Wednesday, 24 May 2023
MTOTO WA TEMBO ALIYETUMBUKIA KISIMANI MANYONI AOKOLEWA
LIPANGILE ARUDISHA MTAANI KWAKE AKISHIRIKIANA NA MERIDIANBET
Mchezaji wa KMC Sadala Lipangile amefanikiwa kutimiza ahadi yake ya kurudisha kwenye jamii yake baada ya kushinda challenge ya penati iliyosimamiwa na Meridianbet baada ya kujikusanyia kiasi cha shilimgi Laki tano na leo amefika mtaani kwake Salasala na Kilongawima na kutoa msaada.
Mchezaji Sadala Lipangile aliungana na Meridianbet ambao ndio waratibu wa shindano hilo na kuweza kutoa msaada katika mitaa ya Salasala na Kilongawima kwa familia zenye uhitaji msaada uliotelewa leo ulijumuisha Mafuta ya kupikia, Sukari, Sabuni, Mchele, pamoja na vifaa vya kufanyia usafi.
Akiongea na wanahabari Sadala Lipangile alisema “Kwanza ninamshukuru Mungu kwa kuniwezesha kufika hapa leo, Lakini kubwa zaidi nawashukuru wadhamini wa timu ninayoitumiikia kwani imekua faraja kuifikia siku hii na kuweza kutoa msaada kwa jamii yangu iliyonikuza na kunilea nawashukuru sana Meridianbet kwa namna wanavyohakikisha wanarudisha kwa jamii hata kile kidogo wanachopata”
Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kucheza michezo ya sloti na kasino ya mtandaoni.
Mkuu wa kitengo cha mawasiliano na masoko kutoka Meridianbet Matina Nkurlu pia alipata nafasi ya kuzungumza “Hiki kilichofanywa na Lipangile ni uungwana kwa maana ya tafsiri ya Uungwana ni pamoja na kujali njia ulizopita na kuzipa faraja.
Jisajili Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza kasino ya mtandaoni, jisajili leo ushinde mtonyo mrefu, twende kazi.
“Leo Meridianbet tukishirikiana na Sadala Lipangile kuzipa faraja familia na wakazi wa Salasala na Kilongawima alipoishi Lipangile hadi kufikia ndoto zake, Na kesho huenda akawa mtu mwingine mkubwa akafikia jamii yake kupitia sisi, Hivo basi tunaahidi huu utakua mwendelezo kutoka Meridianbet kwa kshirikiana na klabu ya KMC FC kurudisha kwenye jamii” Alisema Matina Nkurlu
Lakini pia waliopokea msaada hawakua nyuma katika kushukuru kile kilichofanywa na Sadala Lipangile kwa kushirikiana na Meridianbet na kusema wamefurahishwa sana na kilichofanywa na kijana wao kuweza kuwakumbuka na kuwapa msaada, Vilevile wakitoa shukrani kwa Meridianbet na kusema wao ni mfano wa kuigwa kwani wamekua wakirudisha kwenye jamii kila inapowezekana.
Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye michezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette.
NB: Habari njema kwako, Meridianbet imesikia ombi la wengi imekuja na Jackpot kubwa ya mechi 13 kwa dau dogo la kuanzia 1,000/=TZS mshindi atajinyakulia donge nono la Tsh 85,000,000/= PIGA *149*10#
#MERIDIANBET CHAGUA TUKUPE
TBS KUADHIMISHA SIKU YA VIPIMO MEI 30,2023 JIJINI ARUSHA
Afisa Metrolojia TBS, Bi.Angela Charles akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 24,2023 katika Ofisi za Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Jijini Dar es SalaamLIFT YA MILLENIUM TOWER YAPOROMOKA...YAJERUHI SABA
Tuesday, 23 May 2023
JISHINDIE TV UKICHEZA KASINO
Hii hapa nyingine kutoka kasino ya mtandaoni ya Meridianbet ni promosheni kubwa kwa wateja watakaocheza mchezo wa kasino 3 dancing Monkey, mshindi atapewa TV mpya Inch 55.
Promosheni hii ya kijanja ambayo ni maalum kwaajili ya kufunga mwezi May na kuukaribisha mwezi wa mavuno Juni, imeanza tarehe 22 May, 2023 mpaka 31 May 2023, mshindi atatangazwa Juni 1, 2023.
Mshindi wa promosheni ya mchezo wa 3 dancing monkey atapatikana kwa kuangalia idadi kubwa Zaidi ya michezo na dau alilotumia kucheza mchezo wa kasino ya mtandaoni. Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kucheza michezo ya sloti na kasino ya mtandaoni.
Njia za Kucheza na Kushinda 3 dancing Monkey
“3 dancing Monkey” ni mchezo wa karata kutoka kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, mchezo huu hautumii kadi badala yake unatumia herufi mfan A, J, Q na K kila herufi ina kiwango chake cha malipo.
Ili kushinda mchezo huu unapaswa kuanza kwa kuweka dau lako unalotaka huku dau la chini ni kuanzia 750 na la juu Zaidi ni Tsh 350,000/=, malipo yanatokana na mstari wa kulia na kushoto endapo karata itadondokea kwenye herufi kati ya A, J, Q, na K.
Mbali na hayo mchezo huu unakupatia mizunguko kuanzia 1 mpaka 5000x ya bure kadri uchezavyo na mizunguko hii ipo ya aina tatu ikitokea alama ya Wild inakupa machaguo yenye rangi ya kijani, buluu na nyekundu kila moja inakulipa kulingana na ushindi wako ambapo ushindi wa juu kabisa ni 12,077x odds
Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye sloti na michezo ya kasino kama Poker, Aviator, Roulette.
N.B: Jambo kubwa jingine ni kwamba, Meridianbet wanakupa mizunguko ya bure kucheza kwenye kasino ya mtandaoni kwa mteja mpya baada ya kujisajili. Unasubiri nini ingia mchezoni kufurahia ofa hizi.
SERIKALI YARIDHIA KUONGEZWA MUDA WA TATHMINI YA HALI YA VYOMBO VYA HABARI NCHINI

FOOD LOSS AND WASTE IN FISHERIES SECTOR
JITU LA MIRABA MINNE LAMEGA TUNDA LA MKE WANGU NA KUONDOKA NA WATOTO....AKUTWA NA BALAA

Ilikuwa machi mwaka huu ambapo tulikuwa tumeenda na mke wangu kijijini kwa ajili ya likizo fupi, lakini mke wangu aliitwa kazini ghafla na hapo nikamruhusu arudi mjini kwa shughuli za kikazi kwa kuwa mimi bado nilikuwa na mambo yangu.
Baada tu ya yeye kufika mjini, nami Meneja wangu alinipigia simu akanieleza kuwa ninahitajika kazini ili niweze kusambaza bidhaa flani kwani likizo yangu imesitishwa, sikuwa na budi bali kurejea mjini kwa wakati ule ingawaje nauli ilikuwa juu sana.
Nilifika mjini saa nne usiku na hapo nikafanikiwa kupata teksi iliyonifikisha hadi nyumbani, lakini mazingira niliyoyakuta yalikuwa sio ya kawaida jambo lililo nishangaza.
Haikuwa kawaida ya mke wangu kuzima taa za chumba chetu mapema vile, nilijua lazima kutakuwa na jambo, nilifungua mlango na kukupata watoto wetu wamelala sebuleni.
Niliamua kwenda katika chumba chetu, nilipokuwa katika veranda ya chumba chetu, ghafla nilisikia sauti “Endelea kabisa, unanipa raha ajabu" nilipandwa na mori na kufungua mlango kwa kishindo, nikakutana na jitu la miraba minne likishiriki ngono na mke wangu.
Nilipomuuliza yule mwanaume nini alichokuwa akifanya chumbani mwangu alinizaba kofi nikaanguka sakafuni na kunitishia maisha, baada ya muda waliondoka pamoja, pia aliwabeba watoto wote na wakaondoka nao.
Siku iliyofuatia nilielekea kazini lakini kwa ajili ya msononeko niliyokuwa nao moyoni, Meneja wangu alifahamu kwamba sikuwa sawa, kila mara aliniuliza nini tatizo.
Nashukuru Anna ambaye alikuwa Mhasibu kwenye kampuni yetu alinishauri kuwa African Doctors wanaweza kunisaidia kwani aliweza kuirejesha ndoa yake na mume wake ambayo ilikuwa kwenye hali mbaya na sasa wanaishi vizuri.
Nilifunga safari na kuenda kwa African Doctors alinihudumia na kurejea nyumbani, baada ya siku moja nilipokea simu ambapo mke wangu alilalamika kwamba wamenasiana na jitu lile wakati wakifanya mapenzi.
Nilifahamu fika kwamba African Doctors alikuwa keshasababisha mambo yake, baadaye nilifika sehemu waliyokuwa na kumpigia simu African Doctors, alitoa maelekezo ya kufanya ikiwa ni pamoja na jitu lile kulipa faini ya Ksh30,000, baada ya vile waliweza kuachana.
Mke wangu aliniomba msamaha na kujutia kosa lake, tulisameana na kurudi pamoja kama mke na mume jinsi tulivyokuwa zamani. Tangu siku ile ndoa yetu imekuwa yenye furaha kila wakati.
Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.
Mwisho.
BARRICK BULYANHULU YAFIKISHA KAMPENI YA USALAMA YA ‘JOURNEY TO ZERO’ KWENYE JAMII

Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Cheick Sangare,akitoa zawadi ya jaketi la kinga ya ajali (Reflector) kwa mmoja wa waendesha punda za kubeba mizigo wakati wa mafunzo ya uhamasishaji usalama kwa jamii yaliyoandaliwa na kampuni hiyo na kufanyika katika viwanja vya shule ya msingi Kakola wilayani Msalala jana.

Monday, 22 May 2023
SERIKALI IKABIDHI NDEGE ATCL- MTATURU
MBUNGE MTATURU AOMBA KILOMITA 10 ZA LAMI

KAMATI MPYA MUHAS YATAKIWA KUTOA MAONI NA USHAURI KUBORESHA MITAALA NA UANDAAJI WA MITAALA MIPYA












.jpeg)















.jpg)










