Wednesday, 2 October 2019

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Laua Majambazi Watatu

Jeshi  la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua watuhumiwa wa ujambazi watatu akiwamo aliyeuawa nje ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Lazaro Mambosasa, alisema jana kuwa katika tukio la kwanza, Jeshi la Polisi limemuua mtuhumiwa Emmanuel Peter...
Share:

Profesa Tibaijuka kurejesha shilingi 1.6 bilioni za mgao wa Rugemarila

Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka amesema uongozi wa Shule ya Sekondari Barbro Johansson Model Girls utarejesha fedha za msaada walizopokea  kutoka kwa mfanyabiashara, James Rugemarila ili aweze kutoka gerezani. Profesa Tibaijuka amesema hayo kupitia Kituo cha televisheni...
Share:

Wauguzi Waomba Wapunguziwe Ada Za Leseni Za Uuguzi

Na Stella Kalinga, Simiyu RS Wauguzi kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara wameomba Baraza la Uuguzi na Ukunga nchini(TNMC) kupunguza  gharama za ada ya leseni za uuguzi ambazo wamedai kuwa ni kubwa na zinaathiri vipato vyao. Ombi hilo limetolewa na Katibu wa Chama cha wauguzi Tanzania Bara(TANNA)...
Share:

Waziri Simbachawene Ahimiza Matumizi Ya Nishati Mbadala Kupikia Ili Kuhifadhi Mazingira

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene amehimiza matumizi ya nishati mbadala kupikia ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira unaotokana na ukataji miti kwa ajili ya kuni na mkaa. Mhe. Simbachawene ametoa rai hiyo wakati akihutubia wanafunzi na wananchi...
Share:

Serikali Kushirikiana Na Taasisi Mbalimbali Kuboresha Afya Ya Wanyama

Serikali imesema itaendelea kushirikiana na taasisi mbalimbali katika kuhakikisha inaboresha afya za mifugo na upatikanaji wa madawa kwa wakati ili wafugaji waweze kunufaika na mifugo yao. Akizungumza mara baada ya kukutana na Mkurugenzi wa Taasisi ya ZOETIS A.L.P.H.A katika Bara la Afrika Dkt....
Share:

TECNO Ikishirikiana Na Tigo Yazindua Rasmi TECNO Spark 4.

Sasa TECNO imewapa tena wateja wake nafasi ya kurahia ladha mpya ya simu janja na hii kutokana na ujio wa simu mpya ya TECNO Spark 4 yenye sifa malukuki na kwa bei nzuri. Akizungumza na vyombo vya habari wakati wa uzinduzi wa TECNO Spark 4 uliofanyika katika duka jipya la TECNO ‘TECNO Smart Hub...
Share:

Viwanda Vya Ndani Vyapongezwa Kwa Kuwa Na Uwezo Wa Kuongeza Thamani Korosho Ya Tanzania

Viwanda vya ndani nchini vimepongezwa kwa kuwa na uwezo wa kuongeza thamani korosho ya Tanzania tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alipotangaza uamuzi wa Serikali kununua korosho zote za wakulima tarehe 12 Novemba, 2018. Hayo yamesemwa na Prof. Joseph Buchweishaija,...
Share:

Bashe Awataka Maafisa Ugani Kutumia Fomu Maalum Kukusanya Taarifa Za Wakulima

Na Bashiri Salum,Wizara ya kilimo-Shinyanga Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Mhe. Husseni Bashe jana 01.10.2019 amemkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi Zeinabu Telaki fomu maalumu (call sheet ) ambayo itatumiwa na Maafisa Ugani wakati wa kuwatembelea wakulima na kujaza taarifa zao muhimu zikiwemo...
Share:

Tuesday, 1 October 2019

SYSTEMS DEVELOPER JOBS at Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) 4 POST

SYSTEMS DEVELOPER III – 4 POSTS – 4 POST Employer: Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Date Published: 2019-10-01 Application Deadline: 2019-10-14 JOB SUMMARY: System developer shall be responsible for developing and supporting .NET/C# Java projects, functions and completing specific work, projects and miscellaneous tasks while ensuring commitment and quality through to completion....
Share:

Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam Yakamata Magari 50 huku 19 Yakiwa ya Serikali Kwa Kosa la kupita katika barabara ya mabasi ya mwendokasi.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa, amesema Jeshi la polisi kwa kipindi cha kuanzia Septemba 19, 2019 hadi sasa linashikilia jumla ya magari 50 huku 19 yakiwa ya Serikali na 31 binafsi kwa kosa la kupita katika barabara ya mabasi ya mwendokasi. Akizungumza leo Oktoba...
Share:

LIVE: Hafla Ya Uapisho Wa Mkurugenzi Wa Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi(NEC) ,Balozi Na Mkuu Wa Itifaki (CP)

LIVE: Hafla Ya Uapisho Wa Mkurugenzi Wa Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi(NEC) ,Balozi Na Mkuu Wa Itifaki (CP)...
Share:

Mtalaam Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Nayaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo  limekuwa kubwa kwa rika zote hapa duniani Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA...
Share:

HESLB CORRECTIONS OF NECESSARY INFORMATION IN LOAN APPLICATIONS

HESLB HOW TO CORRECT NECESSARY INFORMATION IN LOAN APPLICATION 2019/2020 During the exercise of processing 2019/2020 loan application forms, the Board has come across loan applications which are missing some vital information such as applicant’s and guarantor’s signatures. For that reason, the Board would like to inform loan applicants with such incompleteness to do the following: 1. Visit...
Share:

Waziri Mkuu Ashuhudia Usafirishaji Wa Korosho

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea bandari ya Mtwara na ameshuhudia shehena ya korosho ziliyonunuliwa na kampuni ya Tang Long zikipakiwa katika meli kubwa yenye jina la AS Christiana kwa ajili kusafirishwa kwenda nchini Vietnam. “Ni faraja kuona mzigo wa korosho ukiondoka na kutoa nafasi ya...
Share:

Dawa Komesha Ya Maumbile Madogo , Nguvu Za Kiume Na Magonjwa Mengineyo

*NGETWA MIX*/ √Hii ndio dawa bora ya mitishamba kiboko ya maumbile Madogo(KIBAMIA) Hurefusha na kunenepesha maumbile  mafupi pia  yaliyoingia ndani kutokana na kitambi ama kuathirika na punyeto *📌SUPER MORINGA MIX*/ Ni dawabora ya nguvu za kiume yenye mchanganyiko wa miti shamba 10 yenye...
Share:

Serikali Itaendelea Kuwalinda Wazee Dhidi Ya Ukatili

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuwalinda wazee dhidi ya vitendo vya ukatili, kuwawekea miundombinu na mazingira bora katika kutumia vyombo vya usafiri na kuweka utaratibu na vigezo vitakavyowawezesha kulipwa pensheni. Waziri Mkuu ameyataka mashirika ya wazee yaelekeze rasilimali...
Share:

Serikali Yaleta Mfumo Mpya Kukusanya Taarifa Za Kibiashara

Eric Msuya – MAELEZO Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stellah Manyanya amewataka wadau wa Sekta hiyo kutumia mfumo mpya wa kukusanya Taarirfa za Kibiashara Nchini kwa lengo la kupiga hatua kuelekea Tanzania ya Viwanda na Uchumi wa kati.    Kuanzishwa kwa mfumo huo ujulikanao kama...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger