Friday, 31 January 2020

Spika Ndugai Asema Wanamsubiri Zitto Kabwe awaeleze kwanini aliandika barua kwa benki ya dunia kuzuia mkopo kwa ajili ya elimu nchini

Spika wa Bunge, Job Ndugai Leo Ijumaa Januari 31, 2020 amesema wanamsubiri Mbunge Zitto Kabwe awaeleze kwanini aliandika barua kwa benki ya dunia kuzuia mkopo kwa ajili ya elimu nchini  Fedha za mkopo huo ambazo ni zaidi ya Sh1.2 Trilioni zingeelekezwa katika programu za shughuli za elimu. Kikao...
Share:

Waziri Mkuu: Serikali Haiwezi Kufuta uchaguzi wote wa Serikali za Mitaa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema licha ya kuwepo kwa ugatuaji wa madaraka (D by D), Serikali za Mitaa bado zina wajibu wa kuwahudumia wananchi kwa sababu ziko karibu nao zaidi kuliko Serikali Kuu. Ametoa kauli hiyo jana (Alhamisi, Januari 30, 2020) bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la...
Share:

Tanzanian Consultant to Manage HIV Data Collection

Tanzanian Consultant to Manage HIV Data Collection Company Overview: Palladium is a global leader in the design, development and delivery of Positive Impact – the intentional creation of enduring social and economic value. We work with foundations, investors, governments, corporations, communities and civil society to formulate strategies and implement solutions that generate lasting social, environmental...
Share:

Madini na Viwanda Vyaleta Mageuzi ya Uchumi Nchini

Na. Immaculate Makilika – MAELEZO Mauzo ya bidhaa nje ya nchi zisizo kuwa za kawaida yameongezeka kwa asilimia 41.9 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), mwezi  Novemba, mwaka jana. Hayo yamesemwa jana Jijini Dodoma  na Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO...
Share:

Serikali Yasema Mkopo wa Benki ya Dunia wa Dola za Marekani Milioni 500 kwa nchi ya Tanzania haujasitishwa bali majadiliano yanaendelea.

Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Dk Hassan Abbasi amewatoa hofu Watanzania kuhusu madai kuwa Benki ya Dunia (WB) imesitisha kutoa mkopo wa masharti nafuu wa Dola 500 milioni za Kimarekani kwa Tanzania, akibainisha kuwa bado wapo kwenye mazungumzo. Ameeleza hayo jana Alhamisi Januari 30, 2020 katika...
Share:

Uchumi wa Tanzania Wazidi Kukua na Kuimarika

Na Immaculate Makilika - MAELEZO Hali ya uchumi wa Tanzania imezidi kuimarika na kukua  kwa asilimia 6.9 ikiwa ni  takwimu za hadi mwezi Septemba 2019, huku lengo likiwa ni kufikia asilimia 7.0% na 7.1% . Taarifa iliyotolewa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) Januari 20 mwaka huu, inaonesha ...
Share:

IT Support Associate Job Opportunity at Sokowatch

IT Support Associate About Us: Sokowatch is transforming communities across Africa by revolutionizing access to essential goods and services. By connecting small shops to the digital economy, we fix inefficient supply chains and provide services that were previously unavailable. Sokowatch aims to provide everything a retailer needs, no wholesalers or banks necessary. Reporting To: Support Manager...
Share:

Rugemalira Afunguka Mazito Mahakamani

Mfanyabiashara  James Rugemalira, amedai mahakamani kwamba ameandika barua kwenda kwa Kamishna  Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kumwelezea  namna benki ya Standard Chartered Hong Kong ilivyokuwa ikikwepa kodi na ushuru wa forodha.  Mshtakiwa huyo na wenzake wawili...
Share:

LIVE BUNGENI : Mkutano Wa Kumi Na Nane - Kikao Cha Nne: Tarehe 31 Januari, 2020

LIVE BUNGENI : Mkutano Wa Kumi Na Nane - Kikao Cha Nne: Tarehe 31 Januari, 2020...
Share:

Monitoring Evaluation and Learning Intern requred at Policy Forum,

Position: Monitoring Evaluation and Learning Intern Policy Forum is incorporated as a Non-Governmental Organizations with registration No. NGO/R2/00015. The Policy Forum (PF) is a network of more than 76 Tanzanian civil society organizations drawn together by their specific interest in enhanced public money accountability at both the central and local levels by improving civil society capabilities...
Share:

Majibu ya serikali kuhusu dhamana kwa Wanaotuhumiwa kwa Makosa ya Uhujumu Uchumi

Serikali imesema kuwa endapo mbunge ataona kuwa kuna haja ya kubadilishwa sheria ya makosa ya uhujumu uchumi ili watuhumiwa wa makosa hayo yawe na dhamana awasilishe hoja yake bungeni kwani Bunge ndiyo chombo chenye mamlaka ya kutunga na kubadili sheria. Hayo yamesemwa jana bungeni na Naibu Waziri...
Share:

PICHA: Kangi Lugola Alivyowasili TAKUKURU Kwa Ajili ya Kuhojiwa

Mbunge wa Mwibara na Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewasili makao makuu ya ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa. ...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa January 31

...
Share:

Research, Monitoring and Evaluation Coordinator at VSO Dar es Salaam

Research, Monitoring and Evaluation coordinator Location: Dar Es Salaam, Tanzania Salary: Competitive Contract type: Permanent Contract length: Open Application Closing Date: 11 Feb 2020 VSO is the world’s leading independent international development organisation that works through volunteers to fight poverty in developing countries. Our high-impact approach brings people together to share skills,...
Share:

Technicians (2 positions) Job at Sahel Trading Co. Ltd

Overview Sahel Trading Co. Ltd registered under section 15 of the companies ordinance 1984 (ACT 2002) invites Applicants for the following position: POSITION: Technicians (2 positions) Bachelor Degree/ Diploma in Electrical Engineering Additional Qualification related to Technician will be preferred Three Years’ Experience in Digital Weighing Systems and Industrial Automation MODE OF APPLICATION:...
Share:

Director & National Research Co-ordinator Morogoro

Our Vision A fair water future for all in Tanzania where water is managed in a fair, efficient and sustainable way to support communities, business and ecosystems. Our Mission To work in partnership to advocate for water security and governance for communities, business and ecosystems thereby making an important contribution to achieving the Sustainable water security of Tanzanians.… Read More » The...
Share:

Thursday, 30 January 2020

Maalim Seif Ajitosa Kugombea Uenyekiti wa ACT-Wazalendo

Mshauri Mkuu wa Chama cha siasa nchini Tanzania cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa wa chama hicho. Maalim Seif amechukua fomu hiyo leo Alhamisi Januari 30, 2020 ofisi ndogo ya chama hicho Vuga Mjini Unguja na kukabidhiwa na Kaimu Katibu...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger