
Mke
wa Rais mkongwe wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amesema kuwa mumewe ni
mashuhuri sana hivi kwamba anaweza kupigiwa kura hata akiwa maiti.
Bwana Mugabe, ambaye atakuwa na umri wa miaka 93 mnamo Jumanne,
ametangaza mara kadhaa kuwa atagombea kiti cha Urais katika uchaguzi
mkuu wa mwaka ujao.
Grace...