Kongamano la Miaka Miwili ya Rais Samia likiongozwa na Kauli mbiu ‘Umethubutu, Unaweza, Kazi Iendelee’ limefanyika leo Jumamosi Machi 25, 2023 katika ukumbi wa NSSF Mjini Shinyanga na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, taasisi, vyama vya siasa na wananchi wa mkoa wa Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mabala Mlolwa akizungumza wakati wa Kongamano la Miaka Miwili ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan









