
Na. Abel Paul, Jeshi la Polisi- Arusha
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimimiwa Jumanne Sagini amefika Jijini Arusha na kukagua eneo la ajali lilotokea Februali 24, 2024 katika barabara ya Arusha - Namanga, Eneo la Ngaramtoni kibaoni Wilayani Arumeru Mkoani Arusha.
Mhe...