Sunday, 30 June 2019

Donald Trump Kawa Rais wa Kwanza wa Marekani Kukanyaga Ardhi ya Korea Kaskazini Leo....Tazama Picha

Rais Donald Trump amekuwa rais wa kwanza wa Marekani kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini. Trump amekutana leo na Kim Jong-un, kiongozi wa Korea Kaskazini katika mpaka usiokuwa wa kijeshi wa Korea Kaskazini na Korea Kusini, ambapo Trump amevuka mstari wa mpaka huo na kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini. Baada...
Share:

Trump na Xi wa China wakubaliana kusitisha uhasama wao kibiashara

Rais wa Marekani Donald Trump, leo amesifia mazungumzo kati yake na rais wa China Xi Jinping na kuyataja kuwa mazuri kuliko yalivyotarajiwa, na ameahidi kusitisha kuongeza ushuru kwa bidhaa za China wakati mazungumzo kati yao yakiendelea.  Siku moja tu baada ya mazungumzo yao mjini Osaka Japan,...
Share:

Wadau mkoani Njombe watoa msaada kwa mahabusu na wafungwa

Na Amiri kilagalila-Njombe Shirika lisilo la kiserikali la Njombe youth development organization (NJOYODEO) kwa kushirikiana na umoja wa vijana chama cha mapinduzi (CCM) mkoani Njombe wamewatembelea wafungwa na mahabusu katika gereza la mkoa mpechi  na kutoa msaada  ikiwemo mashuka na mablanketi ...
Share:

Katibu Mkuu Wizara Ya Afya Azindua Baraza La Wafanyakazi Hospital Ya Benjamin

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma. Taasisi ya Hospitali ya Rufaa ya  Benjamin mkapa imefungua na kuzindua Baraza jipya la wafanyakazi  tangu hospitali ianzishwe  ambayo ni miongoni mwa hospitali kubwa hapa nchini.  Akizungumza katika uzinduzi  huo,na wafanyakazi  wa Baraza...
Share:

Waziri Kairuki Autaka Uongozi Wa KNAUF Kuendelea Kushirikiana Na Jamii Inayowazunguka.

NA.MWANDISHI WETU – OWM Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji Mhe. Angellah Kairuka ameutaka uongozi wa kiwanda kinachotengeneza bidhaa za cha za jasi (Gypsumboard) cha KNAUF kuendelea kushirikiana na jamii inayowazunguka katika kujiletee maendeleo. Ametoa kauli...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili 30 June

...
Share:

DPP Akabidhi Madini, Vito Na Fedha Benki Kuu (BOT ) Zilizotokana Na Kesi Za Uhujumu Uchumi.

Jumla ya madini yenye thamani ya Sh.3,125, 704,456.12 yamekabidhiwa kwa Serikali kupitia Hazina baada ya kutaifishwa kutokana na kubainika yalikuwa yanatoroshwa nchini. Mbali na kukabidhiwa madini na vito, pia Serikali imekabidhiwa fedha za kigeni ambazo nazo zimetaifishwa. Akizungumza wakati wa...
Share:

Rais Mstaafu Mkapa Mgeni Rasmi Uzinduzi Maadhimisho Ya Miaka 20 Kuelekea Miaka 25 Tangu Kuanzishwa Kwa Chuo Kikuu SAUT

Na Eleuteri Mangi- SAUT Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin Mkapa anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 20 kuelekea miaka 25 tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Mt. Augustino Tanzania (SAUT). Kwa mujibu wa Makamu wa...
Share:

Saturday, 29 June 2019

TASAC: TUNAFANYA UKAGUZI WA MELI KUHAKIKI UBORA NA KUVIONDOSHA VISIVYOKUWA NAVYO MAJINI

Meneja wa Usajili,Ukaguzi na Udhibiti wa Usalama wa Vyombo vya maji Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) Afred Waryana akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa warsha hiyo Meneja wa Usajili,Ukaguzi na Udhibiti wa Usalama wa Vyombo vya maji Shirika la Wakala wa Meli...
Share:

MKUU WA MKOA AMTAKA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MBULU NA TIMU YAKE WAJITAFAKARI

...
Share:

MNYETI: SINA NIA YA KUMDONDOSHA YEYOTE

...
Share:

Waziri Mkuu: Ujenzi Wa Nyumba Bora Waongezeka

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kaya zinazoishi kwenye makazi bora zimeongezeka kwa asilimia 16 katika kipindi cha miaka sita ikilinganishwa na hali ilivyokuwa mwaka 2011/2012. “Kaya zinazoishi kwenye nyumba zenye paa la kisasa zilizoezekwa kwa bati zimeongezeka kutoka asilimia 68 mwaka 2011/2012...
Share:

Serikali Yadhamiria Kuimarisha Huduma Kwa Watu Wenye Ulemavu

Na; Mwandishi Wetu Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa kushirikiana na wadau imedhamiria kuboresha huduma na upatikanaji wa vifaa saidizi kwa watu wenye ulemavu. Akizungumza wakati wa hafla ya kupokea vifaa saidizi kwa ajili ya watu wenye ulemavu iliyoandaliwa...
Share:

PICHA: Zijue Alama za barabarani pamoja na matumizi yake

Credit: Jamii Forums...
Share:

Ugonjwa wa Zinaa wa Kisonono (gonorrhea) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga

Kati ya magonjwa yanayoathiri watu wengi sana duniani ni magonjwa ya zinaa. Haya ni magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia vitendo vya ngono.  Vitendo hivi vya ngono vinaweza kuwa kujamiana, kupiga denda (kissing), vitendo vya ngono kwa kutumia mdomo (oral...
Share:

Fahamu Chanzo Halisi cha Kupungukiwa Nguvu za Kiume

Unafahamu kwa kina tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume na  maumbile ya kiume kusinyaa? Wanaume wengi kwa sasa wanasumbuliwa na tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile  kuwa mafupi na wengi wao huamua kutafuta tiba ili waweze kujilejeshea nguvu zao za asili bila kujua ni nini...
Share:

Jinsi ya kukabiliana na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Tunapozungumzia upungufu wa nguvu za kiume tunakuwa katika uwanja mpana zaidi wa tafakari za kibaiolojia na kisaikolojia walizonazo wanaume. Lakini kwa kufupisha mlolongo wa mambo sehemu kuu tatu zinaweza kabisa kukidhi mchanganuo mzima wa jinsi tatizo hili linavyowasumbua wanaume wengi duniani. Sehemu...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger