Thursday, 30 April 2020

Makonda Atoa Msaada Wa Mabati Yenye Thamani Ya Shilingi Milioni 476 Kwaajili Ya Kuezeka Nyumba 1,000 Za Wajane Waliokumbwa Na Mafuriko Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo April 30, 2020 ametoa msaada wa mabati yenye thamani ya Tsh. 476m kwa ajili ya Kuezeka nyumba 1,000 za Wajane wa mkoa huo ambazo zimeathiriwa na mafuriko. RC Makonda amewataka pia wananchi waliojenga mabondeni kuhama. RC Makonda amesema hayo wakati...
Share:

Country Representative – Tanzania | Global Development Incubator

Company Description Aceli Africa is a market-enabling facility to mobilize over $700M in private sector lending for agricultural SMEs in Uganda, Kenya, Rwanda, and Tanzania by 2025. To achieve this goal, Aceli Africa will provide financial incentives to increase the risk appetite of 20+ financial institutions (both global and local) to make loans ranging from USD $25K-$1.5M to… Read More » The post...
Share:

Infectious Disease Specialist at Doctors with Africa CUAMM

Doctors with Africa CUAMM is the first NGO in the healthcare area officially recognized in Italy. Deadline Date: Friday, 15 May 2020 Organization: Doctors with Africa CUAMM Country: United Republic of Tanzania City: Shinyanga Founded in 1950 with the aim of training doctors to work in developing countries, CUAMM is working in Angola, Central African Republic, Ethiopia, Mozambique, Sierra… Read...
Share:

WASH Officer-Hygiene Promotion at Danish Refugee council (DRC)

Wash Officer-Hygiene Promotion Categories: WASH Officer-Hygiene Promotion Location: Nduta camp, Kibondo Start Date: ASAP Contract duration: 5 months PURPOSE: The WASH Officer under the management and supervision of the WASH Team Leader will be responsible to implement different activities of DRC related WASH program to ensure the program’s objectives are achieved. The post holder is directly...
Share:

Tangazo La Nafasi Za Kazi Katika Shirika La IFAD

...
Share:

MAMA ALIYEWAPIKIA MAWE WATOTO WAKE APATA MSISIMUKO WA AJABU

Boma la Penina Bahati mtaa wa Mishomoroni, kaunti ya Mombasa. Prisca Momanyi akiwa na simu mpya ya Penina, pia alimsaidia kufungua akaunti kwenye benki. *** Mjane Penina Bahati kutoka Mishomoroni eneo la Mlango Saba, kaunti ya Mombasa nchini Kenya ambaye aliwapikia wanawe mawe baada...
Share:

WAKILI ALBERT MSANDO ASHIKILIWA NA POLISI KWA KUTOA KAULI ZA UCHOCEZI KUHUSU CORONA

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, ACP Koka Moita, amesema kuwa wanamshikilia Wakili wa kujitegemea Albert Msando, baada ya kutoa kauli za uchochezi dhidi ya Serikali juu ya ugonjwa wa COVID-19 kwa madai ya kuwa mkoani humo hali ya maambukizi ni mbaya ili hali yeye hana mamlaka hayo. Kamanda...
Share:

Afrika Kusini Yaripoti Maambukizi Mapya ya Corona 354 Ndani ya Masaa 24....Waliombukizwa Hadi Sasa Nchini Humo ni 5350

Idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona nchini Afrika Kusini imefika watu 5,350 baada ya visa vipya 354 kuthibitishwa, huku idadi vifo ikifikia watu 103 Taarifa kutoka wizara ya afya imesema visa vipya 354 ni vya juu kuwahi kuripotiwa  nchini humo chini ya kipindi cha saa 24. Takriban wiki...
Share:

Rais wa zamani wa Sudan Omar al-Bashir Aomba Kuhamishwa Gereza Baada ya Msaidizi Wake wa Zamani Kupata Corona

Rais wa zamani wa Sudan Omar al-Bashir ametaka kuhamishwa gereza kufuatia habari kwamba mmoja wa wasidizi wake wa zamani ameambukizwa virusi vya Corona.  Bashir amefungwa katika gereza la Kober pamoja na ofisa wa zamani wa Wizara ya mambo ya ndani Bw. Ahmed Hrouna, ambaye alihamishwa katika...
Share:

Trump Aituhumu China Kwamba Inafanya Kila Mbinu Ili Asichaguliwe Tena Kuwa Rais wa Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwamba China inampango wa kutumia kila njia ili kumfanya asichaguliwe  tena kwenye uchaguzi mkuu wa Urais unaotarajiwa kufanyika mwaka huu Katika mahojiano yaliofanyika katika Ikulu ya Whitehouse na chombo cha habari cha Reuters, amesema kwamba China inakabiliwa...
Share:

Mahakama Yaamuru Zitto Kabwe Akamatwe

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, inatarajia kusoma hukumu ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe Mei 29 mwaka huu huku ikitoa hati ya kumkamata kwa kutohudhuria kwenye shauri lake bila taarifa. Amri hiyo ya kumkamata Zitto ambaye anakabiliwa na mashtaka matatu ya uchochezi, ilitolewa jana mbele...
Share:

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira Athibitisha Kuambukizwa Ugonjwa wa Corona

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira ametangaza kuwa ameambukizwa virusi vya corona vinavyosababisha homa ya COVID-19. Kiongozi huyo amesema, hafahamu ameambukizwa lini virusi hivyo na kwamba aliamua kupima kwa sababu kazi anazofanya zinahusisha muingiliano mkubwa na watu. “Nimepima na matokeo...
Share:

Maambukizi ya virusi vya Corona yapindukia 500 Jamhuri ya Demokrasia ya Congo

Visa 500 vya maambukizi vya virusi vya corona vimethibitishwa nchini Jamhuri ya Demokrasia ya Congo, watu 31 wakifariki huku watu 279 wakipona. Kwa mijibu wa kamati iliyobuniwa kukabiliana na mlipuko huo, gereza la Ndolo limeathirika na mlipuko wa virusi hivyo, huku visa 4 vya maambukizi vikiripotiwa...
Share:

Picha : KASHWASA YATOA MSAADA WA MAPIPA KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO DHIDI YA CORONA WILAYA YA SHINYANGA

Mkurugenzi Mtendaji wa KASHWASA Mhandisi Joshua Mgeyekwa (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko mapipa 20 yenye lita 210 kwa ajili ya kukabiliana Virusi Vya Corona ‘Covid – 19’ katika wilaya ya Shinyanga. Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mamlaka ya Maji na Usafi...
Share:

BMT kuandaa muongozo kuhusu ukomo wa wachezaji wa Nje nchini.

Na Shamimu Nyaki, WHUSM-Dodoma Serikali haijatoa ukomo wa wachezaji kutoka nje kushiriki michezo hapa nchini bali imeibua mjadala kwa wadau ili watoe maoni yao.   Hayo yamesemwa Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.Yusuph Singo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni,...
Share:

CCM Watuma Salam za Rambirambi Kifo cha Mbunge Richard Ndassa

...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi April 30

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger