





Na Estomine Henry - Shinyanga
Askofu wa Makanisa ya IEAGT Tanzania David Mabushi ameonya wanafunzi kuwa na tabia ya mahusiano ya uchumba wakiwa bado wanasoma.
Akizungumza katika Ibada ya Jumapili Februari, 12 2023 Askofu aliwataka wazazi na walezi kuwakanya watoto kuhusu hali ya mahusiano ya uchumba wakiwa katika masomo.
Mabushi amesema,wanafunzi wengi wanashindwa kutimiza ndoto zao kwa kuanza mahusiano ya uchumba wakiwa kidato cha kwanza hadi cha tano huko shuleni kwa kudanganyana na kujikuta wanapata madhara kutoka kwa wenzao na watu nje ya shule.
Pia Mabushi alisema ,wanafunzi wengi wamebakwa,mimba za utotoni na kupata maradhi mbalimbali yaliyokwamisha kuendelea na masomo kutokana na mahusiano ya uchumba huko shuleni.
" Ndoto zenu hazitatimia nyie wanafunzi kwa tabia ya kuwa na mahusiano ya uchumba kabla ya umri sahihi, huu ni uongo wa shetani kuwadanganya ili kuharibu ndoto zenu",alisema Mabushi.
Aidha Mabushi, alikazia wazazi na walezi kuwa makini na tamthilia mbalimbali kwa kuwa ni mbegu ya kupanda fikra za mahusiano kwa watoto kabla ya umri wao.
"Najua hata wazazi na walezi ,mnapenda hizi tamthilia ila zina mtego mkubwa kwa watoto wenu,Ni vema kuchuja na kuweka msingi kipindi cha wao kutazama ,la sivyo tutaendelea kupata mabaya kwa hawa watoto maana si wote wana uwezo wa kupambanua uhalisia wa maisha ya kweli kwao", alisema Mabushi.
Kwa upande wazazi,Joshu Loibulu alisema, "Tunahitaji umakini kwa watoto na mengi machafu wanajufunza wao kwa wao ,sisi kama wazazi ni kuwa nao karibu kuwapa maadili mema."
Naye,Grace Kali alisema,Nyumba za ibada ni jukwaa jema kwa kutunza watoto kwa dunia ya sasa ili wawe na maadili mema na kuwa na hofu ya Mungu.
Watu wengi duniani kote wamekuwa wakicheza michezo ya Bahati Nasibu lakini ukweli ni kwamba ni idadi ndogo sana ya watu ambao huibuka na ushindi wa mamilioni ya fedha.
Wengi hujikuta wakiondoka mikono mitupu tu licha ya kutia juhudi na kuwa na matumaini makubwa kuwa wataibuka washindi na kushiriki mara nyingi kama ambavyo wangepewa maelekezo.
Mimi pia nilikuwa nikishiriki mchezo mmoja maarufu wa Bahati Nasibu katika Radio kwa miaka mingi bila ushindi, ilikuwa ni utaratibu wa kutuma kiasi kidogo cha fedha ili kujitengenezea uwezekano wa kuja kushinda fedha nyingi siku mbeleni.
Wenye mchezo huo walikuwa wakisisitiza kuwa yule ambaye anacheza mara nyingi ndiye anaibuka mshindi wa mamilioni ya fedha na zawadi nyingine kama gari, nyumba na viwanja.
Hata hivyo, licha ya kujaribu mara nyingi, kila mara mshindi angetangazwa mwingine tofauti na mimi hadi nikawa najisikia vibaya, nilikuwa natamani sana na mimi siku moja nishinde fedha, nyumba au gari.
Siku moja nilipata habari mahali kuwa Dr. Kiwanga amekuwa akiwasaidia watu kushinda michezo ya Bahati Nasibu maishani mwao, wengi wametajirika mara ya kupata huduma kutoka kwake.
Nilichukua hatua ya kufanya mawasiliano naye mara moja niweze kujaribu bahati maishani mwangu, niliongea naye kwa kina na kumueleza shida yangu na mara moja aliweza kunifanyia dawa.
Basi niliendelea kushiriki kucheza michezo ya Bahati Nasibu mara nyingi zaidi nikiwa na matumaini ya ushindi, nashukuru haikupita hata wiki mbili, nilipigiwa simu kuwa nimeshinda nyumba na fedha.
Tangu wakati huo ukawa ndio mwanzo wa mimi kuagana na umasikini, kwa sasa naishi katika nyumba yangu na familia yangu tena furaha ajabu sana. Kiukweli namshukuru sana Dr. Kiwanga kwa tiba yake ya uhakika kabisa.
Kumbuka Dr. Kiwanga ana uwezo wa kuwezesha kuwa mtu wa bahati maishani, ana uwezo wa kukukinga kutokana na adui zako wanaokutakia mabaya kwa wakati wowote ule kwa muda wa siku tatu utaona matokeo yake.
Kwa mengi zaidi wasiliana naye kupitia barua pepe kiwangadoctors@gmail.com ama kwenye wavuti www.kiwangadoctors.com au waweza kuwasiliana naye kupitia nambari ya simu +254 769404965.