Saturday, 1 July 2023

KAMPENI YA KATAA UHALIFU TOA TAARIFA YATUA NDALA NA MASEKELO....DC SAMIZI AONYA SUNGUSUNGU KUGEUKA WAHALIFU

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi amelitaka Jeshi la Jadi Sungusungu kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi badala ya kugeuka kuwa wahalifu kwa kuwatendea ukatili watuhumiwa wa matukio mbalimbali pindi wanapowakamata. Mhe....
Share:

NEC YATEUA WAGOMBEA 77 KUTOKA VYAMA 17 KUGOMBEA UDIWANI KATIKA KATA 14

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kilosa, Kisena Magena Mabuba (kushoto) akimsaidia Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata ya Magubike, Juma Hamis Ngwele kubadika fomu za uteuzi za wagombea udiwani katika Kata ya Magubike katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa. Wagombea sita wameteuliwa kuwa...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JULAI 12023

                        ...
Share:

Friday, 30 June 2023

UKOSEFU WA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA WANAOHUDUMIWA NA MTAMBO WA RUVU JUU

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia wateja na Wananchi wanaohudumiwa na mtambo wa kuzalisha maji Ruvu juu kuwa, kutakuwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa muda wa saa 24 kwa siku ya Jumamosi 1/07/2023 kuanzia saa 12 jioni hadi Jumapili 02/07/2023 saa 12 jioni. Sababu:...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger