Friday, 3 September 2021
Thursday, 2 September 2021
WAZIRI CHAMURIHO AFUNGUA MAADHIMISHO YA 18 YA SIKU YA WAHANDISI NCHINI DODOMA
NHIF YAKUTANISHA WADAU KUFANYA TATHIMINI YA MIAKA 20
Mwenyekiti wa bodi wa NHIF Juma Muhimba akizungumza kuhusiana na na ushauri wa bodi unavyofanya kuweza kufanya vizuri katika utendaji ili kutoa huduma bora kwa wanachama, jijini Dar es Salaam.
Katibu Tawala wa mkoa wa Dar es Salaam Hassan Rwaga akizungumza katika mkutano wa wadau wa watoa huduma za afya na NHIF kwa ajili ya kufanya tathimini ya miaka 20 uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Bernad Konga akizungumza kuhusiana na mfuko huo tangu ulipoanzishwa na hatimaye kufika miaka 20 katika mkutano wa wadau wa Afya na NHIF uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Picha mbalimbali za washiriki wa mkutano kati NHIF na wadau wa watoa huduma za afyaMCHUNGAJI ACHOMA MOTO MAWIGI YA MUUMINI


CHARAHANI ATOBOA KURA ZA MAONI UBUNGE CCM JIMBO LA USHETU, AWABWAGA WENZAKE 18

DED SHINYANGA NICE MUNISSY ATAKA WAENDESHA BODABODA KUPEWA ELIMU YA UKATILI WA KIJINSIA
HESLB Yaongeza Siku 15 Kwa Waombaji Mikopo Elimu Ya Juu.
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeongeza muda wa uombaji mikopo kwa siku 15 zaidi kuanzia Septemba 1 hadi 15 mwaka huu ili kuwapa fursa kwa waombaji mikopo ambao wamejisajili katika mfumo kukamilisha maombi yao.
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul-Razaq Badru ametangaza uamuzi huo (Jumatano, Septemba 1, 2021) jijini Dar es salaam na kufafanua kuwa uamuzi huo umetokana na maombi na ushauri walioupokea kutoka kwa wadau.
Idadi ya waombaji
“Tulianza kupokea maombi kwa njia ya mtandao Julai 9, mwaka huu na hadi jana ambayo ilikua siku ya mwisho ya kuomba tulikua na waombaji 91,445 waliowasilisha maombi, na kati ya hayo, maombi 12,252 yalikua hayajakamilika na wateja wetu wameomba muda wa kukamilisha,” amesema Badru.
Mkurugenzi Mtendaji alikua akiongea katika mkutano na wanahabari uliofanyika katika ofisi za HESLB jijini Dar es salaam ambao pia ulihudhuriwa na wawakilishi kutoka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) na Shirika la Posta Tanzania (TPC) ambao pia wanawahudumia waombaji mkopo.
Hatua inayofuata
Kwa mujibu wa Badru, hatua inayofuata ni uhakiki wa nyaraka na taarifa zilizowasilisha na waombaji 79,193 ambao maombi yao yamekamilika kama yanavyoonekana kwenye mfumo.
“Kuna makundi mawili, wale 12,252 ambao maombi hayana viambatisho na hivyo hayajakamilika … na kuna maombi 79,193 yenye nyaraka, sasa tunaanza kuhakiki usahihi wake na baadae tutaangalia kama wamepata udahili na wale wenye sifa ndiyo watapangiwa mkopo,” amesema Badru.
Fursa ya kuomba mkopo vijana waliopo JKT
Kuhusu wanafunzi wahitaji wanaoendelea na mafunzo katika Kambi za Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Badru amesema vijana hao waliopo katika kambi 19 nchini watapata fursa ya kuomba mkopo kwa siku 10 kuanzia Septemba 20 hadi 30 mwaka huu.
“Tumekuwa tukiwasiliana na Makao Makuu ya JKT, na tumekwenda na kukutana na vijana hao katika kambi zote na tuliwaahidi kuwa watapata fursa … ambayo ni kuanzia Septemba 20 hadi 30 mwaka huu, hivyo wasiwe na wasiwasi,” amesema Badru.
RITA na TPC kuendelea kuwahudumia waombaji
Katika mkutano huo, Badru pia ameeleza kuwa HESLB imekubaliana na RITA na TPC kuendelea kuwahudumia waombaji mkopo katika kipindi chote kilichoongezwa.
“Wenzetu wa RITA wanaendelea kuhakiki vyeti vya vifo na kuzaliwa wanavyopokea na wamekuwa wakifanya hivyo hata kabla ya kufunguliwa kwa dirisha la maombi … na Posta (TPC) wameahidi kuendelea kupokea nyaraka kupitia huduma ya EMS katika muda ulioongezwa, tunawashukuru sana” amesema Badru.
Bajeti ya mikopo kwa 2021/2022
Katika mwaka wa masomo 2021/2022, Serikali imetenga kiasi cha TZS 570 Bilioni kwa ajili ya kugharamia mikopo ya wanafunzi 160,000 wa taasisi za elimu ya juu. Kati ya hao, wanafunzi 62,000 wanatarajiwa kuwa ni wa mwaka wa kwanza na wanafunzi 98,000 wanaoendelea na masomo. Bajeti kwa mwaka 2020/2021 ilikua TZS 464 bilioni na zimewanufaisha jumla ya wanafunzi 149,398.
Imetolewa na:
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
RAIS SAMIA : TOZO ZA MIAMALA YA SIMU ZITAENDELEA KUWEPO KAMA KAWAIDA

Assistant Lecturer (Insurance and Risk Management) at Institute of Accountancy Arusha IAA
POST ASSISTANT LECTURER (INSURANCE AND RISK MANAGEMENT) – 1 POST POST CATEGORY(S) ENVIRONMENTAL SCIENCES AND GEOGRAPHY TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Institute of Accountancy Arusha (IAA) APPLICATION TIMELINE: 2021-08-31 2021-09-13 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To teach up to NTA Level 8 (Bachelor Degree); ii. To prepare learning resources for tutorial exercises; […]
This post Assistant Lecturer (Insurance and Risk Management) at Institute of Accountancy Arusha IAA has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Lecturer (Banking) at Institute of Accountancy Arusha (IAA)
POST LECTURER (BANKING) – 1 POST POST CATEGORY(S) BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES EMPLOYER Institute of Accountancy Arusha (IAA) APPLICATION TIMELINE: 2021-08-31 2021-09-13 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To teach up to NTA Level 8 for Master’s Degree holders and up to NTA Level 9 for PhD holders; ii. To guide and […]
This post Lecturer (Banking) at Institute of Accountancy Arusha (IAA) has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Relationship Manager, Local & Mid Corporates at Standard Chartered Bank
About Standard Chartered We are a leading international bank focused on helping people and companies prosper across Asia, Africa and the Middle East. To us, good performance is about much more than turning a profit. It’s about showing how you embody our valued behaviours – do the right thing, better together and never settle […]
This post Relationship Manager, Local & Mid Corporates at Standard Chartered Bank has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
MEJIMENTI MPYA YAANZA KAZI MAKAO MAKUU YA PAPU





JINSI DAKTARI WANGU WA KIENYEJI ALIVYOKOMESHA MARADHI HAYA







































