHELOR DEGREE PROGRAMMES – 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                                                              ...
Share:

MPYA-SUA:DEADLINE FOR ELECTIVE COURSES REGISTRATION 31/10/2014 FOR BOTH CONTINUING AND 1ST YEAR STUDENTS

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY...
Share:

PROFESA KIKWETE MGENI RASMI UJENZI WA KITUO CHA MICHEZO

Na Mwandishi wetu_MAELEZO-Dar es salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Profesa Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa kituo cha michezo katika eneo la Kidongo Chekundi  jijini Dar es salaam. Kituo cha michezo kinajengwa...
Share:

Thursday, 30 October 2014

BREAKING NEWS:HAYA HAPA MAJINA MAPYA YA WANAFUNZI WALIOHAMISHWA VYUO 4TH BATCH TOKA TCU 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                           Habari yenu,leo tena tunawaletea majina ya Wanafunzi walioomba kuhama vyuo kutokana na kutokuridhishwa na kozi walizochaguliwa...
Share:

MSIBA BONGO MOVE : MUIGIZAJI MACHACHARI 'MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Habari zilizotufukia hivi punde zinasema kuwa muigizaji Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu habari hizi nz chanzo ch kifo cha mzee wetu huyu...
Share:

Saturday, 25 October 2014

BREAKING NEWZ:TCU YATANGAZA AWAMU YA TATU YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOHAMISHWA CHUO 2014/2015(3RD BATCH)AFYA NA ZINGINE

INNOCENT-THE BLOGGER BOY                                    Tume ya vyuo   vikuu Tanzania imetangaza majina ya wanafunzi waliofanikiwa kuhama vyuo awamu ya tatu mwaka wa masomo 2014/2015. Kama kawaida yetu MASWAYETU...
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO TAREHE 24/10/2014 KUBWA ZAIDI,SOMA MTANDAO HATARI WA UJAMBAZI

INNOCENT-THE BLOGGER-B...
Share:

Friday, 24 October 2014

MPYA:ANGALIA HAPA MATUKIO MBALIMBALI KATIKA MAHAFALI CHUO KIKUU CHA JORDAN-MOROGORO YALIVYOFANA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mhitimu wa kozi ya shahada ya kwanza ya elimu, Theresia Mbilinyi akipongezwa na mama mkwe wake, Blandina Mbunda wakati wa mahafali ya pili ya chuo kikuu cha Mt Augustino Tanzania yaliyofanyika chuoni mkoani Morogoro, ambapo jumla ya wahitimu 547 wa kozi hiyo walihimu ikiwa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger