Wednesday, 6 July 2022

IMANI POTOFU MAFUTA YA KENGE KUCHANGANYWA KWENYE PAMBA KUONGEZA UZITO

Wakulima wakiuza pamba yao kwenye kituo cha ununuzi Amcos Pamba safi ikiwa kwenye kituo cha pamba ununuzi kwaajili ya kununuliwa Mwandishi wa Makala haya Daniel Limbe akishuhudia ubora wa pamba inayo nunuliwa kwenye Amcos ya Chato Mwonekano wa zao la pamba likiwa bado shambani ** Na Daniel...
Share:

TCRA : VICHWA VYA HABARI KWENYE BLOGS , ONLINE TV VIENDANE NA KILICHOMO NDANI.... 'IMEISHA HIYO'

...
Share:

ANAYEDAIWA KUUA WATU SABA WA FAMILIA MOJA KIGOMA AKAMATWA..MAPENZI YAHUSISHWA

Kamishna wa operesheni na mafunzo jeshi la polisi Liberatus Sabas (kushoto) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari (kulia) kuhusu kukamatwa kwa mtu mmoja akituhumiwa kuhusika na mauaji ya watu saba kwenye kijiji cha Kiganza Halmashauri ya wilaya Kigoma. (Picha na Fadhili Abdallah) Kamishna wa operesheni...
Share:

TCRA YAKUTANA NA WATOA HUDUMA ZA MAUDHUI KWA NJIA YA MTANDAO 'Blogs na Online Tv' KANDA YA ZIWA

Meneja wa Mamlaka ya Mawasilino Tanzania (TCRA), Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati akifungua kikao kazi na Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa leo Jumatano Julai 6,2022  katika Ukumbi wa Jengo la TMDA  jijini Mwanza. Lengo la...
Share:

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI YAIPONGEZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KWA MATUMIZI MAZURI YA FEDHA ZA UMMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Mhe. Daniel Sillo akizungumza na wananchi wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti katika Pori la Akiba Mkungunero lililopo Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof. Eliamani Sedoyeka akiishukuru...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger