Naibu waziri wizara ya Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb) akipata maelezo alipotembelea kituo cha pamoja cha ushuru wa forodha mipakani (OSBP) kilichopo Namanga Mkoani Arusha.
Kamati ya kudumu ya Bunge ya bajeti Mhe. Daniel Sillo Baran Mbunge wa Babati Vijijini akipata maelezo katika ziara aliyoambatana na kamati ya kudumu ya bunge kutembelea kituo cha pamoja cha ushuru wa forodha mipakani (OSBP) kilichopo Namanga Mkoani Arusha.































