Tuesday, 24 January 2017

WALIMU WATATU WAKAMATWA KWA KUPIGA DILI LA KUPOKEA MISHAHARA PRIVATE NA SERKALINI

Walimu watatu mkoani Mwanza wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la  kukimbia vituo vyao vya kazi na kufanya kazi shule binafsi huku wakiendelea kupokea mishahara ya serikali Taarifa ya jeshi la polisi mkoa wa Mwanza imewataja walimu hao waliokamatwa jana asubuhi katika mtaa...
Share:

MAJAMBAZI WAWILI 2 WAUAWA JIJINI MWANZA

Watu wawili waliokuwa wakituhumiwa kwa ujambazi wameuawa wakati wakitaka kujaribu kuwatoroka askari polisi wilayani Ilemela mkoani Mwanza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza amesema kwamba tukio hilo lilitokea  tarehe 20.01.2016 majira ya saa 2:30  usiku, katika mtaa wa kiloleli “A”...
Share:

WARAKA WA ZITTO KABWE KUHUSU UCHAGUZI WA MARUDIO

...
Share:

TUNDU LISSU AFUNGUKA KUHUSU UPINZANI KUBURUZWA NA CCM UCHAGUZI MDOGO WA MARUDIO

...
Share:

KAULI YA MTATAIRO BAADA YA UPINZANI KUANGUKIA PUA UCHAGUZI MDOGO WA MARUDIO

...
Share:

KAULI YA RAIS MAGUFULI BAADA YA CCM KUSHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI MDOGO WA MARUDIO

...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMANNE JANUARY TAREHE 24.1.2017

...
Share:

Monday, 23 January 2017

Bulembo amtaka Lowassa Aachane na Siasa

...
Share:

Hatimaye Jecha Afunguka Kuhusu Kufuta Uchaguzi Zanzibar...

...
Share:

Bibi Akutwa amekufa Huku akiwa na vibuyu 5 na kuku mweupe

Bibi  mwenye umri wa miaka 60 amekutwa amekufa mkoani Tabora huku amevaa nguo nyeusi aina ya kaniki, akiwa na vibuyu vitano na kuku mweupe, katika mazingira yanayoashiria kushiriki vitendo vya kishirikina. Aidha, mwili wa mtu mwingine umekutwa pembeni ya mti aliokuwa akichimba dawa. Taarifa ...
Share:

Rais wa Uturuki Awasili Nchini Kwa Ziara ya Kikazi

RAIS wa Uturuki Mheshimiwa Recep Erdogan amewasili nchini jana jioni (Jumapili, Januari 22, 2017) kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kupokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere  na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na niaba ya Mheshimiwa Rais. Dkt. John Magufuli. Rais ...
Share:

Zitto Kabwe Asakwa na Jeshi la Polisi kwa Uchochezi,ACT Wazalendo Wadai Yuko Salama, Wataka Polisi Wafuate Utaratibu

...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU JANUARY TAREHE 23.1.2017

...
Share:

Sunday, 22 January 2017

MH RAIS MAGUFULI AMTEUA ANNE KILANGO MALECELA KUWA MBUNGE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli,  tarehe 21 Januari, 2017 amemteua Anne Kilango Malecela kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Anne Kilango Malecela ataapishwa kwa mujibu wa taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Gerson MsigwaMkurugenzi...
Share:

Saturday, 21 January 2017

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JANUARY TAREHE 21.1.2017

...
Share:

Friday, 20 January 2017

Donald Trump Kukabidhiwa Leo IKULU Ya Marekani

Mshindi wa uchaguzi mkuu wa mwezi Novemba Donald Trump leo anatarajiwa kuapishwa kuwa rais wa 45 wa Marekani. Bw Trump wa Chama cha Republican anatarajiwa kuapishwa mbele ya watu 750,000 mbele ya majengo makuu ya bunge la Marekani, Capitol Building, Washington D.C. Kisheria, rais anafaa...
Share:

TAARIFA KWA UMMA: MAOMBI YA NAFASI 1000 ZA MAFUNZO YA STADI ZA KUTENGENEZA VIATU

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger