Wednesday, 31 August 2022

MASHINDANO YA ‘CRDB BANK NGALAWA RACE’ YATAJWA KIVUTIO CHA UTALII ZANZIBAR

Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Riziki Pembe Juma (watatu kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni mbili na nusu (2,500,000/-), Khatib Haji Hamis (wapili kushoto) aliyeibuka mshindi wa jumla katika mashindano ya ‘CRDB Bank Ngalawa Race'...
Share:

TAKRIBANI TANI TISA ZA BIDHAA ZENYE VIAMBATA SUMU ZATEKETEZWA

********************* Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza bidhaa za aina mbalimbali zenye viambata sumu ambazo hazikidhi matakwa ya viwango za uzito wa tani tisa zenye thamani ya shilingi milioni 400. Akizungumza Mkuranga Mkoani Pwani kaimu Mkurugenzi,usimamizi na utekelezaji wa sheria...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO AGOSTI 31,2022

Magazetini leo Jumanne August 31 2022 ...
Share:

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MUHEZA ASIMAMISHWA KAZI KUPISHA UCHUNGUZI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI),Mheshimiwa Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza mkoani Tanga,Nassib Bakari Mmbaga kwa utendaji kazi usioridhisha....
Share:

ATUPWA JELA MIAKA 4 KWA KUMCHAPA VIBOKO KARANI WA SENSA

Amos Nyang'waji Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Amos Nyang'waji (25), mkazi wa Kijiji cha Matui wilayani Kiteto mkoani Manyara, amehukumiwa kwenda jela miaka minne kwa kosa la kumcharaza viboko Karani wa Sensa na kuharibu kishikwambi chake wakati akitekeleza majukumu yake. Hukumu hiyo...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger