Friday, 2 October 2020

Mgombea ubunge jimbo la Bariadi Mhandisi Andrea Kundo aahidi kumaliza changamoto ya tembo kuvamia makazi.

Samirah Yusuph,Mwananchi Bariadi, Mgombea ubunge jimbo la Bariadi Mhandisi Andrea Kundo, Ameahidi kumaliza kero ya wanyama( tembo ) kuvamia makazi ya wakazi wa kata ya Gilya na Gibeshi katika wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu. Mhandisi Kundo aliyasema hayo jana alipo kuwa katika mkutano wa kuomba kura...
Share:

TARURA yatekeleza ahadi za Magufuli

Na. Erick Mwanakulya, Kagera. Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), unaendelea kutetekeleza miradi ya Ahadi za Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kukamilisha ujenzi wa Barabara zenye urefu wa Km 2.76 kwa kiwango cha lami katika Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera. Akizungumza...
Share:

Trump na Mkewe wakutwa na virusi vya corona

Rais Donald Trump wa Marekani amesema kwamba yeye na mke wake Melania Trump wamepatikana na virusi vya corona na wako kwenye karantini. Ametoa tangazo hilo kwenye mtandao wa Twitter. Tangazo hilo linawadia baada ya Trump na wasaidizi wake wawili kuthibitishwa kuambukizwa virusi vya corona. Hope...
Share:

UN YAMUUNGA MKONO RAIS DKT MAGUFULI KUTOKOMEZA UKATILI WA MWANAMKE IKUNGI

  Mkuu wa  Mkoa wa Singida Mhe, Dk. Rehema Nchimbi akizungumza baada ya uzinduzi wa mradi kushoto ni  Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa Nchini Tanzania  Zlatan Milisic Picha ya pamoja kati ya Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Rehema Nchimbi na wawakilishi wa mashrika ya...
Share:

Tundu Lissu atakiwa kuripoti kituo cha Polisi Moshi mkoani Kilimanjaro - IGP Sirro

 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amemtaka mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mhe. Tundu lissu kuripoti kituo cha Polisi Moshi Kilimanjaro kutokana na kitendo chake alichokifanya  akiwa mkoani humo. IGP Sirro amesema hayo jana ambapo alimtaka...
Share:

Mgr: Data Warehousing & Bus Analysis at Vodacom

Joining Vodacom is more than a job, what we do matters. We don’t just carry minutes, texts and data – we carry people’s lives. And that’s a huge responsibility. If you think for a minute about the people you rely on…the likelihood is they rely on us. Customers are at the heart of everything we […] The post Mgr: Data Warehousing & Bus Analysis at Vodacom appeared first on Udahiliportal.com...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa October 2

...
Share:

TBS YATOA MAFUNZO KWA WADAU WA MAFUTA YA KULA KANDA YA KATI

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetekeleza mpango wa mafunzo kwa wazalishaji, wasambazaji na wauzaji wa mafuta ya kula kanda ya kati, yaliyofanyika Mkalama, Kiomboi, Sikonge, Urambo, Shelui, Manispaa ya Tabora,Nzega, Igunga, Manispaa ya Singida, Kondoa Irangi, Kongwa, Mpwapwa, Kibaigwa, Chamwino,...
Share:

Thursday, 1 October 2020

Waziri Bashungwa Ameruhusu Uuzaji Wa Ethanol Nje Ya Nchi

 ...
Share:

Taarifa Kwa Umma Kuhusu Maadhimisho Ya Siku Ya Chakula Duniani

Dodoma, 01 Oktoba, 2020 Wizara ya Kilimo inapenda kuwataarifu wananchi na wadau wote wa sekta ya kilimo nchini kuwa Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani yatafanyika kitaifa mkoani Njombe kuanzia tarehe 10 Oktoba 2020 na kilele chake itakuwa tarehe 16 Oktoba 2020. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo...
Share:

Majaliwa: Tupeni Kiongozi Atakayekuza Mahusiano Na Jirani

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amesema Tanzania inahitaji kuwa na kiongozi ambaye atakuza mahusiano na nchi jirani. “Tanzania inazungukwa na nchi tisa ambazo baadhi yake ziko kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki na nyingine hazimo. Tunahitaji...
Share:

Usichelewe .....Pakua sasa hivi App Ya Mpekuzi Ikiwa na Maboresho Mapya. Ipo PlayStore

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari zetu Haraka Usikubali kupitwa na taarifa muhimu zinazoendelea hapa nchini na Duniani  kwa Ujumla . Tumejipanga vizuri sana kukupatia taarifa sahihi na kwa wakati. 👉1. Tumebadili muonekano na kuufanya kuwa mzuri...
Share:

Msajili Avionya Vyama vya siasa vinavyotaka kuungana siku ya Oktoba 3 mwaka huu

Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini Sisty Nyahoza, ameviasa vyama vya siasa vinavyotaka kuungana siku ya Oktoba 3 mwaka huu, kuacha mara moja mpango huo kwani wanakiuka utaratibu wa sheria na kwamba walianza vizuri hivyo ni vyema kila mmoja akaendelea kunadi sera zake. Nyahoza ametoa kauli...
Share:

Bil 5.26/- zatumika kujenga barabara Ngara

 SHILINGI bilioni 5.26 zimetolewa kupitia Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (TARURA) kwa ajili ya ujenzi na  matengenezo ya barabara katika wilaya ya Ngara, mkoani Kagera. “Kati ya hizo, shilingi bilioni 1.1 zimetengeneza barabara kwa kiwango cha lami kilomita 4.5 katika makao makuu...
Share:

Mama adaiwa kumchinja mwanae wa miaka saba

 Mtoto wa miaka saba  mwanafunzi wa dasara la tatu Shule ya Msingi Ihumwa ameuawa kwa kuchinjwa shingo na mtu anayedaiwa kuwa ni mama yake mzazi, Grace William (45) kisha kutokomea kusikojulikana. Tukio hilo limetokea usiku wa manane kuamkia jana katika Mtaa wa Ihumwa, nje kidogo ya Jiji...
Share:

Serikali yaridhia kutoa hekari 1,625 kwa wananchi

SERIKALI imeridhia kutoa hekari 1,625 kwa wananchi kutoka katika ardhi inayomilikiwa na Jeshi la Magereza Kijiji cha Ilagala Wilaya Uvinza mkoani Kigoma kwa lengo la kuendeleza kilimo cha zao la michikichi, pamoja na shughuli nyingine ikiwemo makazi. Akisoma tamko la serikali kwa niaba ya Waziri...
Share:

KISHINDO CHA MGOMBEA URAIS CCM DKT. JOHN POMBE MAGUFULI MJI WA VWAWA SONGWE LEO

Mambo mbalimbali yaliyojiri na aliyoyazungumza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt John Pombe Magufuli kwenye Mkutano wake mkubwa wa Kampeni za Kuomba Kura kwenye Mji wa Vwawa Uliopo Mkoani Songwe leo Oktoba 1,2020. Kila anakopita Watu wanafurika. Nchi inamtaka Magufuli,...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger