Tuesday, 3 March 2020

PICHA: Rais Magufuli Akutana Na Kufanya Mazungumzo Na Maalim Seif Sharif Hamad Ikulu Jijini Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwanasiasa Mkongwe ambaye ni Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad kwa kutokugusana mikono, Ikulu Jijini Dar es Salaam. Salamu hiyo ya kutokugusana mikono ni kutekeleza ushauri ya...
Share:

Waliofuja Mali Za Mkonge Kuchukuliwa Hatua Kali

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itawachukulia hatua watu wote waliohusika na ubadhilifu wa mali zikiwemo nyumba za Mamlaka ya Mkonge Tanzania. Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika  mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu...
Share:

Waziri Mkuu Asema Serikali imeamua kuzuia uingizwaji wa saruji kutoka nje ya nchi Ili Kulinda Viwanda Vya Ndani

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kufanya kazi kwa kushirikiana na wawekezaji katika sekta mbalimbali nchini wakiwemo wenye viwanda vya kuzalisha saruji. Amesema katika kuhakikisha inalinda viwanda vya ndani vya kuzalisha saruji Serikali imeamua kuzuia uingizwaji wa saruji...
Share:

Assistant Surveyor at TANROADS

ASSISTANT SURVEYOR   TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY (TANROADS) is a Semi – Autonomous Agency under the Ministry of Work, Communication and Transport established on July 1st 2000 and is responsible for the day-to-day management of the Tanzania Mainland’s Trunk and Regional roads Network. Its primary functions include the Management of Maintenance and Development Works, Operation of the Network...
Share:

Ujenzi wa daraja lililokatika Barabara Kuu ya Dodoma-Morogoro Waanza Kwa Kasi.....Waziri wa Ujenzi, Naibu Wake, Mkuu wa Mkoa Wako Eneo la Tukio

Waziri wa ujenzi Mhandisi Isack Kamwelwe, naibu waziri, Elias Kwandikwa, mkuu wa mkoa wa Morogoro na viongozi wa wizara wamewasili katika eneo la Kiyegeya lilipokatika daraja kwa kazi ya kurudisha mawasiliano ya barabara kuu ya Dodoma - Morogoro. Kazi ya matengenezo ya daraja hilo imeanza kwa kuweka...
Share:

Godbless Lema Akamatwa, Apelekwa Singida akituhumiwa kutoa taarifa za Uongo

Jeshi la Polisi mkoani Singida, limethibitisha kumkamata Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwa ajili ya mahojiano akituhumiwa kutoa taarifa zisizo sahihi zenye lengo la kulichonganisha jeshi hilo na wananchi mnamo Februari 29, 2020, wilayani Manyoni. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Sweetbert...
Share:

Jobs at The Mott MacDonald Group – Consultants

Position: CALL FOR EXPRESSION OF INTEREST Location: Dar es salaam Employer: Cambridge Education Job Summary Cambridge Education in consortium with Mott MacDonald is seeking to recruit consultancy services for the establishment of call centre for one its donor-funded client. The consultancy should be based in Tanzania and will aim at developing a fully operational call center using whichever… Read...
Share:

Senegal na Tunisia Zathibitisha kuwa na waathirika wa corona

Senegal na Tunisia zimethibitisha kuwa na waathirika wa corona.  Waziri wa afya wa Senegal Bw. Abdoulaye Diouf Sarr amesema mgonjwa aliyeambukiziwa ni raia wa Ufaransa, baba wa watoto wawili, alirudi Dakar mnamo tarehe 26 mwezi Februari kutoka Paris kwa ndege ya Senegal, baada ya safari ya...
Share:

Customer Service Agent at SPENN Tanzania Limited

Position: Customer Service Agent Location: Dar es salaam Job Summary SPENN is a global Mobile Banking App developed by Blockbonds AS, a Norwegian Fintech company. Through the SPENN app, everyone can access services such as; payments to anyone, anywhere, shop in local stores, e-commerce, saving money and investment capabilities secure, instantly and free. The SPENN app is completely free… Read...
Share:

Benjamin Netanyahu Aelekea Kushinda Uchaguzi Israel, Lakini Anaweza Asipate Viti vya Kutosha Kuunda Serikali

Chama cha Likud cha Israel kinachoongozwa na waziri mkuu Bw. Benjamin Netanyahu kimepata viti vingi kwenye uchaguzi wa bunge, lakini takwimu zinaonyesha kuwa hakikupata viti vya kutosha kuunda serikali. Takwimu zinaonyesha kuwa Bw. Netanyahu na vyama washirika vyenye mrengo wa kulia wa uyahudi wa...
Share:

Jeshi la Syria ladhibiti tena Mji wa Kimkakati wa Saraqeb...Uturuki yaitishia Ulaya, Urusi yatia Neno

Vikosi vya utawala vya Syria vinadhibiti tena Saraqeb, tangu Jumatatu Machi 2. Saraqeb ni eneo la kimkakati nchini Syria.  Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, anatarajiwa kuzuru Urusi, Alhamisi Machi 5. Recep Tayyip Erdogan anatarajia kupata mkataba wa kusitisha mapigano kutoka kwa mwenzake...
Share:

Subcontracting Lead at Alistair Group

Subcontracting Lead Are you someone with a “hunger for growth”, a “whatever it takes mentality” and understand the advantages of a team environment and what it takes to thrive in one? Are you someone who “Questions things” and “looks for improvements”? Do you have experience in taking a fast growing business to a greater height? Then you may… Read More » The post Subcontracting Lead at Alistair Group...
Share:

Job at NBC Bank – Manager Cash

Manager Cash  NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services. Job Description​ Customer relationship management: Relationship Management and Client Solutioning, Develop, manage and retain a portfolio of clients by building strong and sustainable relationships...
Share:

Vijana wa Skauti Watakiwa kuwa Mabalozi wazuri katika kutoa elimu kwa Umma juu ya madhara ya Rushwa .

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma Vijana  wa Skauti hapa nchini wametakiwa kuwa Mabalozi wazuri katika kutoa elimu kwa Umma  juu ya madhara ya rushwa  . Rai hiyo imetolewa jana Machi,2,2020  jijini Dodoma na Waziri wa nchi,Ofisi ya Rais ,Menejimenti ya utumishi wa Umma na Utawala...
Share:

Wananchi Watakiwa kuunga mkono juhudi za Serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya kikatili hasa kwa wanawake na watoto.

Na Mwandishi Wetu Tabora Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewataka wananchi wa Mkoa huo kuunga mkono juhudi za Serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya kikatili hasa kwa wanawake na watoto. Mkuu wa mkoa huyo ameyasema hayo jana mkoani humo wakati akiupokea Msafara wa Kijinsia kutokomeza...
Share:

Waziri Mkuu Majaliwa Asema Serikali Iko Imara Kuwahudumia Wananchi....Apiga Marufuku Watumishi wa Umma Kumaliza Wiki Wakiwa Maofisini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano iko imara na inamipango madhubuti ya kuwahudumia na kuwatumikia Watanzania katika maeneo yote nchini. Ili kutimiza adhima hiyo, Waziri Mkuu amepiga marufuku kitendo cha watumishi wa umma kumaliza wiki wakiwa maofisini na badala yake...
Share:

Job Vacancies at ActionAid Tanzania

ActionAid is an international anti-poverty agency working in over 47 countries, taking sides with People living in poverty and exclusion to end poverty and injustice together. Whilst all applicants will be assessed strictly on their individual merits, qualified women are especially encouraged to apply. ActionAid started its operation in Tanzania in 1998. ActionAid Tanzania (AATZ) envisions seeing...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger