









Katibu mwenezi wa CCM Wilaya ya Shinyanga mjini Said Bwanga akizungumza wakati wa ziara hiyo.
Diwani wa kata ya Kizumbi Mhe. Ruben Kitinya akizungumza wakati wa ziara hiyo.
Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Hamisa Chacha akizungumza wakati wa ziara hiyo ya kata kwa kata.
CCM imemtaka Jussa kutozichezea akili za wazanzibari kwani maendeleo anayoyaponda yako sanjari na ahadi zilizomo katika Ilani ya Uchaguzi ya ACT mwaka 2020/2025.
Siri hiyo imefichuliwa na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC Zanzibar Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Khamis Mbeto Khamis , aliyesema baadhi ya ahadi zilizotekelezwa na SMZ chini ya Rais Dkt. Huseein Mwinyi , zimo katika Ilani ya ACT Wazalendo .
Mbeto akionyesha kumshangaa Jussa ,amesema yalioahidiwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM Mwaka 2020- 2025, yanafanana na ahadi za ACT, hivyo ni kituko kumsikia Jussa akibeza ujenzi wa shule za Maghorofa.
Akitoa mfano , amesema katika kifungu cha 4.3 kuhusu Michezo, Sanaa na Burudani , ukurasa wa 39, ilani ya ACT, kama kingeingia ikulu , kiliahidi kuimarisha maeneo ya mapumziko kwa kushiriana na vikundi vya Wanawake na Vjana ili kuongeza ajira.
Pia Mbeto amekitaja kifungu cha 3.2.1 cha ilani ya ACT, imeahidi endapo kingeshinda uchaguzi , kingeboresha Miundombinu ya huduma za Afya kwa kujenga Zahanati ,Vituo vya Afya na kuzijengea uwezo hospitali za Wilaya na Mikoa.
"Nimewahi kusema mahali fulani Jussa kifikra na kiitikadi hana tofauti na kibaraka wa zamani huko Zimbabwe Ian Douglas Smith .Kazi yake kubwa ni kupinga mema yote ya kimaendeleo kwa Afrika na watu wake", ameeleza Mbeto.
Katibu huyo Mwenezi , amesema juhudi za kimkakati na kisera zilizofanywa na Serikali ya Rais Dk. Mwinyi kupitia ilani ya CCM mwaka 2020 - 2025, ametekeleza kwa ufanisi mkubwa sekta za Elimu, Uwekezaji, utalii Michezo ,Sanaa na Afya ,tena kwa kiwango cha juu.
"Jussa na ACT msiwafanye wananchi wa Zanzibar hawajui malengo yenu . Mmeshindwa kutekeleza mradi wenu wa siri acheni kuburuza wananchi .Rasilimali na Maliasili za Zanzibar zipo , zitawanufaisha wazanzibari si vinginevyo ",amesema Mbeto.
Kwa muktadha huo ,CCM imewataka wananchi wa Zanzibar na wafuasi wa ACT, kuamka na kuyatafakari maneno ya Jussa kila anapotamka kwani ameamua kuwa komedi wa kisiasa akiamini atawachekesha walionuna.
'Serikali ya awamu ya nane imejenga Viwanja vya soka vya kisasa , imeimarisha studio za Sanaa na Wasanii. Zimejengwa Shule za Msingi, Sekondari, Vyuo vya Amali ,Zahanati , hospitali za wilaya na Mikoa", amesema Mbeto.
Mbeto amemtaka Jussa kama kweli yeye si kibaraka ,ajitokeze akanushe kama ACT haikuahidi ahadi hizo.
Amesema CCM kupitia ilani yake ya uchaguzi mwaka 2020 hadi 2025 chini ya serikali ya Rais Dkt. Mwinyi imetimiza wajibu wake .
"Wana ACT wasidanganywe na Ian Smith . Waisome ilani yao ya uchaguzi mwaka 2020 -2030 waone kama yaliotekelezwa na SMZ kama si yale yaliomo kwenye ilani yao . Jussa si kibaraka tu ni kiongozi mawenge", amesisitiza Mbeto

Kulikuwa na drama na zogo katika mtaa wa Tom Mboya Estate, Kisumu nchini Kenya baada ya mwanaume mmoja aliyeoa kufanya tukio lisilo la kawaida wala kutarajiwa na wengi kwani jamaa huyo alitembea na Mama mkwe wake.
Tukio hilo limewaacha wengi wakijiuliza imekuwaje kwa watu siku hizi kwani wanaume hawaonekani tena kuwaheshimu wakwe zao kama ilivyokuwa hapo awali, yaani miaka ya nyuma.Hapo awali, mwanaume Mwafrika hakuweza hata kulala usiku mmoja kwa wakwe zake, watu wengine wanaamini inatakiwa hata jua lisitue mwanaume ukiwa bado upo katika kijiji cha wakwe zako.
Nandera na Sam walikuwa wameoana kwa miaka mitatu. Wakiwa wenyeji wa jiji la kando ya ziwa, walikuwa na nyumba nzuri huko Kisumu na kuishi maisha mazuri tu.
Kutokana na mahitaji ya kazi, iliwalazimu kujenga nyumba nyingine jijini Nairobi ambapo Nandera alifanya kazi kwa bidii kubwa ili kuweza kuitunza familia yake.
"Tuna pesa, lakini sio nyingi, Mungu ametubariki kwa magari mawili, nyumba mbili na familia yenye hali nzuri. Ninampenda mume wangu, lakini alikuja kunishangaa kwa njia ambayo sikuamini na kuelewa. Lakini sasa tuko sawa.” alisema Nandera.
Mwanamke huyo alikiri kwamba ingawa kila kitu kilionekana kuwa sawa, ila chini kabisa ndoa yao ilikuwa imegonga mwamba, na urafiki wao ulikuwa unakufa.
Alishuku kuwa Sam hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao lakini hakuwa na ushahidi. Sasa miezi minne iliyopita, Sam alikuwa katika kile alichokiita mkutano wa kibiashara mjini Kisumu. Alipanda ndege Ijumaa jioni kabla ya mkutano uliopangwa kufanyika Jumatatu.
Kwa kuwa Nandera pia alikuwa nje kikazi wikendi hiyo, alipanga kumshangaza mume wake kwa mlo wa kitamaduni wa hali ya juu baadaye Jumatatu hiyo jioni.
Aliendesha gari Jumatatu hiyo asubuhi hadi Kisumu. Alipofika, alipitia soko la karibu la Kibuye, ambako alinunua viungo, samaki, na mboga, kisha akaelekea nyumbani ambapo ilikuwa umbali wa chini ya kilomita 4 tu.
Ilikuwa yapata saa 1 usiku alipofika akiwa ameongozana na dada yake. Kwa kushangaza, madirisha ya nyumba yalikuwa wazi. "Sam hajifunzi kamwe, anapenda kuacha madirisha wazi," alimwambia dada yake.
Alipokaribia mlangoni wakati akitafuta ufunguo, alipigwa na butwaa ambapo aliona jambo la kushangaza. Mama yake alikuwa bize kitandani na mume wake.
"Huu ndio mkutano uliokuwa unazungumzia Sam?", alifoka, Yaani unakula hadi mama yangu aki Sam. Mama, unafanya nini hapa? Hii ni nyumba yangu. ili ni kosa".
Wawili hao hawakuweza kusema lolote. Nyuso zao zilikuwa zimekosa nuru kwa aibu. Nandera alishindwa, kwa hiyo alikimbia nje na kuanza kulia.
Matokeo ya fumani hilo yanakuja wiki moja baada ya Nandera kuwaambia Kiwanga Doctors kwamba anashuku kuwa mume wake alikuwa akimdanganya. Kwa kutumia uchawi wenye nguvu, waganga hao wa mitishamba waliwawekea mtego, naye akaingia humo.
Lakini sasa Nandera alikuwa anakula zaidi ya alivyoweza kutafuna. Alirudi kwa waganga hao na kutafuta ushauri zaidi; aliwaambia hataki kumuacha mume wake licha ya tukio hilo baya.
Kiwanga Doctors aliitazama hali yake na kumshauri kuachana na dawa za uzazi wa mpango zenye homoni alizokuwa akitumia kwani zinamfanya kukosa hamu ya tendo la ndoa hadi mume wake kwenda nje.
Ukiona mambo hayaendi kama unavyotaka, basi usisite kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba +254 769 404965, wataalamu hawa wamesaidia watu wengi ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.



