
Mwenyekiti wa Bodi TGNP, Bi. Gemma Akilimali akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambapo TGNP wameanzisha leo Machi 6, 2024 kwenye viwanja vya TGNP-Mtandao Jijini Dar es Salaam. Maadhimisho ya Mwaka huu yankwenda na kauli mbiu isemayo "Wekeza kwa Wanawake, Kuharakisha Maendeleo...