Sunday, 19 February 2017

MUGABE ANAWEZA KUPIGIWA KURA HATA AKIWA MAITI...

Mke wa Rais mkongwe wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amesema kuwa mumewe ni mashuhuri sana hivi kwamba anaweza kupigiwa kura hata akiwa maiti. Bwana Mugabe, ambaye atakuwa na umri wa miaka 93 mnamo Jumanne, ametangaza mara kadhaa kuwa atagombea kiti cha Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Grace...
Share:

MAELFU WAJITOKEZA KUMZIKA MCHEZAJI BONNY MWANDANJI

Maelfu ya wakazi wa mkoa wa Mbeya wamejitokeza katika mazishi ya mchezaji wa zamani Geoffrey Bonny Mwandanji aliyefariki dunia juzi na kuzikwa katika makaburi ya kanisa Katoliki Makandana wilayani Rungwe. Akizungumza wakati wa mazishi baba mzazi wa marehemu,Bonifasi Mashamba alisema amepokea...
Share:

AMIRI JESHI MKUU RAIS DKT MAGUFULI ATUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WAPYA WA JWTZ IKULU DAR

Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akikagua gwaride wakati wa sherehe za Kutunuku Kamisheni kwa Maafisa wapya wa Jeshi la Ulinzi la Tanzania na kadhaa kutoka nchi marafiki katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam Jumamosi Februari 18, 2017. Amiri...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI FEB TAREHE 19.2.2017

Haya hapa magazeti ya leo Jumapili,Februari 19,201...
Share:

Saturday, 18 February 2017

Mwanamke asimulia alivyobakwa na askari Msumbiji

Wakati Serikali ikiahidi kufanya uchunguzi wa vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu katika kutimua Watanzania nchini Msumbiji, mwanamke mmoja amesema alibakwa na askari watatu kabla ya kuwekwa mahabausu ambako alikaa siku tatu bila kula.  Mwanamke huyo, aliyejitambulisha kwa jina...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya February 18

...
Share:

Vurugu za mgambo na machinga zaibuka tena Jijini Mwanza

...
Share:

Thursday, 16 February 2017

NECTA yasitisha mtihani wa udahili kwa kidato cha kwanza Jambo Blog 10

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) limesitisha mpango wa kuwafanyia mtihani wa udahili wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu katika shule za sekondari za serikali uliokuwa ufanyike Februari 28, mwaka huu. Naibu Katibu Mtendaji wa Necta, Athumani Salumu...
Share:

Wednesday, 15 February 2017

AUDIO | YAMOTO BAND - KICHECHE | Download

...
Share:

NECTA: ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY EDUCATION EXAMINATION MAY 2017

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA  Ref. ACSEE 2017  NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL  ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY EDUCATION EXAMINATION MAY 201...
Share:

AUDIO | Diamomd Platnumz Ft. Sporah - Kosa Langu | Download [Extended]

DOWNLOAD...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO FEB 15 2017

...
Share:

Monday, 13 February 2017

Zitto Kabwe Amtaka Rais Magufuli Avunje Bunge

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amemshauri Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli kulivunja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania endapo analiona ni kikwazo kwake. Ushauri huo ameutoa jana ikiwa ni saa chache baada ya Rais Magufuli kukosoa uamuzi wa Bunge kumuita Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam...
Share:

Yusuf Manji Alivyochukuliwa na Gari la Wagonjwa Polisi na Kisha Kupelekwa Hospital

Mfanyabiashara maarufu na Mwenyekiti wa Club ya soka ya Yanga Yusuph Manji amekua akishikiliwa na Polisi kituo cha kati Dar es salaam toka Alhamisi ya February 9 2017 baada ya kwenda kuhojiwa kutokana na kutajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kwenye orodha ya watu 65 kwenye sakata...
Share:

Masaa 72 ya Askofu Gwajima Mahabusu ya Polisi

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amemuomba Rais John Magufuli kuingilia kati sakata la kutangaza na kushikiliwa Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam watu wanaotuhumiwa kujihusisha na dawa za kulevya. Pia alieleza kushangazwa kwake na baadhi ya wawekezaji na wafanyabiashara...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEB 13 2017

...
Share:

Dkt. Slaa amtumia ujumbe Gwajima kuhusu Dawa za Kulevya

Vita ya kupambana na dawa za kulevya nchini iliyopamba moto zaidi na kuzua mijadala tangu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alipoanza kutaja majina ya watuhumiwa imemuibua Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dkt. Wilbroad Slaa....
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger