Sunday, 25 February 2024

SAGINI AFIKA ENEO LA AJALI ILIYOUA WATU 25 ARUSHA...ATOA MAELEKEZO JESHI LA POLISI

  Na. Abel Paul, Jeshi la Polisi- Arusha     Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimimiwa Jumanne Sagini amefika Jijini Arusha na kukagua eneo la ajali lilotokea Februali 24, 2024 katika barabara ya Arusha - Namanga, Eneo la Ngaramtoni kibaoni Wilayani Arumeru Mkoani Arusha.   Mhe...
Share:

WADAU WASISITIZA UMUHIMU WA MATUMIZI SALAMA YA MTANDAO KUELEKEA CHAGUZI

Na Rose Ngunangwa, Dar Wadau wa teknolojia ya kimtandao mwishoni mwa wiki waliadhimisha Siku ya Usalama Mtandaoni kwa kufanya majadiliano yenye lengo la kukabiliana na upotoshaji na taarifa za uzushi hususani nyakati za uchaguzi. Akifungua maadhimisho hayo jijini Dar es Salaam, Bi. Rachel Magege...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI FEBRUARI 25,2024

  Magazeti a              Facebook Find Us on Social...
Share:

AJALI YA MAGARI MANNE YAUA WATU 15 ARUSHA

Watu kumi na tano wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha lori na magari mengine madogo matatu katika eneo la by Pass Ngaramtoni wilaya Arumeru Mkoa wa Arusha. Akitoa taarifa hiyo katika eneo la ajali Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha kamshna msaidizi mwandamizi wa Polisi SACP Justine Masejo...
Share:

Saturday, 24 February 2024

DKT. NCHIMBI KUSHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CCM MKOA WA TABORA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Tabora mapema leo Jumamosi Februari 24, 2024 asubuhi, akiwasili mkoani humo kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tabora na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger