
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Jabir Shekimweri,akizungumza wakati akifungua Mafunzo ya siku mbili ya kujenga uwezo kuhusu mfumo wa Anwani za Makazi kwa Maafisa Tarafa,Watendaji wa Kata,Wenyeviti na Watendaji wa Mitaa wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma leo Septemba 14,2023 jijini Dodoma.
Mratibu...