Sunday, 8 September 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI SEPTEMBA 8,2024

...
Share:

Saturday, 7 September 2024

MAONESHO YA UWINDAJI WA KITALII ABU DHABI KUZAA MATUNDA:TAWA

Wawekezaji waonesha nia kuwekeza kwenye biashara ya uwindaji wa kitalii na hoteli nchini. Na. Mwandishi wetu, Abu Dhabi. Maonesho ya Kimataifa ya Uwindaji wa Kitalii yanayojulikana kwa Jina la "Abu Dhabi International Hunting and Equestrian Exhibition - ADIHEX 2024" yamezaa matunda kufuatia...
Share:

RAIS WA KENYA ATANGAZA MAOMBOLEZO YA KITAIFA VIFO VYA WANAFUNZI 17

Baadhi ya waombolezaji baada ya ajali ya moto Nchi ya kenya imetangaza siku tatu za maombolezo ya Kitaifa kutokana na vifo vya wanafunzi 17 wa shule ya msingi ya Hillside Endarasha kufariki katika ajali ya moto iliyotokea katika shule hiyo. Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombolezo ya...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI SEPTEMBA 7,2024

...
Share:

TBS YASHIRIKI MAONESHO YA 21 YA WAHANDISI TANZANIA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeshiriki katika Maonesho ya 21 ya Wahandisi Tanzania  kwa kutoa elimu kwa wahandisi kuhusu uwepo mashine bora na za kisasa katika maabara ya TBS ambazo wanaweza katika miradi yao kuhakiki bidhaa katika miradi yao. Akizungumza...
Share:

MUONEKANO MPYA SERENGETI BEER

Serengeti Premium Lite ************* Serengeti Breweries Limited imezindua muonekano mpya na maridadi kwa chapa zake pendwa, ikiwemo Serengeti Premium Lager, Serengeti Premium Lite, na Serengeti Premium Lemon.  Mabadiliko haya yanalenga kusherehekea urithi wa kitanzania na ubora ambao Watanzania...
Share:

Friday, 6 September 2024

DAWASA KUSHIRIKIANA NA JAMII KUBORESHA MIFUMO USAFI WA MAZINGIRA BUGURUNI

  Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imepanga kuanza mkakati jumuishi na wakazi wa Buguruni kisiwani, katika Wilaya ya Ilala katika utunzaji wa miundombinu ya Usafi wa Mazingira ili kumaliza changamoto ya utiririshaji majitaka katika makazi ya watu. Akizungumzia...
Share:

MONGELLA APOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA SHINYANGA

Naibu Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga mara baada ya kuwasili mkoani hapo kwa ziara ya chama ya siku saba leo, tarehe 6 Septemba 2024.  Mongella ni mlezi wa CCM Mkoa wa Shinyanga. Pamoja na kutia...
Share:

KAMPENI YA KISHERIA YA MAMA SAMIA YALETA HAMASA KWA WANANCHI KUJUA UMUHIMU WA SHERIA

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi,akizungumza na moja wa mteja mara baada ya kuzindua Kituo cha Huduma kwa Mteja ,uzinduzi huo umefanyika katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma. Na Mwandishi Wetu, DODOMA WIZARA ya Katiba na Sheria imezindua Kituo cha Huduma kwa Mteja huku...
Share:

Wednesday, 4 September 2024

WAZEE NCHINI WALAANI VITENDO VYA UKATILI VINAVYOENDELEA

CHAMA Cha Wazee Wanaume Nchini kinasikitishwa na kulaani vitendo vya ukatili vinayoendelea kufanywa na baadhi ya watu wasio na hofu ya Mungu, katika maeneo mbalimbali. Kiongozi mkuu wa chama hicho Tadei Mchena amesema vitendo vinayoendelea havipaswi kabisa kufanywa na binadamu wenye akili timamu...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger