Saturday, 24 February 2024

WAZIRI MAVUNDE ASHUHUDIA URUSHWAJI NDEGE NYUKI ANGANI

*Kusini kuchele, Utafiti wa Miamba na Madini wahamia Mtwara *GST kufanya tafiti madini mkakati Mtwara Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde ameshuhudia jaribio la urushwaji wa Ndege Nyuki (Drone) angani kwa ajili ya utafiti wa miamba na madini hususan madini ya Kinywe, Nikeli, chuma na titanium...
Share:

Friday, 23 February 2024

WAZIRI KIJAJI AZITAKA TBS, BRELA NA WMA KUFANYA UKAGUZI KWENYE VIWANDA VYA MABATI NCHINI

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt, Ashatu Kijaji (MB) amezitaka Taasisi zinazohusika na utoaji Leseni(BRELA) Shirika la Viwango Tansania (TBS) na wakala wa vipimo sahihi (WMA)kupita kwenye viwanda vyote nchini vinavyozalisha bidhaa za mabati na bidhaa nyingine kukagua na kujiridhisha kama bidhaa...
Share:

BYABATO AKUTANA NA WANANCHI, WAFANYABIASHARA BAKOBA

Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Adv Stephen Byabato ambaye pia ni Naibu waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Na Mariam Kagenda _ Bukoba Mbunge wa Jimbo  la Bukoba Mjini  Adv Stephen Byabato ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ...
Share:

NAIBU KATIBU MKUU WA AFYA DKT. GRACE MAGEMBE AKAGUA HUDUMA NA MIRADI YA AFYA SHINYANGA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe amefanya ziara mkoani Shinyanga ambapo ametembelea Kituo cha Afya Kambarage kujionea namna huduma za afya zinavyotolewa, pia amekagua huduma zinazotolewa katika Jengo Jipya la Wagonjwa wa Dharura na ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje katika Hospitali...
Share:

DKT MPANGO ATOA AGIZO KWA HAZINA ,TAMISEMI KUTUMIA HATI FUNGANI KATIKA KUHARAKISHA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Makamu wa Rais Dkt Phillip Mpango akizindua mradi wa kuongeza upatikanaji wa maji kwa wastani wa lita 60 katika Jiji la Tanga na wilaya jirani za Muheza na Mkinga baada ya lita 45 za awali, mradi huo umeanza baada ya uzinduzi wa hati fungani ya Kijani ya Miundombinu ya Maji Tanga katika eneo la...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger