Saturday, 2 November 2019

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi November 2

...
Share:

Friday, 1 November 2019

KIJANA ALIYEFUNGWA MINYORORO CHUMBANI AFUNGULIWA SHINYANGA

Kijana wa miaka 26, mkazi wa Old Shinyanga katika Manispaa ya Shinyanga, aliyekuwa amefungwa minyororo chumbani kwa miezi miwili, Shadrack Johanes amefunguliwa na kufanyiwa usafi, kuvishwa nguo na kuanza kupatiwa matibabu ya afya ya akili. Shadrack Johanes, alifunguliwa minyororo hiyo jana mara...
Share:

ALIYESHIRIKI KUTUNGA SHERIA YA KUZUIA UZINZI AFUMANIWA AKIHONDOMOLA MKE WA MTU

Mwanaume mmoja nchini Indonesia ambaye alishiriki kwa kiasi kikubwa kuandaa Muswada wa sheria ya kupinga vitendo vya uzinifu nchini humo amekamatwa akizini na mke wa mtu. Mukhlis bin Mudammad ni mmoja kati ya wwanachama wa baraza la wanatheolojia ambalo lilisaidia kutunga sheria za Kiisilamu kupinga...
Share:

IDRIS ARIPOTI TENA POLISI MAKOSA YA MTANDAO...ANATUHUMIWA KUSAMBAZA UONGO NA KUJIFANYA RAIS

Na Pamela Chilongola, Mwananchi   Mchekeshaji na mshindi wa shindano la Big Brother 2014, Idris Sultan ameripoti kituo cha polisi kati leo Ijumaa Novemba Mosi, 2019 na kuhojiwa kwa dakika 30 na kutakiwa kuripoti tena Jumatano Novemba 6, 2019. Jana asubuhi, Idris aliripoti kituoni hapo na...
Share:

AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUMJERUHI ASKARI POLISI KWA KUTUMIA PAKA 'NYAU'

Vyombo vya habari vya Urusi vimeripoti kuwa mwanaume mmoja mjini Moscow anakabiliwa na kifungo cha miaka mitano kwa kosa la kumtumia paka 'nyau' kama silaha yake. Mtuhumiwa huyo Gennady Shcherbakov anatuhumiwa kwa kumrushia polisi paka wakati ambapo polisi alikuwa ameenda kuthibiti kelele ambazo...
Share:

BIDHAA ZILIZOISHA MUDA WA MATUMIZI,ZILIZOBADILISHWA LEBO ZAKAMATWA KWENYE MADUKA SHINYANGA MJINI

Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Shinyanga ikishirikiana na wakaguzi kutoka shirika la viwango TBS imefanikiwa kukamata shehena ya bidhaa zilizoisha muda wa zikiendelea kuuzwa katika maduka makubwa maarufu kama Supermarket mjini Shinyanga. Bidhaa hizo zimekamatwa jana kutokana na msako katika...
Share:

Kijana Aliyemtishia Mwenzake Kwa Bastola Yamkuta Mazito....IGP Amtaka Ajisalimishe Polisi

Inspekta Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amemtaka kijana aliyemtishia mwenzake bastola kuripoti polisi baada ya kuonekana akifanya kitendo hicho katika picha za video zinazosambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii nchini. Mbali na kuripoti, Sirro amesema anatakiwa kusalimisha...
Share:

MIEZI 15 YA MRADI WA ELIMU KWA VISHIKWAMBI WAKAMILIKA

 Mgeni rasmi Katibu Tawala mkoa wa Tanga, Zena Said akitoa hotuba wakati wa kufunga wakati wa hafla fupi ya kufunga mradi wa XPRIZE- uliokuwa ukiratibiwa na UNESCO kwa kushirikiana na WFP wa kuwapatia elimu watoto walio nje ya mfumo rasmi kupitia ubunifu wa Teknolojia kwa kutumia Vishikwambi...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger