Thursday, 28 January 2021

STEM Apprenticeship Program at Serengeti Breweries

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

 STEM Apprenticeship Program     Job Description : We are inviting highly ambitious women to join our budding STEM (Science, Technology, Engineering, and Math) Apprentice program at Serengeti breweries Limited – effective March 2021! About Us At Serengeti Breweries (SBL), we take pride in continuously investing in Talent to ensure that we have the best pool […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Senior Regional Software Engineer, Digital Health at IntraHealth International

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Description IntraHealth International is seeking a Senior Regional Software Engineer in Tanzania to lead and support various digital health product software development. Job Duties and Responsibilities   Project management Lead complex software development activities with minimum day-to-day supervision from HQ Lead requirements gathering and documentation by working with and managing other engineers, designers, and program […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Public Relations Officer at TCCIA

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Public Relations Officer   Tanzania Chamber of commerce, Industry and Agriculture (TCCIA) is a registered under the Companies Act Cap 212 as a Company limited by guarantee mandated to facilitate Private Sector Development in Tanzania by providing exceptional value to members and business community through the provision of demand driven advocacy, business Informediary, linkages, business development […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Laboratory Quality Supervisor at Tea Research Institute of Tanzania

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Laboratory Quality Supervisor    The Tea Research Institute of Tanzania (TRIT) is an autonomous organization representing the Government of Tanzania and the tea industry. Its duty is to support the continued development of the tea industry, both large and small-scale producers, with appropriate high quality, cost effective research and technology transfer. It is funded by […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Information Systems Audit at Bank of Baroda

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Information Systems Audit    Bank of Baroda, a leading nationalized bank in India is an international bank. It ranks 182 amongst the top 1000 in the world. The Bank of Baroda has worldwide presence by way of 10 Subsidiaries, 1 overseas joint venture, 1 overseas associate and 46 branches at overseas Centre. It is second […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Finance Manager at Hazina Saccos

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

MENEJA WA FEDHA AT HAZINA SACCOS January, 2021. The Hazina Saccos Limited was formed in 1972 and officially registered on 21/03/1973 with at least 250 members so far there are a total of 1275 members.   MENEJA WA FEDHA AT HAZINA SACCOS January, 2021 The deadline for submitting the application is 03 February, 2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Park Ranger II at Marine Parks and Reserves Unit

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

TRANSFER VACANCIES Marine Parks and Reserves Unit (MPRU) invites applications from suitably qualified public servants who are interested to join the MPRU through transfers as follows:  Position: Park Ranger II (3 Post) Qualification and Experience Holder of form four IV or VI Secondary Education, with certificate (NTA level 5) in one of the following fields: […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

ICT Officer I at Marine Parks and Reserves Unit

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

TRANSFER VACANCIES Marine Parks and Reserves Unit (MPRU) invites applications from suitably qualified public servants who are interested to join the MPRU through transfers as follows: Position ICT Officer I (1 POST) Qualification and Experience Holder of Bachelor Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Computer Science, Computer Engineering, Software Engineering, Information […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Records Management Assistant II (Transfer Vacancy) at Marine Parks and Reserves Unit

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

TRANSFER VACANCIES Marine Parks and Reserves Unit (MPRU) invites applications from suitably qualified public servants who are interested to join the MPRU through transfers as follows: Position: Records Management Assistant II (1 Post) Qualification and Experience Holders of Diploma (NTA Level 6) in one of the following fields: Records Management, Archives, Archive and Documentation, Records […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

IT Infrastructure at Vodacom System Administrator

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

System Administrator: IT Infrastructure   Joining Vodacom is more than a job, what we do matters. We don’t just carry minutes, texts and data – we carry people’s lives. And that’s a huge responsibility. If you think for a minute about the people you rely on…the likelihood is they rely on us. Customers are at the […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

DC KENNAN AZINDUA TAMASHA LA KAN..ASEMA UHURU WA WASANII, KUJIELEZA NA UBUNIFU, HAVIPASWI KUZUIWA


Mkuu wa wilaya ya Arusha Kennan Kiongosi akiongea na mkurugenzi wa Tamasha la KANFESTIVAL Khalifa Mbowe wakati akifungua Tamasha hilo
Mkurugenzi wa Tamasha la Kan Festival Khalifa Mbowe akiongea katika uzinduzi wa Tamasha hilo linalofanyika katika viwanja vya chuo cha Maendeleo na uhusiano wa kimataifa (Ms-TCDC) kilichopo ndani ya Wilaya ya Arumeru.
Makamu mkuu wa chuo Cha MS-TCDC Sara Teri akiongea katika uzinduzi wa Tamasha hilo hii leo (Picha na Woinde Shizza, ARUSHA)
washiriki wa Tamasha la Kan wakifanya mazoezi ya asubuhi.


Na Woinde Shizza , Arusha
Mkuu wa wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi amesema kuwa uhuru wa wasanii na haki ya kujieleza na ubunifu haipaswi kuzuiliwa japo wanatambuliwa kwa kazi zao wanazozifanya.

Aliyasema hayo leo wakati akifungua Tamasha la maarifa, sanaa na kujenga mtandao (KANFESTIVAL) kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Arusha, lililoanza leo katika Chuo cha Maendeleo na ushirikiano wa kimataifa (MS-TCDC) ambapo amesema kuwa uhuru wa ubunifu na uhuru wa kujieleza sio kitu pekee kinachowatafsiri wao kama wasanii ila utambuliwa kwa kazi zao lakini uhuru wa kujieleza na kuwa wabunifu ni muhimu.

Alisema kuwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa mstari wa mbele kuunga mkono kuunga mkono maonesho na matamsha yanayohusisha wasanii na kazi zetu za utamaduni kwani matokeo ya muziki uwafikia mamilioni ya watu ulimwenguni.

"Tunahakikisha tunaendelea kuisaidia sekta hii muhimu ya uchumi na kukaribisha ushirikiano ambao utaimarisha sekata hii kwa maendeleo ya taifa zetu,"alisema Kenan.

Alieleza kuwa wanapojadili, kulumbana, kuimba na kutazama maonesho ya Kan kwa siku hizo tatu wajikite katika kuelekeza juhudi za maendeleo.

Mkurugenzi wa Tamasha hilo kwa mwaka huu wa 2021 Khalila Mbowe alisema kuwa tamasha la Kan linawasaidia wananchi kujisikia kuwa wao ni sehemu ya maendeleo ya nchi zao kwa kujiona wao ni fursa ya ndiyo majawabu ya kusukuma gurudumu la maendeo ya Afrika.

Alieleza kuwa tamasha hilo litahudhuriwa na wasanii mbalimbali wa muziki kutoka nchi za Afrika Mashariki akiwemo G nako, Nikki wa pili Nazizi Grece Matata, Tarajazz Richie, Worriors from the East na Dj Skadi ambapo limeanza January 28 na kuhitimishwa Januari 30 huku asilimia 85 ya tamasha hilo likifanyika mtandaoni kutokana na changamoto ya Corona inayoendelea kuikabili dunia hivi sasa.

Mkurugenzi wa KAN, Khalila Mbowe kwa mwaka huu kuna utofauti mkubwa ambao ni tamasha kufanyika kwa asilimia kubwa mtandaoni, mijadala, kuboresha afya kwa kuwa na mbio maarufu Kan run, pamoja na Kan harcks.

Alisema lengo lao ni kujimuisha bara zima la Afrika bado ndio maana wote ambao ni marafiki wa maendeleo ya afrika wanashiriki Kan Festival kupitia mijadala itayoendeshwa katika mitandao ya kijamii na kuona ni jinsi gani wanaweza kukuza maendeleo ya bara la Afrika hasa kwa kuangalia agenda ya 2063 ya umoja wa mataifa.

“Kusudi la Kan Festival na huu ni mwaka wa tatu na inaendelea kukua na kuonekana ulimwenguni na kwa mwaka huu kutakuwa na mijadala tofauti tofauti hapa na kwenye Mitandao pia na lengo ni moja kuhakikisha tunapotoka hapa tunasemaje au tunatokaje Kama washiriki wa mjadala,” alisema Sara Teri.

Alifafanua kuwa mara nyingi watu wa kawaida wanakosa fursa ya kujadili maendeleo ya bara lao na badala yake kuna kuwa na watu wanaojadili bila sauti za watu wa kawaida kusikika zikionyesa jinsi wanavyoshiriki au kuhusika hivyo lengo ni wewe na yeye mnasemaje juu ya maendeleo ya bara.

Share:

MBUNGE NEEMA-UWAZI NA UWAJIBIKAJI NI MUHIMU KWA SEKTA YA AZAKI

MBUNGE wa Viti Maalumu anaewakilisha Kundi la Asasi za Kiraia (NGOs) CCM Neema Lugangira akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi kati ya Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto na Mashirika yasiyo ya Kiserikali
MBUNGE wa Viti Maalumu anaewakilisha Kundi la Asasi za Kiraia (NGOs) CCM Neema Lugangira akizungumza wakati wa kikao kazi kati ya Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto na Mashirika yasiyo ya Kiserikali


MBUNGE wa Viti Maalumu anaewakilisha Kundi la Asasi za Kiraia (NGOs) CCM Neema Lugangira amesema kwamba Sekta ya Azaki bado inahitaji kujengewa uwezo haswa NGOs ndogo ili ziweze kutekeleza majukumu yao kwa tija kubwa .

Hayo aliyasema wakati alipokutana na Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali(NGOS) kwa upande wa Tanzania bara kwenye Kikao Kazi cha Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto na Mashirika hayo.

Kikao hicho ambacho amekutana na Sekta ya Azaki (NGOs) kwa mara ya kwanza, Mbunge Neema alisema ushirikiano kati ya Bunge, NGOs na Serikali ni muhimu kwakuwa wote ni wadau wa maendeleo na kazi yao ni kuhudumia wananchi.

Mbunge Neema Lugangira alipendekeza mambo mawili; kwanza NGOs kubwa za Kitaifa ziwe na utayari wa kufanya kazi na NGOs ndogo na pili NGOs za Kimataifa na Wadau wa Maendeleo waelekezwe juu ya umuhimu wa kuhakikisha sehemu ya fursa walizonazo zinakwenda kwa NGOs ndogo.
 
Alisema kwamba hiyo yatasaidia kuwajengea uwezo NGOs ndogo na hatimae kujenga mazingira wezeshi ya NGOs ndogo ili nazo zikue na kutimiza malengo yake vizuri. 

Mbunge Lugangira huyo alisema ili NGOs ziweze kuthaminika na kutambulika kwa kazi kubwa inayofanyika katika kuleta maendeleo kwa jamii ni lazima NGOs zifanye kazi kwa uwazi na uwajibikaji.

“ Kwani kwa kufanya hivi pamoja na mambo mengine, itaiongezea nguvu hoja zinazowasilishwa na Sekta hii muhimu ya NGOs kwenda Serikalini na Bungeni” Alisema Mbunge huyo.

Hata hivyo Mbunge Neema alitoa ushauri kwa Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo Ya Kiserikali "NACONGO" ianze kutekeleza muundo wake wa kuwa na uwakilishi wa NGOs ngazi zote kuanzia Wilaya, Mkoa hadi Taifa kupitia Mabaraza ya Wilaya, Mikoa hadi Taifa.

“ Hii itasaidia kuratibu mipango ya Serikali na NGOs kwenda sambamba na pia hili litanisaidia sana mimi kama Mbunge wa Viti Maalumu ninaewakilisha kundi la NGOs Bungeni maana ninahitaji kukutana na NGOs Wilayani, Mikoani na Taifani kupitia mfumo rasmi kama huu wa NACONGO hivyo ni muhimu sana Mabaraza haya ngazi zote yawepo na yafanye kazi” Alisema Mbunge huyo.

Mbunge huyo aliwahakikishia Wadau wa Sekta ya NGOs kuwa atakuwa Mwakilishi wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali/Asasi za Kiraia (NGOs) Bungeni ikiwemo kuwa tayari kushirikiana nao kuimarisha Sekta hiyo ya Azaki.

“Lakini pia niliwasilisha ombi langu la kushirikiana kwa karibu na Foundation for Civil Society kwa lengo la kufanyia kazi haya niliyowasilisha na mengine ambayo tutayajadili pindi tutakapokutana” Alisisitiza

Katika hatua nyengine Mbunge huyo aliwashukuru Wakurugenzi Wanawake 7 wa NGOs kutoka Jukwaa la Wakurugenzi Wanawake wa Azaki "CSO Women Directors Forum" ambao walikubali kutenga muda wao, kupitia na kuboresha maelezo yangu hadi kufanya zoezi la kuomba kura mbele yao ili kuhakikisha nitakuwa ndani ya muda.

Wakurugenzi hao ni Anna Kulaya, Jane Magigita, Dr. Astronaut Bagile, Christina Kamili, Geline Fuko, Utti Mwangamba na Irene Fugara.

“Kwa hakika huu ulikuwa Mkutano muhimu sana kwangu kushiriki na namshukuru sana Mhe Spika, Mhe Job Ndugai (Mb.) kwa kunipa ruhusa ya kutoka Bungeni na kushiriki Mkutano huu” Alisema Mbunge huyo

Aidha pia aliwashukuru Mhe Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, Mhe Naibu Waziri, Mhe Dkt. Mollel na Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Dkt. Jingu kwa ushirikiano wa mkubwa na kwa utambuzi wa nafasi yangu kama kiungo muhimu kati ya NGOs, Serikali, na Bunge.

"Sasa kazi iendelee na tuachane na tofauti ya itikadi zetu za kisiasa, tufanye kazi na mnitumie kama daraja kati yenu NGOs, Bunge na Serikali", alihitimisha Mbunge Lugangira
 
Mwisho
Share:

Breaking : RAIS MAGUFULI AIPANDISHA HADHI KAHAMA MJI KUWA MANISPAA YA KAHAMA...AMSAMEHE ALIYENUNUA GARI LA KIFAHARI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Chapulwa Kahama mara baada ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Kiwanda cha Nafaka, Vinywaji na Maziwa (Kom Limited) Kahama mkoani Shinyanga leo tarehe 28 Januari 2021. Picha na Ikulu

***
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ameipandisha hadhi halmashauri ya Kahama Mji kuwa Manispaa ambapo sasa Kahama Mji itajulikana kama Manispaa ya Kahama.

Rais Magufuli amesema hayo leo Alhamis Januari 28,2021 wakati akizungumza na wananchi katika uwanja wa taifa wilayani Kahama.

"Kutokana na mahitaji yaliyopo hapa Kahama naipandisha halmashauri ya Kahama Mji kuwa Manispaa na hiyo hospitali ya Kahama iwe na hadhi ya Manispaa",amesema Rais Magufuli.

Mkoa wa Shinyanga sasa utakuwa na Manispaa mbili (Manispaa ya Shinyanga na Manispaa ya Kahama), lakini pia kuwa na halmashauri za wilaya nne ambazo ni halmashauri ya wilaya ya Kishapu, Shinyanga, Ushetu na Msalala.

Rais Magufuli pia amemsamehe Mkurugenzi wa Kahama Mji, Underson Msumba ambaye ni miongoni mwa wakurugenzi wanne waliokuwa na kashfa kwa kununua magari ya kifahari ambapo amesema amemsamehe na kumuachia gari hilo kutokana na jinsi anavyofanya kazi vizuri na kwa kujituma akishirikiana na madiwani ambapo wamekuwa wakitekeleza miradi yenye kuwaletea maendeleo wananchi.

"Mkurugenzi wa Kahama Mji unafanya kazi kubwa sana, ka kosa kale kadogo kamesamehe dhambi zako zote. Unafanya kazi sana japo unapigwa vita sana. Nimemsamehe Mkurugenzi huyu, amefanya makubwa! Mkurugenzi hongera Sana. Na hilo gari nitamrudishia aendelee kuliendesha lakini asirudie kununua gari nje ya utaratibu",amesema Magufuli.

Rais Magufuli pia amemuagiza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Doroth Gwajima kuipandisha hadhi hospitali ya Mji Kahama iendane na hadhi ya Manispaa.

"Nawaongezea Sh Milioni 500 kuchangia jengo la hospitali ya mji Kahama. Na kwa vile waziri wa afya yuko hapa aipandishe hadhi hiyo hospitali ili endane na hatua ya Manispaa," amesema Rais Magufuli.
Share:

Video Mpya : KEMA HEWA - MASASI


Hii hapa video mpya ya Msanii Kema Hewa inaitwa Masasi ..Tazama hapa chini
Share:

HARUSI YA BAISKELI YAZUA GUMZO

Mwendesha baiskeli wa kike aliongeza ladha kwenye mtindo wa hafla ya harusi baada ya kufunga pingu za maisha na mpenzi wake katika sherehe iliyotawaliwa na baiskeli.

Kulingana na Sierraloaded, mrembo huyo mwenye bidii alifunga pingu za maisha na mpenzi wake siku ya wikendi akiwa amebebwa na baiskeli.

Kawaida hafla za harusi hutawaliwa na magari, na wakati mwingine farasi lakini baiskeli ni tajira hadhimu.

Harusi hiyo ambayo iliandaliwa Makeni nchini Sierra Leone, ilihudhuriwa na waendeshaji baskeli ambao walijitokeza kushereheaka pamoja na mrembo huyo ambaye ameweka rekodi kwenye nyanja hiyo nchini Sierra Leone. 

Kando na kuwa fundi wa baiskeli, Isata Sama Mondeh pia ni mwendesha baiskeli wa kwanza wa kike kujitosa kwenye biashara hiyo ambapo amewaajiri waendeshaji kadhaa kumfanyia kazi.

Isata, ambaye aliwahi kushiriki mashindano ya Tour de Lunsar ambapo alinyakuwa ushindi anapenda kuwatia moyo na kuwashauri wasichana wadogo, familia na jamii kuhusu masuala ya tamaduni. Ushauri wake utamfaa kila mwanamke ambaye anatazamia kuingia kwenye tasisi ya ndoa kwani si lazima utumie magari kwenye harusi ndio uhisi kuoleka. 
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JANUARI 28,2021



Magazetini leo Alhamis January 28,2021





























Share:

Wednesday, 27 January 2021

VIDEO YA UCHI MCHUNGAJI AKIWA NA WAUMINI WAKE YAVUJA MTANDAONI....MWENYEWE AFUNGUKA


Mchungaji mmoja kutoka eneo la Nkpor, Idemili Kaskazini lililopo katika jimbo la Anambra nchini Nigeria, kwa jina Onye Eze Jesus, ameomba msamaha kwa umma kwa video yake ya utupu iliyosambaa sana mitandaoni ambapo alionekana akiwadondoshea fedhaa baadhi ya waumini wa kanisa lake huku akiwaombea wakati hajavaa nguo wakiwa katika mto.

Onye Eze Jesus ameomba radhi kwa kupeperusha fedha namna ile pamoja na kuonesha watu wakiwa hawajavaa nguo katika mitandao ya kijamii na kusema kuwa hatorudia tena.

"Ninawaomba radhi raia wa Nigeria na kila mtu kwa kosa la kupeperusha fedha kwa namna ile pamoja na kuwaonesha watu wakiwa hawana nguo katika mitandao ya kijamii.

Ilienda mtandaoni kimakosa na haitajirudia tena. Kuna watu wanaweka taarifa katika kurasa yangu na nilipogundua nilifuta haraka lakini kumbe baadhi ya watu tayari walikuwa wameishirikisha kwa wengine."

Mchungaji huyu ameomba radhi mara baada ya mamlaka ya jimbo la Anambra, ambayo imetoa onyo kali dhidi ya kutumia dini katika mambo yasiyo na maadili.
Onye Eze ni mchungaji wa jimbo la Anambra

Kamishina wa jimbo la Anambra ,Don Adinuba alisema alipata madai kuwa mchungaji huyo alikuwa anasaidia watu kuinua uchumi wao kwa njia za miujiza.

Wafuasi wake huwa wanamwagiwa fedha mara kwa mara kwenye mto na wafuasi hao kuoga mtoni wakiwa hawana nguo.

Suala la kuwaweka katika mitandao ya kijamii

Kwa waumini hao kuonekana mtandaoni ni jambo la aibu kwa jimbo hilo kwa ujumla, watu wa Anambra wanajulikana duniani kuwa ni watu wenye kupenda kufanya kazi.

"Onyeze Jesus anahamasisha mambo ya kishirikina, kusadikika na imani za potofu ambazo si nzuri katika jamii; ndugu zangu, marafiki na wafanyabiashara hizi nguvu za giza zinatupeka kubaya.

Masuala ya kishirikina kama haya yanaweza kuleta uadui bila sababu ya msingi na watu wanaweza kugombana hata kuuana bila sababu ya msingi.

Nimelazimika kukemea tabia hii na kuchukua hatua dhidi ya watu wazima waliopiga picha wakiwa hawana nguo na waliosambaza video hiyo,

Mchungaji Onyeze Jesus yuko hatiani kwa kuwanyima wafuasi wake haki ya kulinda utu wao na kukiuka sheria ya Nigeria kwa kuhamasisha mambo ambayo yapo kinyume na maadili."

Mchungaji huyo alikuwa anawahidi wafuasi wake kuwa wanaweza kuwa mamilionea kwa usiku mmoja tu na kutokana na mambo kama hayo serikali itachukua hatua madhubuti.

Onye Eze Jesus aliomba radhi na kuelezea kuwa anafanya kazi tofauti na wachungaji wengine lakini vilevile aliomba radhi kwa kumwaga fedha kwa namna ile.

Aliongeza kusema kuwa tayari video hiyo ameifuta katika kurasa yake ingawa tayari imeshirikishwa na watu wengi.

Chanzo - BBC SWAHILI
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger