Saturday, 21 November 2020

WAAJIRI MKOANI ARUSHA WAMESISITIZIWA KUWEKA MIFUMO MADHUBUTI KUWALINDA WAFANYAKAZI


Mgeni rasmi kwenye hafla ya ufunguzi wa Mafunzo ya Vision Zero, Richard Kwitega Katibu tawala Mkoa wa Arusha (Katikati) akiwa na Mkurugezi wa Usalama na Afya Mhandisi Alex Ngata Pamoja na Mkurugenzi wa Mafunzo,Utafiti na Takwimu Ndugu Joshua Matiko
Mhandisi Alex Ngata akiongea kwenye mafunzo ya Vision zero Mkoani Arusha

Baadhi ya Wawakilishi waViwanda,wafanyabiashara,taasisi,kampuni za mkoa wa Arusha wakifuatilia kwa makini, mafunzo ya Vision zero Mkoani Arusha
Baadhi ya Wawakilishi wa Maeneo ya kazi mkoa wa Arusha wakifuatilia kwa makini, mafunzo ya Vision zero Mkoani Arusha 

*********************** 

Mwandishi wetu, Arusha 
Katibu tawala Mkoa wa Arusha Mhe. Richard Kwitega amewasisitiza waajiri mkoani Arusha kuweka mifumo madhubuti ilikuwalinda wafanyakazi dhidi ya magonjwa na ajali katika maeneo yao ya kazi. 

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, kwenye ufunguzi wa mafunzo maalumu ya Vision zero yaliyoandaliwa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA) jijini Arusha, maalamu kwa wamiliki wa meoeo ya kazi mkoa wa Arusha, amesema uwepo wa mifumo mizuri maeneo ya kazi itasidia kuwakinga wafanyakazi dhidi ya magonjwa na ajali zinazotokea maeneo ya kazi. 

Ndugu Richard amesema wafanyakazi ni kipuri namba moja,kwa tassisi au kampuni yeyote katika ufanisi wakazi yeyote, amesema wafanyakazi wana mchango mkubwa sehemu ya kazi hivyo hawana budi kuhakikisha wanawalindwa dhidi ya magojwa na ajali zinazoweza kutokea sehemu za kazi, ilikuwawezesha kufikia malengo waliojiwekea. 

Aidha katibu tawala huyo amesisitiza waajiri kutoa ushirikiano kwa OSHA ilikuhakikisha suala hili linatekelezwa bila vikwazo, amesema wafanyakazi wanamchango mkubwa kwenye suala la usalama na afya mahali pa kazi kwani wao ndio watendaji wa kazi, endapo ushirikiano utakuwepo baina yao, itasaidia kupunguza ajali na magonjwa sehemu za kazi. 

“Suala hili ni la pande tatu yaani mwajiri,mwajiriwa, na serikali naendapo ushirikiano huo utadumishwa basi ajali na magonjwa yatapungua ama kwisha kabisa sehemu za kazi” aliongeza Katibu tawala huyo wa mkoa wa Arusha.

Amewataka wafanyakazi wajenge utamaduni wakujilinda wao wenyewe wakiwa kazini, kwani wao wanabeba jukumu kubwa la kujilinda dhidi ya magonjwa na ajali sehemu za kazi kutokana na majukumu yao ya kila siku.

Akiongea kwa niaba ya Kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA, Mkurugenzi wa Usalama na Afya mhandisi Alex Ngata amesema, Kampeni ya Vision Zero ni kampeni ya kidunia, nchi mbalimbali dunia nizinatekeleza kampeni hii, na lengo kuu la Vision zero ni kupunguza ajali na magonjwa sehemu za kazi. 

Mhandisi Ngata amesema uwepo wa mfumo sehemu za kazi utawawezesha waajiri kujikagua wenyewe, na hivyo kuweza kuzuia magonjwa na ajali sehemu za kazi.

“Mfanyakazi ni msingi imara katika biashara na uzalishaji ambao OSHA unaungalia bila wao hawawezi kuzalisha na kufanyabiashara hivyo ni muhima kuzingatia usalama na afya zao wakiwa kazini ni vema kuwepo na mfumo maeneo yenu ya kazi ilimuweze kulinda nguvu kazi hiyo”.Alisema Mhandisi Ngata.

Kwa upande wao washiriki wa mafunzo hayo wamesema, Vision zero itawasaidia kwenda kuweka mifumo mizuri yakuwalinda wafanyakazi juu ya ajali na magonjwa sehemu za kazi, wamesema mafunzo hayo yamewajengea uelewa mpana juu ya masuala ya usalama na afya, vitu ambavyo walikuwa hawavifahamu.

“Kama mwajiri atatekeleza kama ambavyo vision zero inataka, Kuondoa magonjwa na ajali sehemu za kazi, nakama utafuata maelekezo, natumaini tutazalisha sana sehemu za kazi na hivyo kuongeza pato la taifa, na ukisema umeondoa ajali na magonjwa sehemu za kazi , hata wafanyakazi watakuwa na moyo wakufanya kazi zaidi na pia watakuwa nguvu za kufanyakazi zaidi, tutawashawishi waajiri wetu watekeleze kama ambavyo lengo kubwa la Vision zero linataka”alisema Bwana Emmanuel Mvamila Mwakilishi wa kiwanda cha TPC Moshi. 

Vision zero ni Kampeni ya Kidunia iiliyoanzishwa kwa lengo ya kupunguza ajali na magonjwa sehemu za kazi,kampeni hiyo inazitaka maeneo ya kazi kuweka mifumo ya kuwalinda wafanyakazi dhidi ya magonjwa na ajali sehemu za kazi, na kampeni hii inatekelezwa kwenye mataifa mbalimbali duniani.
Share:

Picha : TGNP YAKUTANA NA WADAU INAOFANYA NAO KAZI KUTETEA HAKI ZA WANAWAKE NA WASICHANA 'MRADI WA TAPO: SAUTI YA WANAWAKE NA UONGOZI'

Share:

HAWA NDIYO WANAFUNZI 10 BORA VINARA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020


 Baraza la Mitihani la Taifa nchini Tanzania (Necta), limemtaja mwanafunzi aliyehitimu shule ya msingi Graiyaki iliyopo mkoani Mara, Herrieth Japhet Josephat kuwa ndiye aliyeibuka kinara katika matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi (Psle).

Herrieth anakuwa msichana pekee kati ya watahiniwa 10 bora kitaifa, waliotajwa na baraza leo Jumamosi, Novemba 21, 2020 wakati Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde akitoa taarifa ya matokeo hayo.

“Watahiniwa hawa bora kitaifa ni wale ambao wamepata alama nyingi zaidi kuliko wenzao kwenye masomo matano waliyotahiniwa, ambapo pia kuna mchanganuo kwa wasichana 10 bora, wavulana 10 bora,” alisema Dk Msonde.

Alimtaja aliyeshika nafasi ya pili kuwa ni Huma Masala Huma kutoka shule ya msingi Kwema Morden ya Shinyanga na nafasi ya tatu ikienda kwa Gregory Mtete Alphonce kutoka Twibhoki shule ya msingi iliyopo mkoani Mara.

Aliyeshika nafasi ya nne ni Nyambina Musa Nyambina kutoka shule ya msingi Graiyaki iliyopo Mara pia.

Andrew Elias Mabula kutoka shule ya msingi Kwema Morden ya Shinganya, ameshika nafasi ya tano, Jonas Nyamataga Ayubu (Little Flower) Mara, Emmanuel Kashinje Paul (Kwema Morden) Shinyanga, Emmanuel Peter Marwa (Kwema Morden) Shinyanga, Prosper Aspenas Tumbo (God’s Bridge) Mbeya na nafasi ya 10 ilikwenda kwa Yesaya Mnkondo Bendera kutoka shule ya msingi God’s Bridge ya jijini Mbeya.


Share:

NECTA Scraps Results For 1,059 Candidates

NATIONAL Examinations Council of Tanzania (Necta) has nullified the 2020 Primary School Leaving Examination (PSLE) results of 1,059 candidates across the country over cheating. Necta Executive Secretary, Dr Charles Msonde, told reporters on Saturday (November 21, 2020) in Dar es Salaam that the number of candidates who were found cheating in the examination is equivalent to […]

The post NECTA Scraps Results For 1,059 Candidates appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

2020 PSLE Pass Rate Up Girl Emerges Best Performer

THE National Examinations Council of Tanzania (Necta) on Saturday (November 21, 2020) announced results for the 2020 Primary School Leaving Examination (PSLE), which indicate that pass rates have increased by 1.18 per cent. A total of 833,672 out of 1,008,307 pupils who sat for the exams, equivalent to 82.68 per cent passed the examination. Announcing the […]

The post 2020 PSLE Pass Rate Up Girl Emerges Best Performer appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

PAKUA APP YA MALUNDE 1 BLOG TUKUTUMIE HABARI NA MATUKIO BURE KWENYE SIMU YAKO

Share:

WATU WATANO WATEKETEA KWA MOTO BAADA YA MAGARI MAWILI KUGONGANA TANGA


Magari yakiteketea baada ya kugongana mkoani Tanga.
Watu watano wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 21, 2020, mara baada ya malori mawili kugongana uso kwa uso na kuwaka moto katika eneo la Kitumbi wilayani Handeni mkoani Tanga, huku chanzo cha ajali hiyo kikitajwa kuwa ni uzembe wa kutokuzingatia sheria za usalama barabarani.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga ACP Blasius Chatanda, amesema kuwa malori hayo moja lilikuwa likitokea jijini Dar es Salaam likiwa na vifaa vya dukani likielekea mkoani Tanga, na lingine lilikuwa limebeba saruji kuelekea mkoani Dodoma.

"Gari mbili zimewaka moto ni wazi kwamba magari yote haya mawili yalikuwa kwenye mwendokasi, kwa mujibu wa mashuhuda gari moja ilihama kutoka upande wake na ku-overtake gari lililokuwa mbele yake bila kuchukua tahadhari na kugongana, hiyo miili ilivyo ni ngumu hata kufanya utambuzi kwa sababu wameungua vibaya na miili yote imehifadhiwa kwenye kituo cha afya Mkata", amesema ACP Chatanda.

Aidha ACP Chatanda, akatoa rai kwa madereva wote kuzingatia sheria za usalama barabarani, kwa sababu huo ni mwarobaini wa ajali zote za barabarani.

CHANZO - EATV
Share:

Office Attendant (1) at AGPAHI

JOB TITLE: Office Attendant (1) REPORTING TO: Administration Assistant LOCATION: Mwanza Purpose of the post: The Office Attendant is responsible under the overall guidance of the Administration Assistant for maintaining the hygiene and cleanliness of the office premises and environment Duties: General administration Ensure that the office premises internally and externally are clean at all […]

The post Office Attendant (1) at AGPAHI appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Program Officer, Monitoring & Evaluation (1) at AGPAHI

JOB TITTLE:   Program Officer, Monitoring & Evaluation (1) REPORTING TO: Program Manager. LOCATION:     Dar es Salaam Purpose of the post Under the guidedance of and reporting to the Program Manager-PMTCT Global Fund project; the program officer monitoring and evaluation will provide technical support to health facilities in AGPAHI implementing sites. This includes planning and implementation […]

The post Program Officer, Monitoring & Evaluation (1) at AGPAHI appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Breaking : MATOKEO YA DARASA LA SABA (PSLE) 2020 YAMETANGAZWA... TAZAMA HAPA

Share:

Program, PMTCT services (4) at AGPAHI

Position Title: Program, PMTCT services (4) Reports to: Program Manager, PMTCT services Work Location: Arusha (1), Pwani (1), Morogoro (1) Lindi (1) Position Overview: Program Officer, PMTCT will work as a key member of AGPAHI’s Technical team, under the overall supervision and the technical leadership of the Program Manager PMTCT. The PO PMTCT will work […]

The post Program, PMTCT services (4) at AGPAHI appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Program Manager, PMTCT services (1) at AGPAHI

Position Title:  Program Manager, PMTCT services (1) Reports to: Director of Programs Work Location: Dar es salaam Position Overview: The Program Manager PMTCT will work as a key member of AGPAHI’s Technical team, under the overall supervision and the technical leadership of the Director of programs (DP).  The PM- PMTCT will work in close collaboration […]

The post Program Manager, PMTCT services (1) at AGPAHI appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

How to check PSLE results 2020/2021 – Standard Seven exam results 2020

Primary School Leaving Examination PSLE results 2020 , commonly known as matokeo ya darasa la saba 2020/2021 are the results released by the National Examination Council of Tanzania (NECTA) after the completion of the Primary School Leaving Examination marking exercise. Primary School Leaving Examination – is a selection test which enables the government to select […]

The post How to check PSLE results 2020/2021 – Standard Seven exam results 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Driver (4) at AGPAHI

JOB TITLE: Driver (4) REPORTING TO: Administration Officer LOCATION: Arusha, Lindi and Pwani Purpose of the post: To provide safe and reliable transport service to the designated staff and guests of AGPAHI in a highly professional and efficient manner, at the same time, adhere to the organization policies and follow road safety standards. Principal Functions: […]

The post Driver (4) at AGPAHI appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

PLANNING OFFICER II – 2 POST at Nelson Mandela African Institution of Science and Technology

POST PLANNING OFFICER II – 2 POST POST CATEGORY(S) BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES PROJECT, PLANNING AND POLICY MANAGEMENT STATISTICS AND MATHEMATICS EMPLOYER The Nelson Mandela African Institution of Science and Technology APPLICATION TIMELINE: 2020-11-18 2020-12-01 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To design and review data collection instruments; ii.To analyze and evaluates information gathered; […]

The post PLANNING OFFICER II – 2 POST at Nelson Mandela African Institution of Science and Technology appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Personal Assistant at Aga Khan Education Service

Aga Khan Education Service, Tanzania (AKES, T), is a private, not for profit, service company registered under the Companies Act and operates three schools in Tanzania. The vision of AKES,T is to provide accessible, world-class education, which prepares students to become self-confident, open-minded articulate and ethical young people with academic qualifications to enable them to […]

The post Personal Assistant at Aga Khan Education Service appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

V30 Cubex Drill Offsider at AUMS

African Underground Mining Services (AUMS) is an international leader in mechanised hard rock underground mining. AUMS is part of Perenti (Formerly the Ausdrill Group), an ASX 200 company and Australia’s second largest integrated mining services provider. We are a global leader in hard rock underground mining; together with Barminco we operate across Africa in Tanzania, […]

The post V30 Cubex Drill Offsider at AUMS appeared first on Udahiliportal.com.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger