Thursday, 2 April 2020

Tangaza Biashara Yako Au Bidhaa Yako Kwenye Mtandao huu Kwa BEI NZURI Kabisa

Tunakaribisha  matangazo  ya  aina  zote( Bishara, Viwanja, Bidhaa, matangazo ya Vyuo na mengine mengi)  .Bei  zetu  ni  nzuri  sana  na  kamwe  hutajuta  kutangaza  biashara  yako  kupitia  mtandao  huu.... Kwa...
Share:

Madaktari Waomba Vifaa vya Kujikinga na Corona.....Washauri Wagonjwa Wenye kisukari, shinikizo la damu, maumivu ya mgongo Wapewe Dawa za Muda Mrefu Kupunguza Msongamano

Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), kimeiomba Serikali kurefusha matumizi ya dawa kwa wagonjwa wa kisukari, shinikizo la damu, maumivu ya mgongo na misuli ili kupunguza mrundikano wa wagonjwa katika hospitali ikiwa ni juhudi za kupambana na virusi vya Corona. Akizungumza leo Alhamisi Apirli 02,...
Share:

Rais Wa Urusi Vladimir Putin 'Ajifungia Nyumbani' Kukabiliana na Corona

Rais wa Urusi Vladimir Putin kuanzia sasa atakuwa akifanya kazi akiwa nyumbani kwake huko Novo-Ogarevo, karibu na jiji la Moscow, msemaji wa Kremlin amesema siku moja baada ya daktari aliyekutana na rais Putin wiki iliyopita kukapatikana na virusi vya Corona. Kiongozi wa Urusi anatarajiwa leo mchana...
Share:

Watu 884 Wafariki Kwa Virusi Vya Corona Nchini Marekani Ndani ya Masaa 24.....Idadi ya Vifo Yafika 5000

Zaidi ya watu 5,000 wamefariki dunia nchini Marekani kwa sababu ya janga la Corona, ambapo zaidi ya watu 215,000 nchini hump wameambukizwa virusi hivyo, Chuo Kikuu cha Johns-Hopkins kimetangaza, shirika la habari la AFP limeandika. Hii ni baada ya watu 884   kuripotiwa kufariki dunia katika...
Share:

Serikali ya Uganda kuwapatia chakula wananchi milioni 1.5 Walioko Majumbani kutokana na virusi vya Corona

Waziri mkuu wa Uganda Bw. Ruhakana Rugunda amesema serikali ya Uganda itawapatia chakula watu maskini walioko mjini kuanzia Jumamosi wiki hii, ili kupambana na virusi vya Corona. Bw. Rugunda amesema wizara ya mambo ya maafa itawapatia chakula watu wasiopungua milioni 1.5 walioko Kampala na Wakiso,...
Share:

Wasafiri 84 Wawekwa Karantini Tunduma

Katika kutekeleza maagizo ya serikali ya kuhakikisha wasafiri wote wanaotoka katika nchi zenye maambukizi Zaidi ya Virusi vya Corona wanatengwa, jumla ya wasafiri 84 kutoka Nchi ya Afrika Kusini wamewekwa karantini kwa muda wa siku 14 Katika halmashauri ya Mji wa Tunduma. Mkuu wa Mkoa wa Songwe...
Share:

Waziri Wa Kilimo Na Waziri Wa Viwanda Waongoza Kikao Kazi Kujadili Ufungamanishaji Wa Sekta Ya Kilimo Na Mikakati Ya Kutafuta Masoko

Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Wataalamu kutoka Wizara ya Kilimo kadhalika, Wizara ya Viwanda na Bishara, na Taasisi za soko la Bidhaa Tanzania (TMX), Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) na Taasisi ya kuendeleza Kilimo Afrika (AGRA) wamekutana Jijini Dodoma kujadili kwa...
Share:

Taarifa Ya Upotoshaji Inayosambaa Kwenye Mitandao Ya Kijamii Dhidi Ya Waziri Wa Mambo Ya Ndani Ya Nchi George B. Simbachawene

...
Share:

FULL POWER , ZATI 50 SULUHISHO LA KUDUMU NGUVU ZA KIUME NA UUME MDOGO

Sababu za upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume ⇒Ngiri, ⇒Henia ⇒Kisukari ⇒Tumbo kujaa gesi ⇒Kutopata choo vizuri ⇒Utumiaji madawa kwa muda mrefu ⇒Unywaji wa pombe kupita kiasi ⇒Msongo wa mawazo  ⇮⇒Haya yote hupelekea mwili kutokuzalisha homoni ya gesrtogine au kuwa...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi April 2

...
Share:

Wednesday, 1 April 2020

LIVE: Waziri Mkuu Akihutubia Bungeni

LIVE:  Waziri Mkuu Akihutubia Bungeni ...
Share:

Marekani Yasema Huenda Watu 240,000 Wakafariki Kwa Corona Nchini Humo...Trump Atangaza Hali Ngumu Zaidi Wiki Mbili Zijazo

Rais Donald Trump wa Marekani jana amesema nchi hiyo inakumbwa na changomoto kubwa zaidi kihistoria, na wiki mbili zijazo zitakuwa kipindi kigumu zaidi kwa nchi yake, na kusisitiza kuwa kufuata pendekezo la kujikinga na virusi vya Corona kunahusiana na uhai wa watu. Mtaratibu wa Ikulu ya Marekani...
Share:

Ndege ya Urusi Yaelekea Marekani Na Vifaa vya Kukabiliana Na Virusi Vya Corona

Wizara ya afya nchini Urusi imesema leo kuwa ndege ya nchi hiyo iliyobeba vifaa vya tiba imeondoka nchini humo kuelekea Marekani, huku ikulu ya Kremlini ikitanua ushawishi wake wakati huu wa janga la virusi vya corona. Video iliyotolewa na wizara hiyo, ilionyesha ndege hiyo ya mizigo iliyobeba masanduku...
Share:

Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mtangazi wa TBC, Marin Hassan

“Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko taarifa za kifo cha ghafla cha mtangazaji maarufu na mahiri Ndg. Marin Hassan kilichotokea leo asubuhi Jijini Dar es Salaam. Marin Hassan aliipenda kazi yake ya uandishi wa habari, aliifanya kwa weledi wa hali ya juu, alikuwa mzalendo wa kweli na alidhamiria kuitumikia...
Share:

Mtoto wa Hayati Edward Moringe Sokoine Azikwa, Mamia Wamsindikiza

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo ameongoza watumishi wa Ofisi yake katika mazishi ya Alazaro Sokoine ambaye ni mtoto Mkubwa wa Hayati Edward Moringe Sokoine. Mazishi hayo yamefanyika jana Monduli Juu Mkoani Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, ndugu,...
Share:

CORONA YASAMBAA KATIKA NCHI 50 AFRIKA

Kituo cha udhibiti na kuzuia magonjwa vya Umoja wa Afrika kimesema kuwa watu 172 wamepoteza maisha baada ya kuambukizwa virusi vya Covid-19 barani Afrika. Ugonjwa wa corona umeenea katika nchi 50 barani. Kwa ujumla, watu 5,413 wameambukizwa. Mpaka sasa hakuna taarifa zozote za maambukizi nchini...
Share:

KARIBU NNIENET LINGEIRIES STORE SHINYANGA MJINI KWA NGUO ZA NDANI 'UNDER WEAR'

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger