Monday, 2 August 2021

SERIKALI KUPELEKA CHANJO YA CORONA MAKAMBI YA WAKIMBIZI

 Na Abubakari Akida,MOHA Serikali imesema iko katika mpango wa kupeleka Chanjo ya UVIKO 19 katika Makambi na Makazi ya Wakimbizi katika mikoa ya Kigoma,Tabora na Katavi ikiwa ni mpango mkakati wa kukabiliana na wimbi la tatu la ugonjwa huo. Kauli hiyo imetolewa leo na Naibu Waziri wa Mambo ya...
Share:

MREMBO AKAMATWA BAADA YA JAMAA ALIYEKUWA ANACHONYA NAE ASALI HOTELINI KUFARIKI

Polisi katika kaunti ya Kiambu Ndumberi nchini Kenya wamemkamata mwanamke mmoja baada ya jamaa aliyekuwa akipalilia mgomba wakiwa kwenye chumba cha anasa kufariki dunia. Wawili hao walikuwa katika chumba kwenye hoteli ya Konteina walipokuwa wakionja tunda la penzi.  Moses Muiruri aliamua kukodi...
Share:

SERIKALI YAAGIZA WAKANDARASI WANAOTEKELEZA MIRADI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI KUTOA AJIRA VIJIJINI

Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Medard Kalemani akihutubia mamia ya wananchi waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili uliofanyika tarehe 01/08/2021 katika Kijiji cha Nalasi Wilaya ya Tunduru Mkoa wa Ruvuma. Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Medard...
Share:

Relationship Manager; SME at NMB Bank

Relationship Manager; SME     Job Purpose Responsible for growing both Liabilities (Deposits) and Assets from Small and Medium Enterprises (SMEs) for Business banking; advising Business Banking department on business strategy, assisting SME Business Bankers /Relationship Officers/Branch Managers in recruiting business customers to ensure SME business growth. Main Responsibilities  ...
Share:

Mbunge Mteule wa CCM Jimbo la Konde Mhe.Sheha Mpemba Faki ajiuzulu.

...
Share:

Jengo la kudhibiti mifumo la kituo cha kupokea na kusambaza umeme cha Msamvu - Morogoro Lateketea Kwa Moto

Ofisi za Kituo kikubwa cha kupokea na kusambaza umeme Msamvu - Morogoro limewaka moto na kusababisha Mkoa wa Morogoro kukosa umeme. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, lakini taarifa ya TANESCO imeeleza kuwa wataalamu  na mafundi wanaendelea na kazi ya kuhakikisha huduma ya umeme inarejea...
Share:

Mbunge wa CCM Jimbo la Konde Sheha Mpemba Faki ajiuzulu

 ...
Share:

PICHA: Rais Samia Awasili Nchini Rwanda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali Nchini Rwanda kwa ajili ya kuanza ziara rasmi ya Kiserikali ya siku mbili kwa mwaliko wa Rais wa Nchi hiyo Mhe. Paul Kagame leo Agosti 02,2021. ...
Share:

Waziri Mkuu Atoa Rai Kwa Waliopata Ufadhili Wa Mafunzo Ya Ufundi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka vijana waliopata ufadhili wa Serikali kupitia programu maalumu ya kupata mafunzo ya ufundi stadi watumie vizuri fursa hiyo ili wanufaike. Amesema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ametoa fungu la fedha kwa ajili ya kuwasomesha vijana katika fani mbalimbali...
Share:

Manager, Mobile Lending and Analytics at Absa

Manager, Mobile Lending and Analytics    Bring your possibility to life! Define your career with us With over 100 years of rich history and strongly positioned as a local bank with regional and international expertise, a career with our family offers the opportunity to be part of this exciting growth journey, to reset our future […] This post Manager, Mobile Lending and Analytics at Absa...
Share:

People & Culture intern at Sokowatch

People & Culture intern   Dar Es Salaam, About Us: Sokowatch is transforming communities across Africa by revolutionizing access to essential goods and services. By connecting small shops to the digital economy, we fix inefficient supply chains and provide services that were previously unavailable. Sokowatch aims to provide everything a retailer needs, no wholesalers or […] This post People...
Share:

Field Sales Manager at Sokowatch

Field sales Manager Mbeya, About Us: Sokowatch is transforming communities across Africa by revolutionizing access to essential goods and services. By connecting small shops to the digital economy, we fix inefficient supply chains and provide services previously unavailable to informal businesses. Sokowatch aims to provide everything a retailer needs, no wholesalers or banks necessary. Thousands...
Share:

Director of People and Culture at European Management Solutions

Position: Director of People and Culture Duty station: South Africa or one of other country offices in Rwanda, Kenya, Nigeria, Ethiopia, Tanzania Hours: Full-time position; Reporting to: Regional Director of Africa Start date: As soon as possible Travels: Some occasional international travel post COVID-19 Salary package: Competitive salary, plus benefits (medical insurance and annual performance-based...
Share:

Production Manager at Blue Recruits Limited

Production Manager   Blue Recruits Limited  Dar es Salaam Recruitment Consultant at Blue Recruits Limited We’re looking for a competent and experienced manager. Experience in the meat process industry is a requirement (meat/Poultry/Abattoir/Processed meat factory/food manufacturing, storage or handling industry etc.) Will be overseeing the day-to-day operations at food processing to ensure...
Share:

HAWA NDIYO WAKURUGENZI WAPYA WA HALMASHAURI SHINYANGA...MKRISTO ATUA MANISPAA YA SHINYANGA, MSUMBA ABAKI KAHAMA

Aliyesimama ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama Anderson David Msumba  *** Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendji wa Halmashauri za Jiji, Miji, Manispaa na Wilaya ambapo kwa upande wa Mkoa wa Shinyanga amemteua Nice Remen...
Share:

RAIS SAMIA ATEUA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI....TAZAMA MAJINA YOTE HAPA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassani    HABARI, IKULU...
Share:

WAZIRI BITEKO ATEMBELEA BANDA LA SHUWASA AKIFUNGA MAONESHO SHINYANGA

Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) Mhandisi Yusuph Katopola akimwelezea Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko kuhusu huduma zinazotolewa na SHUWAS alipotembelea Banda la SHUWASA akifunga Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga leo...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger