
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi amelitaka Jeshi la Jadi Sungusungu kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi badala ya kugeuka kuwa wahalifu kwa kuwatendea ukatili watuhumiwa wa matukio mbalimbali pindi wanapowakamata.
Mhe....