Saturday, 19 October 2019

Project Officer – Gender & Advocacy at World Vision Tanzania

Project Officer – Gender & Advocacy at World Vision Tanzania Purpose of the position: To coordinate the development of ENRICH project Gender and Advocacy strategy and oversee the implementation of the strategy. The gender specialist will be responsible for facilitating training on gender equality and Advocacy for staff and partners and for monitoring gender equality and advocacy results.… Read More »

The post Project Officer – Gender & Advocacy at World Vision Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Technical Manager Job at Mbeya Water Supply and sanitation Authority 2019

Technical Manager Deadline of this Job: 05th Nov 2019 JOB DETAILS: Mbeya Water Supply and sanitation Authority (Mbeya WSSA) is an autonomous water supply organization mandated to provide water and sewerage disposal services within the urban area of Mbeya city. It was established in January 1998 under section 3(1) of Act No.8 OF 1997, repealed by Act No.12… Read More »

The post Technical Manager Job at Mbeya Water Supply and sanitation Authority 2019 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Technical Manager Job Opportunity at Mbeya Water Supply and Sanitation Authority

JOB TITLE: Technical Manager (1 Post) Major The Technical Manager shall be the Head of the Technical Department responsible for water production, water distribution, waste water disposal, planning, designingand construction, maintenance and repair activities of the Authority within Mbeya WSSA. Specific » To be responsible for the performance of all water supply and sanitation systems according to agreed… Read More »

The post Technical Manager Job Opportunity at Mbeya Water Supply and Sanitation Authority appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Wasiooa na kuolewa kucharazwa bakora Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema kuwa hivi sasa wanatumia bakora katika kila jambo hata kwa watu ambao wanakaa tu nyumbani wakati wamefikisha umri wa kuoa na kuolewa.

Chalamila amesema kuwa bakora ndiyo njia pekee ambayo inasaidia katika kunyoosha mambo.

"Maana siku hizi tumeanza kutumia viboko kwenye kila jambo hata tukikuta umekaa pale nyumbani uolewi ni bakora tu kwamba nenda katafute mume, tunakuona umekaa pale nyumbani huoi ni bakora tu wewe nenda katafute mke.," amesema Chalamila na kuongeza kuwa

"Kuna umri ambao unatosha lazima uchangamshwe kwa hiyo viboko vinasaidia," amesema 

Hivi karibuni Mkuu wa Mkoa huo, alitawala kwenye vyombo mbalimbali vya habari baada ya kuonekana anawachapa bakora baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kiwanja, iliyopo Chunya mkoani Mbeya, baada ya kuteketeza kwa moto mabweni yao.


Share:

Nafasi Mpya ya Kazi VODACOM Tanzania .....Wanataka Network Director Mwenye Degree ya Telecommunication

Nafasi Mpya ya Kazi VODACOM Tanzania .....Wanataka Network Director 
▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
👉 Awe na Degree ya Telecommunication au Electrical
👉  Tangazo limetolewa jana: 19th October, 2019.

 ==>>Pia zipo nafasi mbalimbali za kazi kama vile; Afisa Mtendaji (Simiyu), Walimu, UBER TANZANIA,  AIRTEL, JUMIA, NOKIA TANZANIA,UMOJA WA MATAIFA

▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
Bonyeza hapo chini kujua zaidi

👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇


Share:

Waziri Jafo:Watanzania Milioni 19.7 Wamejiandikisha Kupiga Kura Serikali Za Mitaa

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
Waziri  Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa  [TAMISEMI] Mhe,Seleman Jafo amesema hadi kufikia Tarehe 17,Oktoba,2019,Jumla ya Wapiga Kura 19,681 ,259 wamejiandikisha katika daftari la Orodha ya wapiga kura kwa mwaka 2019.
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma,Waziri Jafo amesema kati yao,wanaume ni 9,529,992 na wanawake ni 10,151,267 ambapo ni sawa na asilimia 86 ya lengo la kuandikisha wapiga kura ,22,916,412.
 
Waziri Jafo amebainisha kuwa uandikishaji wa mwaka huu umekuwa na mafanikio makubwa  ikilinganisha na uchaguzi wa mwaka 2014 ambapo serikali ilikadiria  kuandikisha  watu 18,787,820 na waliojitokeza kujiandikisha  ni 11,882,086 sawa na asilimia 63% ya makadirio.
 
Mafanikio ya mwaka 2019 yametokana na hamasa kubwa iliyofanywa na viongozi wa kitaifa,viongozi wa OR-TAMISEMI ngazi ya makao makuu Wizara,hadi ngazi za chini za vitongoji na vijiji pamoja  vyombo vya habari.
 
Aidha,Waziri Jafo ameitaja Mikoa   mitano iliyofanya vizuri  zaidi katika suala la uandikishaji kuwa ni;-wa  kwanza DSM  malengo ilikuwa ni kuandikisha watu 2,673,873 na uandikishaji halisi ni 2,898,535 sawa na asilimia 108%,wa pili ni mkoa wa Pwani  malengo ilikuwa  594,247 uandikishaji halisi 568,627 sawa na  asilimia 96%,mkoa wa tatu ni Mwanza malengo ilikuwa 1,404,078 uandikishaji halisi  ni 1,340,177 sawa na asilimia 95%.
 
Mkoa wa  nne ni Tanga  ulikuwa na Malengo ya kuandikisha watu 1,087,921 na umevuka lengo na kuandikisha watu 983,104 sawa na asilimia  90%   na mkoa wa Tano ni Singida malengo ni watu 679,427 na umevuka lengo na kuandikisha watu 610,344 sawa na asilimia 90%.
 
Waziri Jafo ameainisha halmashauri tano zilizofanya vizuri zaidi kuwa ni :-ya kwanza ni halmashauri ya Mlele DC Malengo ni 17,848 uandikishaji  ni 27,196 sawa na asilimia 152%,ya pili ni Ngorongoro DC Malengo ni 75,145 uandikishaji ni 96,622 sawa na asilimia 129%,ya tatu ni Kibiti DC  Malengo ni 47,887 uandikishaji  ni 60,539 sawa na asilimia 126%,ya nne ni halmashauri ya Temeke MC malengo ni 718,883 uandikishaji ni 879 ,619  sawa na asilimia 122% nay a Tano ni Monduli DC Malengo 75,173 uandikishaji ni 91,363 sawa na asilimia 122%.
 
Hata hivyo,Waziri Jafo amezitaja halmashauri tano zilizofanya vizuri  kwa kuandikisha  idadi kubwa ya wapiga kura kuwa ni :-ya kwanza ni Temeke MC lengo  ilikuwa 718,883 uandikishaji  ni 879,619 sawa na asilimia122%,ya pili ni Ilala MC  Lengo 741,703 uandikishaji ni 820,600 sawa na asilimia 111%, la tatu ni jiji la Mwanza lengo ni 214,985 uandikishaji 224,901 sawa na asilimia 105% ,nne ni Ubungo MC  Lengo 525,600 uandikishaji 542,728 sawa na asilimia 103% nay a tano ni Kinondoni MC Lengo 592,279  uandikishaji ni  569,872 sawa na asilimia 96%.
 
Pia,Waziri Jafo ametaja mikoa yote 26 kwa ujumla   Tanzania Bara ilivyoshiriki katika zoezi hilo la uandikishaji kuwa ni DSM  lengo 2,673,873 uandikishaji 2,898,535 sawa na asilimia 108%,Pwani lengo 594,247 uandikishaji 568,627 sawa na asilimia 96%,Mwanza lengo  1,404,078 uandikishaji 1,340,177 sawa na asilimia 95%,Tanga lengo 1,087,921 uandikishaji  983,104 sawa na asilimia 90%,Singida Lengo 679,427 uandikishaji 610,344  sawa na asilimia 90%.
 
Mikoa mingine ni Morogoro lengo 1,201,916 uandikishaji 1,075,379 sawa na asilimia 89%,Mbeya  lengo 939,011 uandikishaji 776,811 sawa na asilimia 83%,Ruvuma lengo 737,937 uandikishaji 651,257 sawa na asilimia 88%,Katavi lengo 276,452 uandikishaji 243,163 sawa na asilimia 88% na Mtwara lengo 700,543 uandikishaji 604,670 sawa na asilimia 86%.
 
Kwa Dodoma lengo ni 1,053,799 uandikishaji 893,890 sawa na asilimia 85%,Rukwa lengo 485,254 uandikishaji  410,760 sawa na asilimia 85%,Arusha lengo 931,612 uandikishaji  787,232  sawa na asilimia 85%,Lindi lengo 474,150 uandikishaji 396,832 sawa na asilimia 84%,Iringa  lengo  518,409 uandikishaji 433,259 sawa na asilimia 84%.
 
Mara lengo 842,680 uandikishaji 673,065 sawa na asilimia 80%,Kilimanjaro lengo 936,041 uandikishaji 741,130  sawa na asilimia 79%,Geita lengo ni 839,280 uandikishaji 664,100 sawa na asilimia 79%,Manyara  lengo 720,742 uandikishaji 565,827 sawa na asilimia 79%,Tabora lengo 1,124,660 uandikishaji 879,664 sawa na asilimia 78%,Songwe lengo 515,798 uandikishaji  402,840 sawa na asilimia 78%,Kagera  lengo ni 1,231,631 uandikishaji 961,520 sawa na asilimia 78%.
 
Na kwenye mkoa wa Shinyanga lengo 766,725 uandikishaji 583,928 sawa na asilimia 76%,Simiyu lengo 749,819 uandikishaji 568,342 sawa na asilimia 76%,Njombe lengo 387,529 uandikishaji 290,791  sawa na asilimia 75%,na Kigoma  lengo ni 1,042,880 uandikishaji  676,012 sawa na asilimia 65% hivyo Jumla ya malengo ilikuwa ni 22,916,412   na jumla ya watu waliojiandikisha ni 19,681,259 sawa na asilimia 86%.
 
Licha ya hivyo Waziri Jafo amesema uandikishaji wa wapiga kura ulikabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na hali ya mvua,wananchi kuchanganya zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura  linalofanywa na tume ya taifa ya uchaguzi [NEC]na uandikishaji wa daftari la orodha ya wapiga kura  pamoja na umbali kwa baadhi ya vituo vya kujiandikisha.
 
Ikumbukwe kuwa,zoezi la uandikishaji  wa orodha ya wapiga kura lilianza tarehe 8,oktoba ,2019 mpaka tarehe 17,oktoba,2019  huku uchaguzi wa Serikali za mitaa ukitarajia kuanza Novemba 24,2019.


Share:

Dokta Msonde:kufuta Mtihani Mmoja Wa Shule Ya Msingi Ni Kupata Hasara Ya Upotevu Wa Tsh.bilioni 100.

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
Imeelezwa kuwa kufuta  matokeo ya Mtihani mmoja wa shule ya msingi ni Sawa na  kupata hasara  ya Upotevu wa Bilioni 100  . 
 
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Dkt Charles Msonde  amebainisha hayo jijini Dodoma katika kikao kilichokutanisha Maafisa wa Baraza la Mitihani Tanzania pamoja na Chama Cha Walimu Tanzania[CWT]Wenye lengo la kujadili na kutathimin namna bora ya kuendelea kudhibiti ufujaji wa mitihani hapa nchini.
 
Dkt.Msonde amesema Mwalimu ni afisa muhimu  katika udhibiti ufujaji mitihani lakini anapojihusisha na wizi wa mitihani hiyo  ni kujidhalilisha taaluma yake hivyo ni wajibu wa kila mmoja kuwa mnyenyekevu na  mwadilifu kwa maslahi ya nchi yake katika kuhakikisha ufujaji wa mitihani haitokei ili kuweza heshima na hadhi ya mitihani kwani hukumika gharama kubwa katika uandaaji wa mitihani.
 
Aidha, Dkt Msonde amesema wamekwisha kuhakiki jumla ya watumishi laki tano na kumi na mbili na mia saba sabini  na saba ambapo watumishi elfu kumi na tano na mia nne kumi na moja wamebainika wameghushi vyeti.
 
Katika hatua nyingine Dkt.Msonde amesema Baraza la Mitihani Tanzania ndio Baraza pekee linaloongoza barani Afrika kwa utendaji kazi mzuri ambao hudhibiti wa ufujaji wa mitihani upo kiwango cha juu ndio maana nchi mbalimbali barani Afrika huja kujifunza nchini Tanzania namna baraza hilo linavyofanya kazi.
 
Hivyo,Dokta.Msonde ametumia fursa kukipongeza chama cha Walimu Tanzania CWT,pamoja na wadau wa elimu kwa ujumla wakiwemo walimu kwa kuendelea kuwa wanyenyekevu na kuonesha uzalendo mzuri katika kudhibiti ufujaji wa mitihani.
 
Kwa upande  wa  Rais wa Chama cha walimu Tanzania Mwalimu Leah Ulaya Pamoja na katibu Mkuu wa Chama cha walimu Tanzania CWT  Komred Mwalimu Deus Seif   Wamesema ni   vyema serikali ikaangalia  vyema suala la kupandisha vyeo pamoja na madaraja kwani  walio wengi wamekuwa wakipandishwa huku mshahara ukiwa palepale.

Kwa upande wao,walimu waliobahatika kuhudhuria katika kikao hicho wamesema semina na mafunzo mbalimbali waliyoyapata yatawasaidia  kuendelea kuwa na nidhamu,uzalendo katika taaluma zao.





Share:

Waziri Biteko Atatua Mgogoro Wa Wachimbaji Misungwi

Na Tito Mselem Mwanza,
Waziri wa Madini Doto Biteko ametatua mgogoro ulio dumu kwa muda mrefu na kuruhusu wachimbaji waendelee na shughuli za uchimbaji katika Machimbo ya wachimbaji wadogo ya Shilalo Wilayani Misungwi Mkoa wa Mwanza.

Mgogoro huo ulisababisha shughuli za uchimbaji wa madini ya dhahabu kusitishwa kutokana na sababu za kimaslahi katika madura 38 kati ya 57 yaliyoko kwenye Machimbo hayo.

Shughuli za uchimbaji wa madini ya dhahabu zilisitishwa Oktoba 7 mwaka huu na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, kwa muda usiojulikana kutokana na mgogoro wa umiliki wa eneo yalipo mashimo hayo ili kuweka utaratibu wa usimamizi wa mapato.

Akizungumza na wachimbaji wadogo katika mkutano wa hadhara Waziri Biteko aliwataka waache fitina, majungu na makundi huku akiwataka kufanya kazi na kushirikiana kwa pamoja kwani lengo la Serikali ni kuwafanya wanufaike na uchumi wa madini.

“Rais Dkt. John Pombe Magufuli alituteuwa tufanye kazi kubwa mbili katika sekta ya madini, tuwapatie wachimbaji wadogo maeneo ya kuchimba ili mshiriki kuinua uchumi wa nchi na tuhakikishe mnalipa kodi za Serikali ili fedha hizo zisaidie kuboresha maeneo mbalimbali kwa maslahi ya wananchi wote ikiwemo afya na elimu”.

“Lazima mfanye shughuli zenu kwa usalama lakini mtakapokuwa na migogoro hicho ni kiashiria cha uvunjifu wa amani, Serikali hatuwezi kuruhusu watu wake wakaumizana ndiyo maana Mkuu wa Mkoa alichukua jukumu la kusitisha shughuli za uchimbaji kwa muda, tumeshirikiana tumetatua mgogoro huo hivyo ninawasisitiza wachimbaji wote muachane na siasa zisizo na maana badala yake mfanye kazi na mlipe kodi ya serikali,” alisema Biteko.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, aliwataka wachimbaji na wamiliki wa eneo hilo kuweka utaratibu wa usimamizi wa mapato ili kila mtu apate haki yake anayostahili na anufaike kutokana na mapato yanayopatikana katika machimbo hayo.

Aidha, Mmiliki wa eneo hilo Wilbert Kukwanja, alimshukuru Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mongella kwa kuwakutanisha na Waziri Biteko na kumaliza mgogoro huo kwa sababu kusitishwa kwa shughuli za uchimbaji katika machimbo hayo kuliwaathiri kiuchumi ambapo aliahidi kulinda amani katika eneo hilo na kutoruhusu migogoro kutokea tena.

Naye, Mbunge wa Jimbo la Misungwi, Charles Kitwanga aliwataka wachimbaji katika eneo hilo kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia usalama wao kwanza pamoja na kuepuka migogoro ambayo itawaletea hasara wao na familia zao endapo serikali itasitisha shughuli za uchimbaji huku akiwasisitiza kulipa kodi za serikali kila wanapozalisha.

Baadhi ya wachimbaji katika eneo hilo akiwemo Ally Bushiri na Maige Gaude, walimshukuru Rais Magufuli kwa  kuteuwa viongozi wachapa kazi kama Biteko ambae ametatua mgogoro huo kwani walikuwa wamekwishakata tamaa walidhani tatizo hilo litadumu kwa muda mrefu bila kupatiwa ufumbuzi.


Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi October 19




Share:

Friday, 18 October 2019

TAIFA STARS YAFUZU CHAN YA 2020 CAMEROON KWA KUIGONGA SUDAN 2-1

TANZANIA imefanikiwa kukata tiketi ya kucheza Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) mwakani nchini Cameroon baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Sudan leo Uwanja wa Omdurman, Mourada mjini Omdurman.

Shujaa wa Tanzania leo alikuwa ni mshambuliaji Ditram Nchimbi aliyeongezwa kikosini baada ya mechi ya kwanza ambaye leo alisababisha bao la kwanza na kufunga la pili.

Kwa matokeo hayo, Taifa Stars inayofundishwa na kocha Mrundi, Etienne Ndayiragijje inafuzu CHAN ya 2020 kwa faida ya mabao ya ugenini baada ya sare ya jumla ya 2-2, kufuatia kufungwa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam.

Hiyo inakuwa mara ya pili kwa Taifa Stars kufuzu fainali za michuano hiyo inayoshirikisha wachezaji wanaocheza ligi za nchini mwao pekee, baada ya mwaka 2009 nchini Ivory Coast, ikiitoa Sudan pia katika raundi ya mwisho ya kufuzu.

Sudan ilitangulia kwa bao la Amir Kamal dakika ya 30 akimalizia krosi ya Ahmed Adam Mohamed aliyemlamba chenga beki wa kulia wa Tanzania, Salum Kimenya.

Nchimbi akaangushwa nje kidogo ya boksi na mabeki wa Sudan aliowazidi mbio na Nahodha, Erasto Edward Nyoni akaenda kufunga kwa shuti la mpira wa adhabu dakika ya 49 kuisawazishia Taifa Stars.

Nchimbia aliyejumuishwa kikosini baada ya kufunga hat trick katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, timu yake Polisi ikitoa sare ya 3-3 na vigogo, Yanga SC akafunga bao la ushindi dakika ya 79 akimalizia pasi ya mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda.

Furaha zaidi ni kwa kipa mkongwe wa Tanzania, Juma Kaseja aliyerejeshwa kikosini baada ya miaka mitano, ambaye amedaka mechi zote za kufuzu na kuipa tiketi ya CHAN nchi yake.

Kikosi cha Tanzania kilikuwa; Juma Kaseja, Salum Kimenya, Gardiel Michael, Erasto Nyoni, Bakari Kondo, Jonas Mkude, Miraj Athumani/Ayoub Lyanga dk64, Frank Domayo/Salum Abubakar ‘Sure Boy’ dk82, Muzamil Yassin, Ditram Nchimbi na Iddi Suleiman ‘Nado’/Shaaban Iddi Chilunda dk62.

Chanzo- Binzubeiry
Share:

AUAWA KWA KUPIGWA RISASI YA MAKALIO KAHAMA

Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Richard Abwao

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kijana aitwaye Mishael Masatu (29) amefariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa kupigwa risasi kwenye makalio na mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi iitwayo Serengeti Security Services Ltd, mkazi wa mtaa wa Malunga akiwa kazini kwenye yard ya magari katika kisima cha mafuta cha PetroAfrica mtaa wa Mbulu Kahama Mjini.

Kwa Mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Richard Abwao tukio hilo limetokea Oktoba 16,2019 majira ya tisa alfajiri.

"Mlinzi wa kampuni ya Ulinzi ya Serengeti Security Services LTD  Isumail Hassan (20) mkazi wa mtaa wa Malunga akiwa kazini hapo kisimani, alifyatua risasi moja kutoka kwenye bunduki aina ya Shortgun yenye namba HP.9-1.  007710112 mali ya Kampuni ya Serengeti Security Services LTD na kumjeruhi matakoni mtu aliyekutwa na kitambulisho chenye jina la Mishael Z. Masatu(29), mkazi wa Nyihogo mtaa wa Sazia ambaye aliingia kwenye yard hiyo bila kibali",ameeleza Kamanda Abwao.

 "Chanzo cha tukio ni majeruhi kuingia kwenye yard bila kibali na kudhaniwa kuwa ni mwizi. majeruhi alianza kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Halmashauri Mji wa Kahama na baadaye alifariki dunia",amesema Kamanda Abwao.

Amesema askari mlinzi  anashikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Wilaya Kahama wakati upelelezi unaendelea.

Share:

Innovation Manager Job Opportunity at SBL Dar es Salaam-Tanzania

Job Description : Innovation Manager Context Serengeti Breweries Limited (SBL) is a fully integrated beverage business in Diageo Africa (supply and demand for beer and spirits) It is a subsidiary of East Africa Breweries Limited (EABL), the largest business unit in Diageo Africa and the second largest listed company on the NSE in Kenya. SBL operates exclusively in… Read More »

The post Innovation Manager Job Opportunity at SBL Dar es Salaam-Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Jobs Opportunities at Bariadi District-Deadline 30 October 2019

Jobs Opportunities at Bariadi District-Deadline 30 October 2019  

The post Jobs Opportunities at Bariadi District-Deadline 30 October 2019 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Job Opportunity at FHI 360-Administrative Assistant Intern

 Administrative Assistant Intern FHI 360 is a nonprofit human development organization dedicated to improving lives in lasting ways by advancing integrated, locally driven solutions. Our staff include experts in Health, Education, Nutrition, Environment, Economic Development, Civil Society, Gender, Youth, Research and Technology; creating a unique mix of capabilities to address today’s interrelated development challenges. FHI 360 serves more… Read More »

The post Job Opportunity at FHI 360-Administrative Assistant Intern appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Business Development Executive Job Opportunity

Type: Full Time Category: Business Development Other Categories: FMCG, Retail & Wholesale , Sales Job Level: Manager Roles and Responsibilities The Business Development Executive (BDE) is responsible for the sales performance, across all channels, for the country assigned to them in Africa. The BDM assists the Sales Director in delivering the overall country’s sales objectives, whilst supervises, fine-tunes… Read More »

The post Business Development Executive Job Opportunity appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Governance & Legal Advisor Job Opportunity at World vision Tanzania

Governance & Legal Advisor Arusha 28-Oct-19 Purpose of the position: The purpose of this position is threefold; • To ensure that WVT Board fulfils its governance function and is facilitated through Board developments and effective processes to meet the WVI Partnership Governance standards and milestones; • To provide legal advice to the National Director and SLT in relations… Read More »

The post Governance & Legal Advisor Job Opportunity at World vision Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

15 Job Opportunities for Fresh Graduate at Mom Easy Company Limited-Sales Officers

Position: Sales Officers (15) We are Mom easy company we are located Kariakoo Congo Street we requires the service of qualified young person to fill up the position of Sales Officers JOB DESCRIPTION Reporting monthly sales results to the sales team Processing invoices for all sales transactions Checking prices and contracts are up to date. Manage office supplies… Read More »

The post 15 Job Opportunities for Fresh Graduate at Mom Easy Company Limited-Sales Officers appeared first on Udahiliportal.com.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger