Saturday, 3 July 2021

YANGA YAIDUNGUA SIMBA SC 1-0 RAIS SAMIA AKISHUHUDIA KILA KITU

Derby imemalizika, Yanga wanafanikiwa kuzuia ubingwa wa mapema kwa Simba. Kikosi cha Yanga, leo kimeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes. Mchezo wa leo ambapo Simba SC ilikuwa inahitaji pointi tatu ili kutangazwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara mambo...
Share:

ATUPWA JELA KWA KUMTUSI NA KUTISHIA KUMTANDIKA MAMA YAKE MZAZI

Jamaa ambaye alimtusi mama yake mzazi amekutwa na hatia na kisha kutozwa faini ya KSh 10,000 sawa na shilingi laki mbili za Kitanzania. Iwapo mshtakiwa, David Maloba Omar atashindwa kulipa hela hizo basi atalazimika kutumikia kifungo cha miezi mitatu gerezani kwa kuvuruga utulivu. Kwa mujibu wa...
Share:

MZIGO UMEONGEZWA UJAZO...LADHA YA 'HANSON'S CHOICE' NI ILE ILE

 ...
Share:

KAMPUNI YA JAMBO YATANGAZA KUANZA KUNUNUA MATUNDA YA MANANASI

TANGAZO   Habari njema kwa watu wote Kampuni ya Jambo Food Product ya mjini Shinyanga inatangaza kuwa kwa sasa imeanza kununua MANANASI. Ewe mteja fika katika kiwanda cha Jambo mjini Shinyanga ili upate mkataba na mwongozo kamili wa kupeleka mananasi. Pia utaratibu wa kununua matunda mengine...
Share:

Mpyaa : PAKUA APP YA MALUNDE 1 BLOG ILIYOBORESHWA ZAIDI 2021...HABARI BURE MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO

...
Share:

Procurement Officer (Immediately) at Caliber First Group Limited

                                                            JOB TITLE: JOB ADVERT- Procurement Officer (Immediately) JOB LOCATION: Dar Es Salaam Tanzania Company Name: Caliber First Group Limited (CFGL) Caliber First Group Limited (CFGL) […] This post...
Share:

Deputy Chief of Party (DCOP) at Jane Goodall Institute

DEPUTY CHIEF OF PARTY About Us: The Jane Goodall Institute (JGI) is an international non-governmental organization which was founded in 1977 that continues Dr. Goodall’s pioneering work on chimpanzee ecology and behavior. Its mission is to promote wildlife conservation, in particular chimpanzee sustainability, through community-based conservation, research, and public awareness. The breadth of JGI’s...
Share:

System Administrator at Kazini Kwetu

System Administrator   Dar es Salaam, Tanzania, United Republic of Career Page System Administrator We are looking for System Administrator with “hands on” experience in ISP. The successful candidate should be able to begin to work immediately Responsibilities:   Setup, configuration, general maintenance and troubleshooting of all Windows and Linux systems. Administration of server, network...
Share:

HSE Officer at Kazini Kwetu

HSE OFFICER Place: LINDI Deadline: 21/07/2021 KaziniKwetu Ltd on behalf of client is looking for HSE Ifficer to be based in Mufindi. The HSE Officer will be responsible for coordinating the Quality, Environmental, Health, Safety, legal compliance programes and related issues within the department. She/he is also responsible for ensuring that the business complies with […] This post HSE Officer at...
Share:

Workshop Manager at Kazini Kwetu

Workshop Manager – Heavy Duty Trucks and Machines Maintenance Songea, Tanzania, United Republic of Career Page Workshop Manager – Heavy Duty Trucks and Machines Maintenance Qualifications:    Mechanical Engineering Degree Experience in mechanical works on heavy duty machines including heavy trucks and similar. Computer literate. Good communications skills in English.   Responsibilities:...
Share:

Land Surveyor at Kazini Kwetu

Land Surveyor   Dar es Salaam, Tanzania, United Republic of Our client; a reputed construction company based in Dar es Salaam is looking for a Land Surveyor who is available to start immediately. Responsibilities    Verify the accuracy of survey data, including measurements and calculations conducted at survey sites. Direct or conduct surveys in order […] This post Land Surveyor at...
Share:

Th. 570 Bilioni Kunufaisha Wanafunzi 160,000 Mikopo Elimu Ya Juu

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imepanga kutumia bajeti ya kiasi cha TZS 570 Bilioni katika mwaka 2021/2022 inayotarajia kuwanufaisha zaidi ya wanafunzi 160,000. Akizungumza jana (Ijumaa, Julai 2, 2021) jijini Dar es salaam katika hafla ya...
Share:

Dkt. Mollel Atoa Onyo Kwa Watumishi Wanaotoka Kazini Muda Wa Kazi Na Kwenda Kufanya Kazi Binafsi

 Na WAMJW, DODOMA Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ametoa onyo kwa watumishi wa sekta ya afya wanaotoka kazini muda wa kazi na kwenda kufanya kazi binafsi. Dkt. Mollel amesema hayo jana mara baada ya kufanya kikao kazi na mameneja wa Mikoa toka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini...
Share:

Balozi Sokoine: Wafanyabiashara Tumieni Balozi Za Tanzania

Na Mwandishi wetu, Dar Wafanyabiashara nchini wanaofanya biashara nje ya nchi wameshauriwa kuwasiliana na balozi za Tanzania ili kupata taarifa sahihi kuhusu fursa za biashara na uwekezaji katika nchi wanazopenda kufanya nazo biashara. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na...
Share:

Mhandisi Masauni Aiagiza PPRA Kudhibiti Rushwa Kwenye Ununuzi Wa Umma

 Na Saidina Msangi, Dodoma NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango Mhandisi Hamad Yusuff Masauni ameiagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), kuongeza kasi ya ukaguzi wa masuala ya ununuzi katika taasisi za Umma ili kubaini mapungufu na kuchukua hatua kabla ya kuisababishia Serikali hasara. Mheshimiwa...
Share:

Kigamboni Yakabidhiwa Mradi Wa Viwanja 20,000

 Na Munir Shemweta, WANMM Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia ofisi ya Kamishna wa Ardhi mkoa wa Dar es Salaam imekabidhi mradi wa viwanja 20,000 kwa halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni iliyopo mkoani Dar es Salaam ili iweze kusimamia na  kuendeleza eneo la mradi. Hatua...
Share:

Makamu Wa Rais Afanya Mazungumzo Na Waziri Wa Biashara Wa Ufaransa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango amekutana na kufanya  mazungumzo na waziri anaeshughulikia masuala ya Biashara ya Kimataifa na Uchumi  Mhe. Franck Riester Paris Nchini Ufaransa Julai 2, 2021. Katika mazungumzo yao, pande zote mbili zimekubaliana...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger