
Walimu
watatu mkoani Mwanza wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la
kukimbia vituo vyao vya kazi na kufanya kazi shule binafsi huku
wakiendelea kupokea mishahara ya serikali
Taarifa
ya jeshi la polisi mkoa wa Mwanza imewataja walimu hao waliokamatwa
jana asubuhi katika mtaa...