Thursday, 14 September 2023

DC DODOMA ATAKA MAOFISA TARAFA,WATENDAJI WA KATA,WENYEVITI WA MITAA JIJI LA DODOMA KUSIMAMIA KWA UFANISI ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Jabir Shekimweri,akizungumza wakati akifungua Mafunzo ya siku mbili ya kujenga uwezo kuhusu mfumo wa Anwani za Makazi kwa Maafisa Tarafa,Watendaji wa Kata,Wenyeviti na Watendaji wa Mitaa wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma leo Septemba 14,2023 jijini Dodoma. Mratibu...
Share:

MPYA:TANGAZO KUTOKA NECTA KWA WANAFUNZI ACSEE 2024

 TANGAZO ACSEE 20...
Share:

WAZIRI MHAGAMA ATEMBELEA IDARA YA MPIGA CHAPA MKUU WA SERIKALI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama.(kulia) akimsikiliza Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali Bw.George Lugome wakati akielezea kuhusu kazi ya mtambo wa kukata karatasi mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023...
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA MAPYA AJIRA ZA AFYA-SEPTEMBA 2023

 TANGAZO LA KUTWA KAZINITANGAZO LA KUITWA KAZINIORODHA YA MAJINA YA AJIRA MPYA KADA YA AFYA (REPLACEMENT) SEPTEMBA 20...
Share:

TBS YAWATAKA WAZALISHAJI WA MABATI KUZALISHA MABATI YENYE VIWANGO

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Viwango Tanzania limewataka wazalishaji wa Mabati nchini kuzalisha mabati kwa mujibu wa viwango ili kuepuka usumbufu na gharama zisizo za lazima. Akizungumza na waandishi wa habari jana Septemba 13,2023 Jijini Dar es Salaam, Afisa Viwango Bw.Anold Mato...
Share:

DKT. JINGU AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HOSPITALI YA LIGULA - MTWARA

Na. WAF, Mtwara Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu Septemba 13, 2023 ametembelea Hopsitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula na kukagua miradi ya jengo jipya la upasuaji, jengo jipya la wagonjwa wa nje (OPD), Jengo jipya la Wagonjwa wa dharura (EMD) pamoja na Jengo la wazazi (martenity)...
Share:

Wednesday, 13 September 2023

KARATA 21 TU ZINAKUPA USHINDI KWENYE BLACKJACK1 YA MERIDIANBET!!

PTR Blackjack 1 ni mchezo mpya wa karata kutoka kampuni ya Playtech. Mchezo huu wa kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unachezwa na pakiti nane za kadi na unafuata sheria za Ulaya za kawaida. Blackjack ni mchezo wa kadi wa kuvutia na unaopendwa sana na wachezaji wa aina zote, mara nyingine...
Share:

DAWA ILIYOMPONYA BABU YETU UGONJWA WA PRESHA!

  Jina langu ni Alex, siwezi kusahau jinsi ambayo tulizunguka huko na kule na Babu yetu katika Hospitali mbali mbali kutafuta msaada wa kitiba kwa Babu ambaye alikuwa anaugua ugonjwa wa Presha au Msukumo wa Dawa (BP). Wazazi wetu tayari walikuwa wametangulia mbele za haki, hivyo sisi wajukuu...
Share:

UTUNZAJI KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA SERIKALI NDIO MSINGI MKUU WA TAIFA - MAHIMBALI

Na Mwandishi wetu -Dodoma  Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Kheri Mahimbali amesisitiza kuwa utunzaji wa kumbukumbu na Nyaraka za Serikali ndio msingi mkuu wa Taifa katika uendeshaji wa shughuli zote za Taasisi. Amesema hayo leo septemba 13, 2023, wakati akifungua mafunzo ya maadili katika...
Share:

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI AITAKA TRC KUONGEZA KASI KATIKA KUSIMAMIA MIRADI INAYOENDELEA ILI IKAMILIKE KWA WAKATI NA KWA THAMANI HALISI YA FEDHA

Ziara ya Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile ya kutembelea Uongozi wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) Kwa ajili ya kujitambulisha, kujifunza na kujionea miradi inayoendelea chini ya Usimamizi wa Shirika Hilo na kukagua Stesheni ya treni ya kisasa ya SGR ya Tanzanite Jijini Dar es salaam Na...
Share:

KAMPUNI YA NYUMBAFASTA IMEKUJA NA SULUHISHO LA KIDIGITALI KWA WAPANGAJI NA WENYE NYUMBA

Kampuni ya Nyumbafasta inaleta suluhisho la kidijitali kwa wapangaji na wenye nyumba nchini Tanzania. Suluhisho hili litawawezesha wapangaji kupata nyumba za kupanga bila malipo ya kodi ya mwezi mmoja na kuwasiliana moja kwa moja na wenye nyumba kwa gharama ndogo, kuanzia shilingi elfu moja tu. Zaidi...
Share:

RAIS SAMIA KUFANYA ZIARA YA KIHISTORIA MTWARA, LINDI

Na Mwandishi Wetu, Mtwara Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara kwenye mikoa ya Mtwara na Lindi kuanzia tarehe 15-20 Septemba, 2023.  Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, katika ziara hiyo ya mikoa ya kusini, Rais Samia atazindua na kukagua...
Share:

USIKU WA WADAU WA HABARI NA VYOMBO VYA HABARI KANDA YA ZIWA KUFANYIKA SEPTEMBA 29

Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza (Mwanza Press Club - MPC) imeandaa Usiku wa marafiki na wadau wa vyombo vya habari Kanda ya Ziwa, unaotaraji kufanyika Septemba 29, 2023. Lengo kuu ni kuwapa nafasi wadau wa vyombo vya habari kueleza utekelezaji wa mipango yao kwa mwaka 2023 mbele ya...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger