Monday 2 August 2021

WAZIRI BITEKO ATEMBELEA BANDA LA SHUWASA AKIFUNGA MAONESHO SHINYANGA

...

Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) Mhandisi Yusuph Katopola akimwelezea Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko kuhusu huduma zinazotolewa na SHUWAS alipotembelea Banda la SHUWASA akifunga Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga leo Jumapili Agosti 1,2021 . Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) Mhandisi Yusuph Katopola akimwelezea Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko kuhusu huduma zinazotolewa na SHUWAS alipotembelea Banda la SHUWASA akifunga Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga leo Jumapili Agosti 1,2021 .
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akizungumza kwenye Banda la SHUWASA akifunga Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga leo Jumapili Agosti 1,2021.

Soma pia:
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger