Monday, 2 May 2022

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE MEI 3,2022

Magazetini leo Jumanne May 03 2022 ...
Share:

WAZIRI NAPE NNAUYE ATEMBELEA BANDA LA LHRC MAONESHO YA KIHABARI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (kulia) akisoma kitabu katika banda la Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (Legal and Human Rights Centre - LHRC) leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru...
Share:

Picha : WAZIRI NAPE NNAUYE ATEMBELEA BANDA LA TCRA MAONESHO YA KIHABARI MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (kulia) akiwa katika Banda la TCRA akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mwandamizi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Semu Mwakyanjala kuhusu huduma zinazotolewa na TCRA leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran...
Share:

NAPE NNAUYE ATEMBELEA BANDA LA SHIRIKA LA POSTA AKIZINDUA MAADHIMISHO SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ( wa pili kulia) akitembelea banda la Shirika la Posta Tanzania leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani na Maonesho ya Kihabari...
Share:

WAZIRI NAPE NNAUYE ATEMBELEA BANDA LA STAMICO MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI JIJINI ARUSHA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (kulia) akiwa katika Banda la Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Madini Shirika la STAMICO Happy Mbenyange kuhusu shughuli wanazofanya leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa...
Share:

NAPE NNAUYE : WANA HABARI TUMIENI KALAMU ZENU KUSAIDIA BARA LA AFRIKA RASILIMALI ZILIZOPO ZIBADILIKE KUWA BARAKA KWA WATU WAKE

  Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumza wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani na Maonesho ya Kihabari yanayoambatana na Maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya habari duniani  leo Jumatatu Mei...
Share:

GGML YAIBUKA MSHINDI MAONESHO YA AFYA NA USALAMA MAHALA PA KAZI

Meneja Mwandamizi wa GGML anayeshughulikia masuala ya afya, usalama, mazingira na mafunzo Dk. Kiva Mvungi akipokea tuzo kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako (katikati), kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri kutoka OSHA,...
Share:

Picha : NAPE NNAUYE AFUNGUA MAADHIMISHO SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI... ATEMBELEA BANDA LA MISA - TAN MAONESHO YA KIHABARI

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akisoma kipeperushi katika banda la Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania (MISA-TAN) leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru...
Share:

MAXENCE MELO: DIJITALI INACHOCHEA MAMLAKA KUCHUKUA HATUA MAPEMA

Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Forums, Maxence Melo Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Forums, Maxence Melo amesema Dijitali imetoa fursa kwa Maudhui ambayo huenda yasingekuwa rahisi kuruhusiwa na Mhariri au Chombo cha Habari. Ameeleza hayo Mei 01, 2022 katika Mjadala kuhusu Vitisho vya Kidijitali...
Share:

Sunday, 1 May 2022

TUCTA WATAKA KIMA CHA CHINI MISHAHARA IWE MILIONI MOJA NA ELFU 1O

Hery Mkunda, Katibu Mkuu TUCTA Katibu Mkuu wa Shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA) Bw. Hery Mkunda amesema TUCTA imependekeza kiwango cha kima cha chini cha mshahara kwa mwezi kiwe shilingi milioni moja na elfu kumi. Mkunda ameyasema hayo leo Mei Mosi, 2022 wakati wa hotuba yake...
Share:

HUYU NDIYO BILIONEA ALIYEUNUNUA MTANDAO WA TWITTER KWA FEDHA ZA KUFURU

Elon Musk. MIONGONI mwa habari zilizoshtua Dunia mapema wiki hii ni kuhusu mtu anayeitwa Elon Musk kuununua Mtandao wa Twitter kwa pesa za kufuru. Amefikia makubaliano ya kuinunua Twitter kwa pesa taslim Dola za Kimarekani bilioni 44.Wengi wameshtushwa na kiasi hicho cha pesa hivyo kujiuliza huyu...
Share:

MTOTO WA MBUNGE ALIYEZIKWA JUZI AFARIKI DUNIA

Marehemu Irene Ndyamkama Mtoto mchanga aliyeachwa na marehemu Mbunge wa viti maalum mkoa wa Rukwa Irene Ndyamkama, amefariki dunia jana Aprili 30, 2022, baada ya kuishi kwa siku saba. Mbunge Irene alifariki dunia Aprili 24, 2022, katika hospitali ya Tumbi wakati akipatiwa matibabu na alizikwa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger