Friday, 31 January 2020

IT Support Associate Job Opportunity at Sokowatch

IT Support Associate About Us: Sokowatch is transforming communities across Africa by revolutionizing access to essential goods and services. By connecting small shops to the digital economy, we fix inefficient supply chains and provide services that were previously unavailable. Sokowatch aims to provide everything a retailer needs, no wholesalers or banks necessary. Reporting To: Support Manager Location: Dar… Read More »

The post IT Support Associate Job Opportunity at Sokowatch appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Rugemalira Afunguka Mazito Mahakamani

Mfanyabiashara  James Rugemalira, amedai mahakamani kwamba ameandika barua kwenda kwa Kamishna  Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kumwelezea  namna benki ya Standard Chartered Hong Kong ilivyokuwa ikikwepa kodi na ushuru wa forodha. 

Mshtakiwa huyo na wenzake wawili wanakabiliwa na tuhuma za uhujumu uchumi ikiwamo kutakatisha fedha.

Rugemalira alitoa hoja hiyo jana Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi, wakati kesi hiyo ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa.

Alitoa madai hayo baada ya Mwendesha Mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Maghela Ndimbo, kudai kuwa kesi ilipangwa kwa ajili ya kutajwa na upelelezi wake bado haujakamilika.

Rugemalira aliomba ruhusa ya kuzungumza na aliporuhusiwa alidai kuwa Januari 24, mwaka huu, alizungumza na mwakilishi wa Takukuru alipotembelea mahabusu na akamkabidhi nakala ya barua hiyo aliyoandika kwenda kwa Kamishna Mkuu wa TRA lakini mpaka sasa hajapata majibu yake.

"Mheshimiwa Hakimu, naomba mahakama yako itakapopanga tarehe nyingine ya kutajwa, upande wa Jamhuri walete majibu kwa sababu wanaostahili kushtakiwa katika kesi hii ni benki hiyo lakini nashangaa kuona wengine wanaunganishwa kwa madai upelelezi haujakamilika.

"Mheshimiwa Hakimu upelelezi wa kesi hii hautakamilika. Kama kweli wanataka ukamilike, wafuatilie hiyo barua aliyowapelekea TRA,” alidai Rugemalira.

Baada ya maelezo hayo, Hakimu Shaidi alisema kesi hiyo itatajwa Februari 13, mwaka huu, na washtakiwa wataendelea kukaa mahabusu.

Mbali na Rugemalira, washtakiwa wengine ni Harbinder Sethi na Joseph Makandege.

Katika kesi ya msingi ya uhujumu uchumi namba 27/2017, Makandege anakabiliwa na mashtaka matano likiwamo la kuisababishia serikali hasara ya dola za Marekani 980,000 pamoja na utakatishaji wa Fedha.

Kwa upande wa Sethi na Rugemalira, walifikishwa mahakamani hapo zaidi ya miaka miwili na wamekaa rumande, kutokana na upelelezi wa kesi yao kutokukamilika.

Washitakiwa hao kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka 12 yakiwamo ya utakatishaji fedha na kusababisha hasara ya Dola za Marekani 22,198,544.60 na Sh 309,461,300,158.27, kwa mara ya kwanza walifikishwa mahakamani hapo Juni 19, 2017.


Share:

LIVE BUNGENI : Mkutano Wa Kumi Na Nane - Kikao Cha Nne: Tarehe 31 Januari, 2020

LIVE BUNGENI : Mkutano Wa Kumi Na Nane - Kikao Cha Nne: Tarehe 31 Januari, 2020


Share:

Monitoring Evaluation and Learning Intern requred at Policy Forum,

Position: Monitoring Evaluation and Learning Intern Policy Forum is incorporated as a Non-Governmental Organizations with registration No. NGO/R2/00015. The Policy Forum (PF) is a network of more than 76 Tanzanian civil society organizations drawn together by their specific interest in enhanced public money accountability at both the central and local levels by improving civil society capabilities and opportunities… Read More »

The post Monitoring Evaluation and Learning Intern requred at Policy Forum, appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Majibu ya serikali kuhusu dhamana kwa Wanaotuhumiwa kwa Makosa ya Uhujumu Uchumi

Serikali imesema kuwa endapo mbunge ataona kuwa kuna haja ya kubadilishwa sheria ya makosa ya uhujumu uchumi ili watuhumiwa wa makosa hayo yawe na dhamana awasilishe hoja yake bungeni kwani Bunge ndiyo chombo chenye mamlaka ya kutunga na kubadili sheria.

Hayo yamesemwa jana bungeni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandishi Hamad Masauni wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika kikao cha pili cha mkutano wa 18 wa Bunge la 11 alipokuwa akijibu swali lililoulizwa na Mbunge wa Viti Maalum, Sabreena Hamza Sungura.

Katika swali lake mbunge huyo aliuliza, “Kutokana na msongamano wa mahabusu na wafungwa magerezani, Je! Serikali haioni ni muda muafaka sasa wa kubadili sheria hiyo ili majaji waweze kutoa dhamana kwa watuhumiwa, kwani kwa hali ilivyo sasa hata mtu anayetuhumiwa kuhujumu Tsh 20,000 ananyimwa dhamana?

“Ni mamlaka ya Bunge hili kutunga sheria na kubadilisha pale unapoona inafaa, na yeye ni mbunge wa Bunge hili na kanuni anazifahamu. Kama anaona kuna utaratibu unaofaa (kubadili sheria), ni haki ya mbunge kutumia haki yake ya kikanuni,” ameeleza Masauni.

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania kwa sasa, mtu akishtakiwa kwa kosa la uhujumu uchumi, mahakama haina mamlaka ya kumpa dhamana, na kwamba atakaa rumande hadi hapo hukumu ya kesi itakapotolewa ama aachiwe huru au apewe adhabu.


Share:

PICHA: Kangi Lugola Alivyowasili TAKUKURU Kwa Ajili ya Kuhojiwa

Mbunge wa Mwibara na Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewasili makao makuu ya ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa.



Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa January 31




Share:

Research, Monitoring and Evaluation Coordinator at VSO Dar es Salaam

Research, Monitoring and Evaluation coordinator Location: Dar Es Salaam, Tanzania Salary: Competitive Contract type: Permanent Contract length: Open Application Closing Date: 11 Feb 2020 VSO is the world’s leading independent international development organisation that works through volunteers to fight poverty in developing countries. Our high-impact approach brings people together to share skills, build capabilities, promote international understanding and… Read More »

The post Research, Monitoring and Evaluation Coordinator at VSO Dar es Salaam appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Technicians (2 positions) Job at Sahel Trading Co. Ltd

Overview Sahel Trading Co. Ltd registered under section 15 of the companies ordinance 1984 (ACT 2002) invites Applicants for the following position: POSITION: Technicians (2 positions) Bachelor Degree/ Diploma in Electrical Engineering Additional Qualification related to Technician will be preferred Three Years’ Experience in Digital Weighing Systems and Industrial Automation MODE OF APPLICATION: Application along with Curriculum Vitae… Read More »

The post Technicians (2 positions) Job at Sahel Trading Co. Ltd appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Director & National Research Co-ordinator Morogoro

Our Vision A fair water future for all in Tanzania where water is managed in a fair, efficient and sustainable way to support communities, business and ecosystems. Our Mission To work in partnership to advocate for water security and governance for communities, business and ecosystems thereby making an important contribution to achieving the Sustainable water security of Tanzanians.… Read More »

The post Director & National Research Co-ordinator Morogoro appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Thursday, 30 January 2020

Maalim Seif Ajitosa Kugombea Uenyekiti wa ACT-Wazalendo

Mshauri Mkuu wa Chama cha siasa nchini Tanzania cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa wa chama hicho.

Maalim Seif amechukua fomu hiyo leo Alhamisi Januari 30, 2020 ofisi ndogo ya chama hicho Vuga Mjini Unguja na kukabidhiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa ACT- Wazalendo, Doroth Semu.

Baada ya kupewa fomu, Maalim Seif amesema sababu kuu ya kuwania nafasi hiyo inatokana na uwezo wake pamoja na uzoefu alionao wa kisiasa kwa zaidi ya miaka 25 hivi sasa.

Amesema kupitia uzoefu huo ana amini nafasi ya uenyekiti taifa ataweza kuihudumia kwa lengo la kuleta mabadiliko makubwa ndani ya Chama hicho, ambacho hivi sasa kinapanga safu zake za uongozi kwa mujibu wa katiba.


Share:

Senior Insurance Officer at Air Tanzania Company Limited (ATCL)

Senior Insurance Officer  Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet as part of implementation of its five years Corporate Strategic Plan (2017-2021). In line with this expansion, the company is also making some reforms in its structure, internal operations and staffing to accommodate business… Read More »

The post Senior Insurance Officer at Air Tanzania Company Limited (ATCL) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Aircraft Engineers at Air Tanzania Company Limited (ATCL)

Aircraft Engineers  (4 Posts) Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet as part of implementation of its five years Corporate Strategic Plan (2017-2021). In line with this expansion, the company is also making some reforms in its structure, internal operations and staffing to accommodate… Read More »

The post Aircraft Engineers at Air Tanzania Company Limited (ATCL) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Ujumbe wa Kwanza wa Mke wa Kobe Bryant Tangu Afiwe na Mume wakena Mwanae

Vanessa Bryant ambae ni Mke wa Legend wa Basketball Marehemu Kobe Bryant, ameandika kwenye Instagram kwa mara ya kwanza toka kifo cha Mumewe, Mtoto wake na Watu wengine kwenye ajali ya Helikopta Jumapili iliyopita.

“Mimi na Watoto wangu wa kike tunashukuru mamilioni ya Watu walioonesha support na upendo kwenye kipindi hiki kigumu, asanteni kwa maombi hakika tunayahitaji

“Maneno hayatoshi kuelezea maumivu tuliyonayo sasa hivi, tumeumizwa na kifo cha Kobe na Gigi, walikua baraka sana kwetu wamechukuliwa mapema, tumeumizwa na vifo vya wengine pia waliokua pamoja”

“Kwa heshima ya Familia ya Mamba Family, Mamba Sports Foundation imeandaa mfuko wa kuchangia fedha kuzi-support familia nyingine zilizoathirika na msiba huu, kuchangia tafadhali nenda mambaonthree.org”

==>>Ujumbe wa Vanessa;“My girls and I want to thank the millions of people who’ve shown support and love during this horrific time. Thank you for all the prayers. We definitely need them. We are completely devastated by the sudden loss of my adoring husband, Kobe — the amazing father of our children; and my beautiful, sweet Gianna — a loving, thoughtful, and wonderful daughter, and amazing sister to Natalia, Bianka, and Capri.
    We are also devastated for the families who lost their loved ones on Sunday, and we share in their grief intimately.
    There aren’t enough words to describe our pain right now. I take comfort in knowing that Kobe and Gigi both knew that they were so deeply loved. We were so incredibly blessed to have them in our lives. I wish they were here with us forever. They were our beautiful blessings taken from us too soon.
    I’m not sure what our lives hold beyond today, and it’s impossible to imagine life without them. But we wake up each day, trying to keep pushing because Kobe, and our baby girl, Gigi, are shining on us to light the way. Our love for them is endless — and that’s to say, immeasurable. I just wish I could hug them, kiss them and bless them. Have them here with us, forever.
    Thank you for sharing your joy, your grief and your support with us. We ask that you grant us the respect and privacy we will need to navigate this new reality.
    To honor our Team Mamba family, the Mamba Sports Foundation has set up the MambaOnThree Fund to help support the other families affected by this tragedy. To donate, please go to MambaOnThree.org.
    To further Kobe and Gianna’s legacy in youth sports, please visit MambaSportsFoundation.org.

    Thank you so much for lifting us up in your prayers, and for loving Kobe, Gigi, Natalia, Bianka, Capri and me. #Mamba #Mambacita #GirlsDad #DaddysGirls #Family ❤️”


Share:

Waziri Mkuu Atoa Ufafanuzi Changamoto za NIDA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imeongeza watumishi wa NIDA pamoja na vifaa ili kuondoa changamoto kwa Watanzania za kupata vitambulisho vya uraia.

Amesema hayo leo Alhamisi  akiwa katika kipindi cha Maswali na majibu kwa Waziri Mkuu Bungeni.

“Watanzania wengi tulikuwa hatujawafikia kuwapa vitambulisho vya NIDA mpaka ngazi ya vijiji na kule vitongojini, jambo hili Serikali imelifanyia kazi kwanza tumeongeza idadi ya watumishi kwenye ngazi ya Halmashauri, pili tumeongeza mitambo ya kufanyia kazi.
 
“Yako maeneo tumeongeza umakini mkubwa hasa maeneo ya mipakani kwa lengo la kuzuia wananchi wa Nchi jirani kujipatia kitambulisho cha NIDA nchini Tanzania halafu akafanya mambo yake huku ndani kupitia kitambulisho cha nchi kwa hiyo mtaona kunaweza kuwa na uchelewashwaji huko kwenye miji iliyoko mipakani na nchi jirani na Tanzania kwa sababu tunafanya zoezi ili kwa umakini kwa lengo la kutoa kitambulisho kwa mtanzania tu” - Amesema Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa


Share:

Kangi Lugola Kuhojiwa na TAKUKURU Kesho

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola anatarajiwa kuhojiwa kesho na Taasisi ya Kuzuia Na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo, Brigedia Jenerali, John Mbungo amesema walianza kukusanya taarifa za awali ambazo zimeshakamilika na wahusika wote wataitwa kesho kuhojiwa.

Rais Dkt John Magufuli alitengua uwaziri wa Lugola kutokana na tuhuma za utiaji saini makubaliano ya zabuni ya kununua vifaa vya Zimamoto na Uokoaji vyenye thamani ya Euro Mil. 408.2 kutoka kampuni moja ya nje ya nchi.


Share:

Senior Accountants at Air Tanzania Company Limited (ATCL) ( 4 posts)

Senior Accountants (4 Posts) Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet as part of implementation of its five years Corporate Strategic Plan (2017-2021). In line with this expansion, the company is also making some reforms in its structure, internal operations and staffing to accommodate business… Read More »

The post Senior Accountants at Air Tanzania Company Limited (ATCL) ( 4 posts) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger