Sunday, 15 August 2021

SERIKALI IMEKUSUDIA KUWEKA VITENDEA KAZI VYA KUPIMA MAGARI MAKUBWA (SCANNER) NA KUDHIBITI MIZIGO INAYOPITA KATIKA MIPAKA YA NCHI YETU.



Naibu waziri wizara ya Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb) akipata maelezo alipotembelea kituo cha pamoja cha ushuru wa forodha mipakani (OSBP) kilichopo Namanga Mkoani Arusha.

Kamati ya kudumu ya Bunge ya bajeti Mhe. Daniel Sillo Baran Mbunge wa Babati Vijijini akipata maelezo katika ziara aliyoambatana na kamati ya kudumu ya bunge kutembelea kituo cha pamoja cha ushuru wa forodha mipakani (OSBP) kilichopo Namanga Mkoani Arusha.


Kamati ya kudumu ya bunge ikiwa katika ziara ya kutembelea utendaji wa kituo cha pamoja cha ushuru wa forodha mipakani (OSBP) kilichopo Namanga.


Picha ya pamoja ya kamati ya kudumu ya bunge waliyopiga wakiwa katika eneo la nchi ya Kenya walipotembelea kituo cha pamoja cha ushuru wa forodha mipakani (OSBP) kilichopo Namanga Mkoani Arusha.


Gari maalumu lililopo upande wa nchi ya Kenya linalotumika kupima magari makubwa (Scanner) kudhibiti mizigo inayovuka mpakani Namanga.


Muonekano wa kituo cha pamoja cha ushuru wa forodha mipakani (OSBP) kwa upande wa nchi ya Kenya kilichopo Namanga.


Naibu Waziri Mhe. Exaud Kigahe (Kulia) akimsikiliza Mwenyekiti wa Kiwanda cha kuchakata nyama cha Eliya Foods Overseas Ltd ndugu Shabbir Virjee, katikati ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Bishara Dkt. Hashil T. Abdallah.

***************************

Naibu waziri Mhe. Kigahe ameyasema hayo leo alipotembelea kituo cha pamoja cha ushuru wa forodha mipakani (OSBP) kilichopo Namanga Mkoani Arusha akiwa ameambatana na Kamati ya kudumu ya Bunge ya bajeti.

Mhe. Kigahe amesema kuwa nia ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha inatatua changamoto zilizopo katika mipaka yetu ili kuchochea upatikanaji wa mapato na kurahisisha biashara.

“Serikali imekusudia kuweka vitendea kazi vya kupima magari makubwa (Scanner) na kudhibiti mizigo pamoja na kuondosha changamoto za msongamano wa magari na upimaji wa ugonjwa wa UVIKO 19” Amesema Mhe. Kigahe.

Mhe. Kigahe ameishukuru kamati ya kudumu ya bunge ya bajeti kwa ushirikiano walioutoa kwa wizara ya viwanda na biashara hasa kutembelea miradi mbalimbali ya kimkakati na kutoa maoni yao ya kuboresha maeneo husika.

Naye Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya bajeti Mhe. Daniel Baran Sillo (Mb) amesema kuwa uongozi wa wizara ya Viwanda na Biashara umetoa ushirikiano mkubwa kwa kamati anayoiongoza na waheshimiwa wabunge wamejionea na kusikiliza changamoto zote hivyo kamati yake itakaa na kufanya uchambuzi na kuishauri serikali namna bora ya kuboresha na kutatua changamoto zilizopo.

Kamati ya kudumu ya bunge imepata fursa nyingine ya kutembelea kiwanda cha kuchakata nyama cha Eliya Foods Overseas Ltd kilichopo Longido Mkoa wa Arusha, kiwanda hiki kipo chini ya EPZA kikichakata nyama kwa ajili ya mauzo nje.

Mwenyekiti wa kiwanda hiki ndugu Shabbir Virjee amelishukuru bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye kupunguza kodi ya nyama ambayo imesaidia katika ushindani na nchi nyingine.
Share:

UKARABATI WA CHUO CHA UALIMU WA ELIMU MAALUM PATANDI WALETA MABADILIKO CHANJA KWA KUONGEZA FURSA NA KUINUA UBORA WA ELIMU

Mkuu wa Chuo cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi Bw.Luciana Segesela,akiwasilisha taarifa kuhusu ukarabati wa chuo hicho, Ununuzi/ugawaji wa vifaa mbalimbali pamoja na ujenzi wa Shule ya Sekondari Patandi Maalum kwa ajili ya uboreshaji wa Elimu nchini kwa Waandishi wa Habari waliofika Chuoni hapo katika ziara ya kuangalia maboresho yaliyofanywa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia katika chuo hicho.

Wanafunzi wa Chuoa cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi wakimsikiliza Mkuu wa Chuo hicho Luciana Segesela,akiwasilisha taarifa kwa Waandishi wa Habari waliofika Chuoni hapo katika ziara ya kuangalia maboresho yaliyofanywa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia katika chuo hicho kuhusu ukarabati wa chuo hicho, Ununuzi/ugawaji wa vifaa mbalimbali pamoja na ujenzi wa Shule ya Sekondari Patandi Maalum kwa ajili ya uboreshaji wa Elimu nchini

Baadhi ya waandishi wa habari na viongozi mbalimbali wakimsikiliza Mkuu wa Chuoa cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi Luciana Segesela,wakati akiwasilisha taarifa kwa Waandishi wa Habari waliofika Chuoni hapo katika ziara ya kuangalia maboresho yaliyofanywa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia katika chuo hicho kuhusu ukarabati wa chuo hicho, Ununuzi/ugawaji wa vifaa mbalimbali pamoja na ujenzi wa Shule ya Sekondari Patandi Maalum kwa ajili ya uboreshaji wa Elimu nchini

Wanafunzi wa Chuo cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi wakiimba wimbo maalum.



Mkuu wa Chuo cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi Bw.Luciana Segesela,akionyesha miradi mbalimbali iliyotekelezwa katika chuo hicho kwa Waandishi wa Habari waliofika Chuoni hapo katika ziara ya kuangalia maboresho yaliyofanywa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia katika chuo hicho.


Mratibu Taaluma Chuo cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi Lucas Nkivuyo,akitoa maelezo kuhusu mashine zinazotumika kwa wanafunzi wasio na usikivu kwa Waandishi wa Habari waliofika Chuoni hapo katika ziara ya kuangalia maboresho yaliyofanywa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia katika chuo hicho.

Mwanachuo wa Mwaka wa Pili idara ya wasioona Amour Athumani mwenye ulemavu wa kutosikia akionyesha kifaa wanachotumia katika kuwasiliana na kujisome vilivyotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia katika chuo hicho.


Mkuu wa Chuo cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi Bw.Luciana Segesela,akiwa na Waandishi wa Habari wakiendelea na kukagua miradi mbalimbali iliyotekelezwa na Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia katika chuo hicho.

Wanafunzi wa Chuo cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi wakiwa katika chumba cha Computer wakijisomea mara baada ya kupokea vifaa bora kabisa kutoka Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia.

Wanafunzi wa Chuo cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi wakiwa katika chumba cha Maktaba wakijisomea mara baada ya ukarabati pamoja na kuletewa vifaa mbalimbali katika chuo hicho na Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia.

Ujenzi wa jengo la Maabara ya Sayari ukiendelea.


Mafundi wakiendelea na ujenzi wa jengo la Maktaba.

Muonekano wa shule ya Sekondari Elimu Maalum Patandi,iliyojengwa na Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia.

.........................................................................................

Na Alex Sonna,Arusha

CHUO cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi Mkoani Arusha kimeelezea mafaniko 15 ambayo imeyapata mara baada ya Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia kufanya ukarabati mkubwa katika chuo hicho ikiwemo kuleta mabadiliko chanya kwa kuongeza fursa na kuinua ubora wa elimu.

Akiongea na Waandishi wa Habari waliotembelea chuoni hapo kuona miradi inayotekelezwa na Taasisi hiyo,Mkuu wa Chuo cha Ualimu Maalum Patandi,Luciana Segesela amesema maboresho yaliofanywa na serikali katika sekta ya elimu kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia hususani kwenye vyuo vya Ualimu yameleta mabadiliko chanya kwa kuongeza fursa na kuinua ubora wa elimu.

Vilevile amesema imesadia kuongeza morali ya kazi kwa wafanyakazi kutokana na kufanyia kazi katika mazingira rafiki na salama.

Pia,amesema imesaidia uwepo wa utoaji wa elimu bora na kuongeza ufaulu katika mitihani kwani chuo hicho kimepata ufaulu wa juu na hakunamwanachuo aliyefeli katika mtihani wa taifa.

“Imeongeza uwezo wa chuo wa kudahili wanachuo kutoka idadi ya wanachuo 260 hadi 450.Imeendelea kuongeza ari ya ujifunzaji kwa wanafunzi kupitia uwepo wa vifaa mbalimbali vya kujifunzia ikiwepo vitabu. Tuna Imani hata majengo ya makataba na maabara yanayojengwa yakiisha yataweza kuchochea zaidi ari hii ya ujifunzaji kwa wanachuo na wanafunzi,”amesema Segesela

Aidha ameongeza kuwa ujenzi wa shule ya sekondari ya wenye mahitaji maalumu umeleta ukombozi na matumaini makubwa kwa Chuo hicho kwani walimu tarajali wamepata sehemu ya kufanyia mafunzo kwa vitendo

"shule hii inaendelea kutoa fursa chuoni kwa wakufunzi na wanachuo kufanya tafiti mbalimbali na kutekeleza mafunzo kwa vitendo kulingana na masomo na idara zao kila inapohitajika" amesema Segesela

Amesema kuwa ukarabati na ununuzi wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia umesaidia chuo kuweza kuandaa wanachuo wanaoendana na stadi za karne ya ishirini na moja na mapinduzi ya viwanda ya awamu ya nne kwa kupitia uwepo vifaa mbalimbali vya ufundishaji na ujifunzaji vilivyoletwa ikiwa ni pamoja na kusaidia ufundishaji wa TEHAMA kwa kutumia komputa tulizopata na mafunzo waliyopata wakufunzi.

Vilevile,imeondoa changamoto kwa wanachuo na watumishi wenye mahitaji maalumu ya kutembea kutoka eneo moja kwenda jingine kutokana na kuwepo kwa mazingira rafiki kwao kupitia ujenzi wa njia za kutembelea kwa paving blocks.

“Kuwepo kwa huduma ya uhakika ya maji safi kupitia uchimbaji wa kisima kirefu cha maji ambacho kimetatua changamoto kubwa ya tatizo la muda mrefu la maji chuoni na sekondari,”amesema

Pia,Uwepo wa usafiri wa ukakika umesaidia kurahisisha utekelezaji wa shughuli za chuo na huduma kwa wanachuo ikiwemo kuwapeleka wagonjwa hospitalini.

“Chuo kimeongeza fursa ya mahusiano na taasisi zingine pamoja na mamlaka za serikali ya wilaya na mkoa kwa chuo kuwezesha kufanikisha shughuli zao mbalimbali kwa kutumia miundombinu na vifaa vya chuo.

Aidha,Patandi imekuwa kitovu cha kujifunza kutoka kwa wadau mbalimbali wa ndani na nje ya nchi kuhusu masuala mbalimbali ya watu wenye mahitaji maalumu na namna ya utoaji wa huduma rafiki kwao.

“Kuboresha madhari na mazingira ya chuo kwani chuo kinaonekana kipya.Ujenzi wa uzio wa chuo umesaidia kuimarisha ulinzi na usalama wa mali na wanajumuiya ya chuo Pamoja na kudhibiti suala la nidhamu ya wanachuo kwa kudhibiti utoro,”amesema.

ZAIDI YA BILIONI 1.1 ZAKARABATI MIUNDOMBINU PATANDI

Katika hatua nyingine,Mkuu huyo wa Chuo amesema zaidi ya shilingi bilioni moja zimetumika kukarabati madarasa,mabweni,bwalo,jengo la utawala,mifumo ya umeme,pamoja na kuboresha maabara ya upimaji wa watoto wenye mahitaji maalum,katika Chuo cha Ualimu elimu maalum Patandi Mkoani Arusha.

Amesema serikali kupitia wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imekuwa ikikifanyia ukarabati chuo kwa awamu tofauti tofauti pamoja na kuongeza miundombinu mingine ya chuo ili kukidhi mahitaji.

Mkuu huyo wa Chuo amesema ukarabati huo ni wa madarasa,mabweni,Ujenzi wa njia za kutembelea kwa paving blocks,Ukarabati wa bwalo na jiko la chuo,Ujenzi wa choo kipya cha wanaume chenye matundu 15 Na mabafu 15,Ukamilishaji wa ujenzi wa uzio wa chuo Pamoja na geti lake.

Vilevile,ukarabati wa jengo la utawala linalotumika sasa,ujenzi wa jingo jipya la utawala wa chuo,ukarabati wa mifumo yote ya umeme,mifumo ya zamani na ujenzi wa mifumo mipya ya maji safi na maji taka,kuboresha maabara ya upimaji wa Watoto wenye mahitaji maalumu.

“Thamani ya ukarabati huu, kwa ujumla wake pamoja na shughuli zinazoendelea kumaliziwa sasa ni jumla ya gharama ya shilingi bilioni 1,171,157,613.29,”amesema Mkuu huyo wa Chuo.

MWAKA 2013-2014 ILITOA BILIONI 1.6

Amesema kwa mfano mwaka 2013/2014 Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia iliboresha miundombinu ya chuo kwa kujenga mabweni mawili mapya, kuchimba kisima cha maji pamoja na kujenga sehemu ya uzio wa chuo kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 1.6,Mradi ambao ulitekelezwa na Mkandarasi Suma JKT.

“Kuanzia mwaka 2017 mwishoni wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imefanya jitihada kubwa kukarabati na kuboreshaa miundombinu ya chuo ambayo kwa ujumla wake ukarabati huo umekifanya chuo cha Patandi kuonekana kipya kabisa na hivyo kuwa na mazingira mazuri ya ufundishaji na ujifunzaji.

“Kwa sasa chuo kinaendelea na utekelezaji wa mradi wa ukarabati wa chuo kwa kushughulikia miundombinu ifuatayo,Kumalizia ujenzi wa jengo la utawala wa chuo, Kumalizia ujenzi wa njia za kutembelea kwa miguu kuelekea mabwenini kwa paving blocks,”amesema.

Vilevile,kujenga maktaba yenye huduma za TEHEMA ndani yake yenye uwezo wa kupokea wanachuo zaidi ya 250,Kujenga maabara ya sayansi ya masomo ya kemia na bailojia

“Kwa ujumla Shughuli zote hizi za ukarabati wa chuo zimetekelezwa kwamfumo wa Force Account chini ya usimamizi wa washauri elekezi kutoka huo Kikuu cha Sayansi cha Mbeya (MUST),”amesema.

Amesema Chuo hicho kina wanafunzi wa mwaka wa pili 175 (me-84 na Ke-91) na wanachuo wa mwaka wa kwanza waliopangwa ni 259 (me- 122 na ke- 137) ambapo kwa ujumla wapo wanachuo 434 (ME ni 206 na KE 228).

WAPOKEA VIFAA KUTOKA WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA

Bw.Segesela amesema wamefanikiwa kupokea vifaa mbalimbali kutoka Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia,ambavyo vilinunuliwa kwa nyakati tofauti.

Amevitaja vifaa hivyo ni pamoja na gari jipya aina ya landcruiser hard top,Kuletewa vitabu vya aina mbalimbali zaidi ya nakala 770,kuletewa computer 30 aina ya desk zilizokamilika na zingine 20 zipo katika hatua ya kumilishwa mchakato wake,kuletewa mashine ya photocopy machine (heavy duty) moja,pamoja na projecta tano.

Pia,kununuliwa vifaa mbalimbali vya kufundishia na kujifunzia wanafunzi wenye ulemavu vyenye thamani ya zaidi ya milioni 138,kuletewa vitabu mbalimbali vya baadhi ya masomo ya kidato cha kwanza na cha pili kwa ajili ya shule ya sekondari,Kuletewa viti mwendo vitatu kwa ajili ya wanafunzi wa sekondari wenye mahitaji maalum.

“Pamoja na mapokezi ya vifaa hivyo, pia wafanyakazi wa chuo wamepatiwa mafunzo mbalimbali ya kuwajengea ujuzi katika maeneo yao ya taaluma na masuala ya mtambuka kulingana na kada/taaluma zao kwa lengo la kuwajengea uwezo katika utekelezaji wa majukumu yao,”amesema.

SHULE YA SEKONDARI PATANDI

Kuhusiana na Mpango wa mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari Patandi,Mkuu huyo amesema ulilenga kujenga majengo kumi ambayo ni utawala,bwalo,jiko,madarasa manne na mabweni manne.

“Bloko za Madarasa zilizojengwa zina jumla ya vyumba 12 na ofisi 6 pamoja na vyumba ambavyo vinaweza kutumika kwa ajili ya komputa, maktaba, maabara ya sayansi 1. Pia bloko za mabweni zina vyumba 14 kila moja ambavyo vinaweza kuchukua wanafunzi 4 hadi 6 kila chumba na ukumbi wa bwalo unakadiriwa kuchukua wanafunzi 300 hadi 400 ikitegemea mpangilio wa ukaaji katika vyumba utakavyowekwa,”amesema.

Amesema hadi kufikia Agosti mwaka 2021 ujenzi wa majengo hayo yote kumi umekamilika kwa wastani wa asilimia zaidi ya 99.9%.


WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA YANUNUA THAMANI

Mkuu huyo wa Chuo amesema Wizara ya Elimu Sayansi na teknolojia imefanikiwa kununua na kutengeneza samani za shule ambazo ni Vitanda double ‘decker‘ 68 sawa na single 136,viti vya wanafunzi darasani 185,meza vya wanafunzi darasani 185,meza za bwalo la chakula 65,viti vya bwalo la chakula 400

Pia,utengenezaji wa viti vya ofisini 18,viti maalum vya ofisi 3,Meza kubwa ya ofisini,Kabati 1 ya usajili ‘Steel waiting chairs (three seaters)’,Meza ya mbao ya ofisini (std) 3,Kiti (std) cha mbao 1,Magodoro 136.
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI AGOSTI 15,2021












 

Share:

JINSI MADAKTARI TAJIKA WA MITI SHAMBA WALIVYONISAIDIA KUPATA MUME NILIYEMTHAMINI NA TUKAFUNGA NDOA

Ama kwa hakika mapenzi huwa baina ya watu wawili na wanaopendana sana kwa wakati wowote. Hakuna mtu anayeweza kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na mtu ambaye hamthamini wala kumpenda kwani mahusiano hayo yanaweza kuleta vita na sintofahamu kwenye ndoa ama uhusiano ule. 

Nilikuwa natamani kupata mchumba kwani tayari ilikuwa nimefikisha umri wa kuweza kuolewa. Rafiki zangu wote tuliokuwa tumesoma nao walikuwa tayari wameoa na mimi peke ndimi niliyekuwa nimeachwa nyuma. Suala hili lilinipa hofu kwani nilifahamu fika siku zilikuwa zinasonga na kwamba hali ingekuwa mbaya zaid iwapo siku zingepita hata zaidi bila yangu kupata mume.

 Wazazi wangu pamoja na jamaa zangu waliendelea kuniwekea msukumo kwani kila mara nilipokutana nao nyumbani waliniuliza kwa utani ni lini wajukuu wangefika duniani kwa hisani yangu.

Nilifahamu fika kwamba walikuwa wanataka niweze kufunga ndoa kwani miaka ilikuwa inasonga kwa kasi sana. Nilipatana na Jared ambaye tuliingia katika mahusiano ya kimapenzi na hapo nikajiambia kwamba nilikuwa tayari keshapata mume wangu wa maishani. Siku zilivyosonga, tabia zake zilinikera kwani aliniwacha na kusitisha uhusiano wetu bula yangu kujua. 

Ilikuwa ni ishara tu kwamba alitaka tu kujitimizia tendo la ndoa kupitia kwangu. Nilipiga moyo konde kwani nilijiambia akilini kwamba hakuwa kipenzi change cha roho. Muda ulizidi kusonga lakini hakuna mwanaume yeyote aliyehata piga mluzi nilipopita kwenye umati wao. Nilibaki nimesononeka sana. Nilifanya kila juhudi ili kuwavutia wanaume lakini yote yalikuwa ni bure. Nilinunua mavazi yaliyotoa umbo langu vizuri lakini hakuna hata mwanaume yeyote aliyenijia na jambo hilo lilinifanay niweze kujidharau kabisa.

Susan ambaye alikuwa kasha olewa na ambaye alikuwa amepitia shida kama yangu kabla ya kupata mume, aliniambia kwamba alipata usaidizi kutoka kwa daktari Kiwanga. 

Alinipa nambari ya simu ya daktari Kiwanga na hapo nikaipiga ili kutenga muda kukutana naye kwani ama kwa hakika nilikuwa nimefika ukingoni na swala hili la upweke na kukosa mume licha ya miaka kuwa imesonga hata zaidi. 

Baada ya wiki mbili nilifunga safari hadi kwenye afisi za daktari Kiwanga kwa ajili ya usaidizi ili niweze kupata mume. Alinihoji na hapo nikawelezea shida niliyokuwa napitia ambapo alinishughulikia. Alinipa kichupa fulani kilichokuwa na mafuta ambapo aliniambia kila siku niwe najipaka nikondoka kwenda kazini. 

Nilirejea nyumbani na nikazingatia masharti yote ambayo aliniambia kwani nilitamani sana kuwa kwenye ndoa. Baada ya siku tatu nilipatana na Haman ambaye tulichumbiana na akanieleza kwamba hapo awali alikuwa amepatana na wapenzi kadhaa lakini hawakuwa kama mimi. 

Alisema kwamba tabia zangu zilikuwa zimemfurahisha ajabu. Tulichumbiana na baada ya muda fulani nilimtambulisha kwa wazazi wangu naye pia akanitambulisha kwa wazazi wake. Hii ilikuwa ishara tu kwamba ndoa ilikuwa njiani. Mwishowe tulifanya harusi kubwa mabapo kila mtu alidhihirisha kwamba tulikuwa mume na mke kirasmi. Maisha yetu na Haman yalikuwa yenye kutamaniwa na wengi kwani hatukuwa na ugomvi.

Daktari Kiwanga anatibu magonjwa mbalimbali yakiwemo kifaduro, kifua kikuu kisonono na mengineyo kwa muda wa siku tatu pekee. Ana uwezo wa kukinga familia yako kutokana na watu wenye nia mbaya na wasio kutakia mema kwa wakati wowote ule. Kwa mengi zaidi wasiliana nao kupitia barua pepe kiwangadoctors@gmail.com ama kwenye wavuti www.kiwangadoctors.com ama waweza kuwasiliana nao kupitia nambari ya simu +254 769404965.

Share:

Manamwema Shein Secondary School |S2191   NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About  Manamwema Shein Secondary School Manamwema Shein Secondary School  is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number    S2191                                      Manamwema Shein Secondary School  NECTA Results – Check  Manamwema Shein Secondary School  ACSEE Results, CSEE Results & FTNA Results Access  Manamwema Shein Secondary School  NECTA Results – […]

This post Manamwema Shein Secondary School |S2191   NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 03

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Katoke Lweru Secondary School | S4294 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Katoke Lweru Secondary School Katoke Lweru Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4294 The Katoke Secondary School opened in April 25, 2009 after three years of planning and one year of building. There are currently 485 students enrolled in ‘O’ level and […]

This post Katoke Lweru Secondary School | S4294 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Ilowola Secondary School | S4260 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Ilowola Secondary School Ilowola Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4260 Ilowola Secondary School is located at Njombe. Ilowola Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Biology, English language and Kiswahili than all subjects. Despite the […]

This post Ilowola Secondary School | S4260 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Dinobb High School | S4236 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Dinobb High School Dinobb High School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4236 Dinobb High School NECTA Results – Check Dinobb High School ACSEE Results, CSEE Results & FTNA Results Access Dinobb High School NECTA Results – ACSEE Results, CSEE Results & FTNA Results […]

This post Dinobb High School | S4236 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mbweniteta Secondary School | S4223 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Mbweniteta Secondary School Mbweniteta Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4223 Mbweniteta Secondary School is located at Dar es salaam. Mbweniteta Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, Chemistry and English language than all subjects. […]

This post Mbweniteta Secondary School | S4223 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Algebra Islamic Seminary | S4217 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Algebra Islamic Seminary Algebra Islamic Seminary is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4217 Algebra Islamic Seminary is located at Dar es salaam. Algebra Islamic Seminary is boys and girls school and it is doing well in Elimu ya dini ya kiislamu, English language and […]

This post Algebra Islamic Seminary | S4217 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Marian Boys’ Secondary School | S4213 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Marian Boys’ Secondary School Marian Boys’ Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4213 Marian Boys Secondary School started with its full operation in 2009. It is under The HOLY GHOST FATHERS. The School offers quality education. It is Catholic School open to […]

This post Marian Boys’ Secondary School | S4213 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Maria De Mattias Secondary School | S4207 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Maria De Mattias Secondary School Maria De Mattias Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4207 Maria De Mattias Secondary School is located at Dodoma. Maria De Mattias Secondary School is girls school and it is doing well in English language, Biology and […]

This post Maria De Mattias Secondary School | S4207 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Harrison Uwata Secondary School | S4193 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Harrison Uwata Secondary School Harrison Uwata Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4193 Harrison Uwata Secondary School NECTA Results – Check Harrison Uwata Secondary School ACSEE Results, CSEE Results & FTNA Results Access Harrison Uwata Secondary School NECTA Results – ACSEE Results, […]

This post Harrison Uwata Secondary School | S4193 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kabungu Secondary School | S4192 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Kabungu Secondary School Kabungu Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4192 Kabungu Secondary School is located at Katavi. Kabungu Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, Biology and English language than all subjects. Despite the […]

This post Kabungu Secondary School | S4192 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Lyceum Secondary School | S4186 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Lyceum Secondary School Lyceum Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4186 Lyceum Secondary School NECTA Results – Check Lyceum Secondary School ACSEE Results, CSEE Results & FTNA Results Access Lyceum Secondary School NECTA Results – ACSEE Results, CSEE Results & FTNA Results […]

This post Lyceum Secondary School | S4186 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kijota Hull High School | S4163 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Kijota Hull High School Kijota Hull High School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4163 Kijota Hull High School NECTA Results – Check Kijota Hull High School ACSEE Results, CSEE Results & FTNA Results Access Kijota Hull High School NECTA Results – ACSEE Results, […]

This post Kijota Hull High School | S4163 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Idigima Secondary School | S4139 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Idigima Secondary School Idigima Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S4139 Idigima Secondary School is located at Mbeya. Idigima Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, Geography and History than all subjects. Despite the effort […]

This post Idigima Secondary School | S4139 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger