Monday, 1 April 2019

DKT ANNA MGHWIRA ATEMBELEA MAENEO YALIYOATHIRIKA NA MVUA ILIYOAMBATANA NA UPEPO KILIMANJARO

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt Anna Mghwira akiwa ameongozana na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Kilimanjaro wakitembelea maeneo yaliyoathirika na mvua iliyonyesha juzi ikiambatana na upepo. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Dkt Anna Mghwira akizungumza na mmoja wa maafisa wa Magereza waliokuwa...
Share:

WADAU WAKUTANA KUJADILI CHANGAMOTO KWENYE TASNIA YA HABARI TANZANIA

Picha ya pamoja ya washiriki wa semina hiyo MISA Tanzania na shirika linalojikita katika kuimarisha uwezo wa vyombo vya habari ili kupunguza migogoro, kuimarisha demokrasia na kuwezesha uhuru wa kupata taarifa la IMS zimewakutanisha wadau mbali mbali katika semina ya kujadili mazingira yaliyopo...
Share:

MSANII NIPSEY HUSSLE AUAWA KWA KUPIGWA RISASI

Rapper Nipsey Hussle wa nchini Marekani ameuawa kwa kupigwa risasi alfajiri ya leo, baada ya kuvamiwa na watu ambao mpaka sasa bado hawajajulikana. Taarifa kutoka Los Angeles nchini Marekani zinasema kwamba tukio hilo limetokea nje ya duka lake la nguo, ambapo walikuja watu wakiwa kwenye gari na...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Keo Jumatatu ya April 1

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger