Tuesday, 2 April 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO APRILI 3, 2024

\ ...
Share:

SERIKALI KUENDELEA KUWALEA WAZALISHAJI,WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI WA NDANI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah akiwa na wa Makatibu Wakuu unaojumuisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Natu Mwamba, Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu wakiwa na Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Bw. Rashid Mchatta walipotembelea Kiwanda cha Kiwanda cha Kairuki...
Share:

MWALIMU NA MWANAFUNZI WAUAWA MBEYA

Watu wawili jinsi ya kike wakazi wa Kiwanja Kata ya Mbugani Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wameuawa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka miwili kujeruhiwa kwa vitu vyenye ncha kali nyumbani kwao. Waliouawa ni mwalimu Herieth Lupembe wa shule ya msingi Mbugani na Mkazi wa Kiwanja kata ya Kiwanja...
Share:

Monday, 1 April 2024

MAANDALIZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2024 YAKAMILIKA

 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Mhe. Tabia Mwita akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru leo Aprili 1, 2024, Mkoani Kilimanjaro. Katikati ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,...
Share:

MPENZI WANGU ANAVUTA SIGARA HADI NASHINDWA KUMBUSU!

Jina langu naitwa Jesca kutokea Arusha, Tanzania, wakati naanza mahusiano na mpenzi wangu nilimkuta ni mtu anayekunywa sana pombe na kuvuta sigara, ndio ulikuwa mtindo wake wa maisha kila siku. Binafsi sipendi kabisa harufu ya sigara, kwa kuwa nilimpenda nilifumbia macho lile tatizo nikiamini kwamba...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU APRILI 1, 2024

  ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger